-->

Monthly Archives: January 2017

Crazy GK: Serikali Iwachukulie Hatua Kali W...

Post Image

Rapper mkongwe nchini Tanzania King Crazy GK, ameshauri serikali kuwachukulia hatua kali watu wanaotumia dawa za kulevya nchini. “Marekani hawahudumiagi mtu mwenye madawa ya kulevya hata angekuwa anagalagala barabarani pale mpaka mwenyewe akajisahihishe na mgonjwa mwingine anahudumiwa bure kabisa,” rapper huyo amemuambia mtangazaji wa Ice Fm, Gami Deetz Alipoulizwa iwapo ni sawa kuwaacha wafe, GK […]

Read More..

Flora Mvungi Afa, Aoza kwa Penzi la Waziri!

Post Image

DAR ES SALAAM: HUKU kukiwa na taarifa kwamba ndoa yake na msanii wa Bongo Fleva, Hamis Ramadhan Baba ‘H-Baba’ imeparaganyika, mrembo wa Bongo Movies, Flora Mvungi amedaiwa kunasa kwenye penzi la mmoja wa mawaziri wa serikali ya awamu ya tano. Chanzo kilicho karibu na msanii huyo kimepenyeza habari kuwa, mrembo huyo kwa sasa yupo chini […]

Read More..

Alikiba Kufanya Tour Nchini Afrika Kusini

Post Image

Mshindi wa tuzo ya mwanamuziki bora wa EATV Award 2016, Alikiba amefungua mwaka kwa kutangaza tour yake ya kimataifa. Muimbaji huyo ambaye mwaka 2016 ulikuwa mzuri kwa upande wake baada ya kuchukua tuzo 13 za kitaifa na kimataifa, tour yake itaanza February nchini Afrika Kusini. “Happy New Year. It’s time to meet my fans across […]

Read More..

Pichaz: Jennifer na Patrick wa Kanumba Wali...

Post Image

Vijana hao wawili walifanya vizuri ndani ya filamu ya Uncle JJ pamoja na This Is It wakiwa na marehemu Steven Kanumba. Jennifer ambaye mwaka 2014 alionekana kwenye filamu ya Zena na Betina ya Salma Jabu aka Nisha, amehitimu kidato cha nne mwaka huu. Kwa upande wa Patrick 2016 alihojiwa na mtandao mmoja wa habari nakudai […]

Read More..

Abby Skillz Ndiyo Msanii wa Kwanza Kusainiw...

Post Image

Msanii Abby Skillz aliyerudi rasmi kwenye muziki kwa wimbo wake Averina akiwa na Mr Blue pamoja na Alikiba amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii wa kwanza kusaini mkataba chini ya ‘Label’ ya msanii Alikiba inayofahamika kama ‘Kings Music’. Abby Skillz amesema hayo kupitia eNEWZ na kusema mpaka sasa label hiyo imeshasaini wasanii kama kumi […]

Read More..

Pichaz: Dua ya Sajuki Ilifanyika Songea

Post Image

Siku ya tarehe 31/12/2016, muigizaji  Wastara Juma alimfanyia dua marehemu mumwe wake, Sajuki huko mkoani Songea. Wastara alifunguka haya; “Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpaka mda huu Sina budi kusema haya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza kesho. Ni miaka 5 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari, […]

Read More..

Kalapina Akana Kutafuna Mamilioni ya Chid B...

Post Image

Msanii wa Hip Hop na mwanaharakati wa madawa ya kuleva Kalapina amekanusha tetesi za kutapeli milioni 50 zilizotolewa na wadhamini kwa ajili ya kumsaidia Chid Benz kuachana na madawa ya kulevya. Akiongea kupitia eNewz Kalapina amesema hakuna mtu yeyote aliyejitokeza na kutaka kumsaidia Chid Benz bali alijitolea na kupoteza pesa nyingi alivyokuwa anakwenda kumsalimia Chid Benz alipokuwa Soba House. Hata hivyo […]

Read More..

Aunty Ezekiel Katuachia Funzo Juu ya Mapenz...

Post Image

Moja kati ya matatizo ya watanzania, ni kushindwa kusimamia yale tunayoayaamini. Linapokuja suala la mapenzi wengi hujikuta kwenye wakati mgumu hasa ikiwa yule anayempenda anaonekana si wa maana mbele za watu kwa hadhi,kipato na muonekano. Pengine mwaka 2016 mwanadada Aunty Ezekiel alituachia funzo,ukipenda usiangalie wengine wanaonaje fuata moyo wako na wasipooelewa wengine wataelewa mwisho wa […]

Read More..

Ally Star: Taarabu Itakufa Tusipoisaidia

Post Image

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa taarabu nchini, Ally Star, ameweka wazi kwamba muziki huo upo hatarini kutoweka endapo juhudi za kuunasua hazitachukuliwa. Ally ambaye ni msanii wa kundi la sanaa la Tanzania One Theatre (TOT), alisema kiwango cha muziki kimeshuka ikilinganishwa na miaka ya 1980. Alisema muziki wa taarabu hivi sasa umekutana na changamoto nyingi […]

Read More..

Gigy Money Afungukia Swala la Ukimwi

Post Image

Video queen matata ambaye pia ni mtangazaji wa kituo cha redio moja jijini hapa, Gift Stanford ‘Gigy Money’, ametema cheche akisema kuwa, watu wote wanaomsema kwamba kutokana na kuvaa nusu utupu na kujiachia na midume mbalimbali huenda ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi, waache kwani kama ni kweli basi wengi wangekufa kwa sababu ameshatembea na […]

Read More..

Kalapina Atoboa Aliyemuharibu Chid Benz

Post Image

Kalapina ambaye ni mwanaharakati wa kuwasaidia watu ambao wameingia kwenye matumzi ya dawa za kulevya amefunguka na kumtaja mama yake mzazi Chid Benz kama mtu anayemuendekeza Chid na kumfanya asitoke kwenye matumizi ya dawa za kulevya. Kalapina amesema mama huyo anampenda sana mtoto wake kiasi cha mtoto kujua na kuona kwamba hata akifanya jambo fulani yupo […]

Read More..

Wolper Ampiga Chini Harmonize Kupitia Insta...

Post Image

Staa wa Bongo Movie,Jacqueline Wolper amefunguka rasmi kumbwaga Harmonize kupitia  mtandao wa Instagram. Hata hivyo posthiyo haikuweza kukaa kwa muda mrefu – imefutwa, japo wapo waliowahi kuinasa mapema. Kwenye post hiyo iliyokuwa na picha ya Harmonize pamoja na emoji za alama ya kopa iliyopasuka, Wolper ameandika: Nina akili timamu me syo mtoto mdogo, endelea na […]

Read More..

Ferooz: Inamuwia Vigumu Kuachana na Madawa ...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Ferooz Mrisho ambaye katika miaka ya 2000 alitamba na wimbo wa Starehe ambaye kwa sasa ameathirika na dawa na matumizi ya Madawa ya kulevya, amedai inamuwia vigumu kuachana na matumizi ya dawa hizo. Muimbaji huyo amedai amejikuta akitenga bajeti kubwa ya fedha kwa matumizi ya kutumia dawa. “Ninawaomba wasanii wenzangu wasitumie […]

Read More..

Sitaki ‘Collabo’ na Wasanii wa ...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Q Chila amesema hakufanya kolabo na wasanii waliosainiwa kwenye lebo moja ya QS kwa sababu hakwenda pale kwa sababu ya kufanya kolabo na wasanii hao. Miongoni mwa wasanii hao ni pamoja na Nay, H_Baba na wengine. Akiongea kupitia eNewz Q Chila amesema kwa sasa anafanya kolabo na wasanii wa nje zaidi ili kuweza kutambulika kimataifa […]

Read More..

Diamond Hapaswi Kujiita Simba – Darassa

Post Image

Msanii wa bongo fleva Darasa ameweka wazi ule mstari wake wa “sio simba, sio chui, sio mamba” kwa kusema Diamond hakupaswa kujiita simba kwani simba ni mnyama ambaye anaweza kuuliwa anapozidiwa nguvu. Akipiga story kupitia eNewz Darasa amesema Diamond ni msanii ambaye amehangaika sana kutoka kimuziki hivyo mafanikio yake na uwezo wake wa muziki alitakiwa ajiite jina lingine kwa […]

Read More..

Young Dee Afungukia Tetesi za Kurudia Unga

Post Image

Young Dee amejibu kwa ufupi kuhusiana na tetesi kuwa amerudi tena kwenye matumizi ya dawa za kulevya. kiandika maneno mafupi sana kwenye post yake mpya ya Instagram, Young Dee amedai kuwa ‘muda utaongea.’ “Time will Tell… Mi sina tatizo na mtu… Tuombeane kheri tu… Siwezi shindana na maneno,” ameandika rapper huyo. Wiki hii tetesi za […]

Read More..

Darassa Afunga Mwaka Kwa Kishindo,Diamond B...

Post Image

TUMEZOEA kusikia nyimbo za mapenzi zikipendwa zaidi kuliko zile zenye ujumbe wa masuala mengine muhimu kwa jamii. Mara nyingi ngoma zenye meseji ni zile zinazohusisha mtindo wa kofokafoka yaani Rap. Kwenye historia ya Bongo Fleva, nyimbo za Rap hazikuwahi kuzizidi zile za mapenzi. Ngoma zenye jumbe za mapenzi zinapendwa zaidi sokoni na ndiyo  zinazochezwa zaidi. […]

Read More..

Nay Ataja Tofauti ya Diamond na Alikiba

Post Image

Nay wa Mitego amefunguka na kuweka wazi kuwa katika wanamuziki watatu wakubwa Tanzania wazuri kwake yeye Alikiba atakuwa namba moja ila katika wanamuziki wakubwa watatu wafanyabiashara basi Diamond Platnumz atakuwa namba moja. Nay ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Sijiwezi’, amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo cha EATV na kusema siku zote yeye amekuwa […]

Read More..