-->

Monthly Archives: February 2017

Irene Uwoya Awafungukia Wasanii Wanaodai Ku...

Post Image

Irene Uwoya ni moja kati ya wasanii wa bongo movies walioshiriki kwenye kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 akiwa kama kada wa chama cha mapinduzi. kufatia kile kinachoendelea hivi sasa kuhusu madai ya baadhi ya wasanii kudai na wengine kutangaza kulipwa wakati wanaifanya kazi ile ya kukipigia debe chama cha mapinduzi,Irene Uwoya amefunguka haya kupitia […]

Read More..

Wema Sepetu Amfungukia Batuli

Post Image

Ni baada ya Batuli kuongea na waandishi wa habari na kukanusha madai ya kuwa wasanii wa kundi la ‘Mama ongea na mwanao’ lililoshikirika kwenye kampeni za mwaka 2015,wanakidai chama cha mapinduzi. Kupitia mtandao wa Instagram, Wema Sepetu ameweka picha ya rafiki yake huyo wa zamani na kuandika ujumbe ambao umeashiria kuwa urafiki wao ndio basi […]

Read More..

Zitto Alia na Serikali Ugumu wa Maisha

Post Image

Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe amefunguka na kuililia serikali juu ya ukali wa maisha nchini kufuatia gharama za maisha kupanda. Mhe. Zitto Kabwe ameitaka serikali ifanye juhudi na jitihada kupunguza au kumaliza kabisa ukali wa maisha kwa wananchi kwani “Mtwara unga wa ugali ( sembe) Sasa tshs 2000 […]

Read More..

Rais wa Shirikisho la Filamu Afungukia Ishu...

Post Image

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba amesema kuwa mikataba na makubaliano ya kuwapigia debe wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 hayakuhusisha shirikisho hilo na yeye kama rais wa shirikisho hana taarifa hizo. “Ninachokifahamu ni kwamba, kila msanii alikuwa na mkataba wake binafsi hivyo shirikisho lisingeweza kumzuia msanii kujihusisha […]

Read More..

Baraka Amtaja Mfalme wa Hip Hop Bongo

Post Image

Msanii Baraka The Prince amefunguka na kusema rapa Lord Eyes kutoka Weusi ambaye pia ni msanii aliye chini ya usimamizi wake ndiye mfalme wa hip hop Bongo. Baraka The Prince amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya EATV na kusema wasanii ambao wana ‘diss’ yeye kumsimamia Lord Eyes katika kazi zake ni wale ambao wanaogopa […]

Read More..

Batuli Akanusha Madai ya Wema Sepetu Kuidai...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amekanusha taarifa iliyotolewa na Wema Sepetu kuwa CCM haijawalipa pesa za kampeni ya Mama Ongea na Mwanao kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Akizungumza na wanahabari kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Protea, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ akiwa na Ndumbangwe Misayo ‘Thea’,amesema madai aliyoyatoa Wema Sepetu hayana ukweli wowote […]

Read More..

Ally Kiba, Diamond Kuibeba Serengeti Boys

Post Image

Dar es Salaam. Wanamuziki Ally Kiba na Diamond Platnumz ni miongoni wa wajumbe wa kamati ya watu 10 wa kusaidia maandalizi ya timu ya taifa ya vijana ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ Akitangaza kamati hiyo inayoundwa na wanahabari, viongozi wa kampuni na wasanii Waziri wa Habari, Utamaduni Sana’a na Michezo Nape Nnauye amesema jukumu kubwa la […]

Read More..

Ray Kurudi na Nguvu Mpya Kwenye ‘Bong...

Post Image

Msanii filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka na kuwaomba mashabiki zake kuwa tayari kuipokea kazi yake mpya ya ‘Gate Keeper’ ambayo ina utofauti mkubwa katika kazi zake alizowahi kuzifanya hapo awali. “Filamu yangu mpya itakuwa ya tofauti sana na itahusisha mastaa wengi kama Single Mtambalike ambaye amecheza kama Professa, Kajala Masanja aliyecheza kama mwananfunzi wa chuo kikuu, Baba […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Anachokipenda Kwenye S...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye wiki iliyopita amekihama chama chake cha muda CCM na kuingia CHADEMA amefunguka na kusema kuwa anaipenda sana siasa na siku akifanikiwa katika siasa atafurahi sana kwa kuwa ni kitu anachokipenda sana. Wema Sepetu kupitia account yake ya Twitter amesema ameamua kuhama CCM na kuingia CHADEMA ili kupigania uhuru pamoja […]

Read More..

Lulu Diva Amfungukia Barnaba

Post Image

ZIKIWA zimepita wiki kadhaa tangu msanii wa Bongo Fleva, Barnabas Elius kudaiwa kutengana na mzazi mwenziye, msanii wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amemfungukia kuwa, ishu hiyo alipoisikia ilimshtua sana. Akichonga machache na Over Ze Weekend, Lulu Diva anayetamba kwa sasa na Ngoma ya Usimwache iliyofanyika MJ Records chini ya Daxo Chali alisema, amekuwa […]

Read More..

Shamsa Amfungukia Haya Gabo Zigamba

Post Image

Msanii Shamsa Ford ameweka wazi hisia za moyo wake kwa Gabo Zigamba kuwa ndiyo mwanaume pekee anayemkubali pindi wanapokuwa pamoja katika kazi za filamu na kuhisi kila wanachokifanya ni ukweli na uhalisia. Shamsa amebainisha hayo kupitia moja ya mtandao  kijamii anaoumiliki kwa kuweka picha inayowaonesha wawili hao wakiwa mbali kihisia huku ikiwa imebebwa na ujumbe […]

Read More..

Mzee Chillo Alia na Wataalamu wa Afya Muhim...

Post Image

MSANII nguli wa Filamu za Kibongo, Ahmed Olotu, ‘Mzee Chillo’ jana aliwafungukia baadhi ya wataalamu wa afya wa Chuo Kikuu cha Muhimbili (University of Health and Allied Sciences), jijini Dar, kuachana na mambo ya rushwa ili kuwafanya wananchi kuwa na imani nao. Mzee Chillo alisema hayo kwenye Warsha ya  Kilangi For Youth Academic Social Premier, […]

Read More..

VIDEO:Lukuvi Kumchukulia Hatua Aliyempa Mak...

Post Image

Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, William Lukuvi amesema atamchukulia hatua mfanyabiashara aliyemkabidhi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda eneo kwa ajili ya viwanda kwa sababu eneo hilo si lake ni mali ya Serikali. “Sitaki ardhi itumike kama sehemu ya wafanyabiashara kutakatishia fedha zao chafu,”amesema Lukuvi leo (Jumatatu) katika mkutano na waandishi […]

Read More..

Filamu ya Gate Keeper Kuzinduliwa Suncrest ...

Post Image

MTAYARISHAJI na muongozaji mahiri katika tasnia ya filamu Swahilihood Vincent Kigosi kupitia kampuni yake ya R J kwa kushirikiana na Steps Entertainment Ltd itarajia kuzindua filamu kali na ya kusisimua ya Gate Keeper katika ukumbi wa Suncrest Cinema uliopo Mwalim Nyerere. Sinema hiyo itazinduliwa tarehe 3.3. 2017 huku ikiambatana na matukio makubwa kama vile Red […]

Read More..

VIDEO: Irene Uwoya Ataja Kilichomkosesha Ub...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefafanua sababu za kutopitishwa na chama chake cha CCM kuwa mbunge wa Viti Maalum vya wanawake, na kusema kuwa kilichomuangusha ilikuwa ni kura za Rais kuwa chache. Uwoya alikuwa akijibu maswali ya wapenzi na mashabiki zake LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, ambapo swali la kwanza kabisa kuulizwa, […]

Read More..

Nimezaliwa Upya, Subirini Cheche!-TID

Post Image

VITA vya dawa za kulevya imeshika kasi huku tukiona wasanii wakizungumziwa kutokana na kujihusisha na matumizi ya dawa hizo. Matumizi ya dawa za kulevya yamechangia kwa kiasi kikubwa kuharibu ndoto za watumiaji. Watumiaji katika jamii ni wengi huku sanaa ikiwa ni moja ya wahanga wakubwa wa tatizo hilo. Ni rahisi kuwatambua wasanii wanaojiusicha na matumizi […]

Read More..

Shamsa: Nilijua Matatizo yatamkuta mume wan...

Post Image

SIKU chache baada ya mumewe, Chid Mapenzi kupata msala wa madawa ya kulevya na kuswekwa Kituo Kikuu cha Polisi (Sentro), Muigizaji Shamsa Ford amesema kamwe haiwezi kutokea akamuacha mumewe kwani tangu awali, alijua siku moja mumewe anaweza kupata matatizo kama hayo. Muigizaji huyo alisema tayari mitandaoni kumeshaanza kuenea uvumi kuwa huenda akamuacha mumewe kutokana na […]

Read More..

Rais Magufuli Asema Epa ni Ukoloni Mwingine

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemweleza Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kwamba Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi na Jumuiya ya Ulaya (EPA) ni aina mpya ya ukoloni utakaoua maendeleo ya viwanda katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Siku ya mwisho ya kusaini mkataba huo ilikuwa Oktoba mosi mwaka jana, lakini katika kikao […]

Read More..