Crazy GK: Serikali Iwachukulie Hatua Kali W...
Rapper mkongwe nchini Tanzania King Crazy GK, ameshauri serikali kuwachukulia hatua kali watu wanaotumia dawa za kulevya nchini. “Marekani hawahudumiagi mtu mwenye madawa ya kulevya hata angekuwa anagalagala barabarani pale mpaka mwenyewe akajisahihishe na mgonjwa mwingine anahudumiwa bure kabisa,” rapper huyo amemuambia mtangazaji wa Ice Fm, Gami Deetz Alipoulizwa iwapo ni sawa kuwaacha wafe, GK […]
Read More..





