-->

Monthly Archives: February 2017

Mama Wema Sepetu Ashinda Polisi Kujua Hatim...

Post Image

Sakata la baadhi ya wasanii wakubwa nchini kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya limezidi kuchukua sura mpya, huku mzazi wa Wema Sepetu akishinda polisi kujua hatima mwanaye. Akiongea huku akiwa kama mtu aliyepatwa na hamaki mama mzazi wa Wema Sepetu, alisema kwa sasa anasubiri kauli ya Polisi ili aweze kujua kama mtoto wake atafikishwa […]

Read More..

Bongo Fleva Someni Namba za Diamond

Post Image

UONGOZI wa kambi ya Wasafi umesema Diamond yuko bize sana na shoo kwa sasa. Kila kukicha Diamond Platinum ni lazima aangalie ratiba ya wapi atakuwepo. Inachosha japo inafurahisha na kutajirisha. Inachosha kwa sababu kama binadamu inabidi apumzike, ila inafurahisha kwa sababu mbali ya kufanya kitu anachokipenda, ila pia anazidi kuongeza uzito wa akaunti yake. Ni […]

Read More..

Mpoto Afunguka Sakata la Madawa ya Kulevya

Post Image

Msanii wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto amefunguka kwa kusema kuwa yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanaunga mkono harakati za Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda za kupambana na biashara ya Madawa ya kulevya. Akiongea Jumapili hii katika kipindi cha runinga cha Jambo Tanzania cha TBC1, Mrisho Mpoto amedai […]

Read More..

Video: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Harmorap...

Post Image

MPAKA HOME: Msanii chipukizi anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki wa kizazi kipya Bongo, Harmorapa aliyejipatia umaarufu kutokana na kufanana na msanii kutoka WCB, Harmonize, ameyaanika maisha yake ya kila siku na mpenzi wake ‘Wolper’ baada ya kutembelewa na MPAKA HOME ya Global TV Online. Ungana na mwandishi wetu, Imelda Mtema aliyemtembelea mpaka home kwake. […]

Read More..

Nape Afungukia Sakata la Wasanii wa ‘Unga’

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye ameingilia kati na kutaka busara itumike katika zoezi la kutaja wasanii wanaohusika na dawa za kulevya linalofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Nape ametoa ushauri huo leo Mjini Dodoma wakati akizungumza na wanahabari kuhusu sheria mpya wa huduma za habari, ikiwa […]

Read More..

IGP Mangu Awasimamisha Kazi Askari Polisi 1...

Post Image

Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu amewasimamisha kazi askari 12 waliotuhumiwa kujihusisha na madawa ya kulevya wakati uchunguzi ukiendelea. IGP huyo amewaambia wanahabari, Jumamosi hii katika makao makuu ya Polisi huku akisema kuwa Polisi ndiyo chombo kinachoongoza mapambano juu ya madawa hayo, huku akisema kuwa hatua zitachukuliwa dhidi ya askari atakayetuhumiwa. “Tumeamua kuwasimamisha […]

Read More..

Filamu ya ‘Ndugu wa Mume’ Iliti...

Post Image

Filamu ya ‘Ndugu wa Mume’ iliyotoka mwaka jana miezi ya katikati ni moja kati ya filamu bora zililizotoka kwa mwaka huo. Ubora wa filamu hiyo sio tu kwenye ‘quality’ ya picha na sauti, bali ni stori na uwezo mkubwa wa waigizaji wakali waliocheza kwenye filamu hiyo. Filamu imeandaliwa Ommy Clayton ‘Dogo Masai’ ambaye ni muigizaji […]

Read More..

Hii Ndiyo Safari ya Muziki ya Ray Vanny

Post Image

Msanii Raymond alimaarufu kama Ray Vanny amefunguka na kuweka wazi safari yake ya muziki toka ameanza mpaka kufikia hatua kuingia chini ya usimamizi wa label ya WCB Wasafi chini ya Diamond Platnumz. Ray Vanny kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa ngaz’ kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana anasema mwanzo kabisaa alianza kuandika, akaja kurap kisha […]

Read More..

Video: Mtanzania wa Kwanza Kupata Shavu la ...

Post Image

Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon, amechukuliwa kusimamia kampuni ya kimataifa ya utengenezaji na usambazaji filamu, D Street Media Group, kama Rais. Bongo5

Read More..

Wema Sepetu, TID na Wenzao Waendelea Kushik...

Post Image

Wakati macho na masikio ya Watanzania wakisubiri kusikia hatma ya wasanii wanaodaiwa kujihusisha na dawa za kulevya, wasanii wanne waliofika Kituo Kikuu cha Polisi bado wanashikiliwa na jeshi hilo kwa mahojiano zaidi. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema kuwa bado wasanii hao Wema Sepetu, Dogo Hamidu, Khalid Mohamed (TID), […]

Read More..

New Video: Chege Ft Nandy – Kelele Za Chu...

Post Image

Msanii wa muziki Chege Chigunda ameachia video ya wimbo wake mpya, Kelele Za Chura akiwa amemshirikisha Nandy. Video imeandaliwa na Wanene Films chini ya director Destro.    

Read More..

Ray C: Viongozi Wamenipa Moyo Narudi Upya

Post Image

BAADA ya kutumbuiza kwa mafanikio katika kikao cha Kamati ya Ushauri cha Mkoa wa Dodoma (RCC) juzi, mwanamuziki Rehema Chalamila ‘Ray C’, ameweka wazi kwamba yupo mbioni kurudi upya katika muziki wa ushindani kwa kuwa anaamini bado muziki wake una mashabiki wa kutosha. Ray C aliliambia MTANZANIA hayo baada ya kumaliza kutumbuiza nyimbo zake katika […]

Read More..

Harmorapa ni Level Nyingine- P Funk Majani

Post Image

Producer mkongwe na mwenye heshima yake P Funk Majani ameibuka na kumzungumzia huku akimsifia msanii anayeibukia kwa kasi katika bongo fleva, Harmorapa na kusema kuwa rapa huyo ni “level nyingine”. Tangu Msanii Harmorapa ameingia kwenye muziki kwa kuanza kujifafanisha na msanii Harmonize, kila wakati rapa huyo amekuwa akiingia kwenye ‘headline’ mbalimbali na kuzungumziwa na wasanii wengi […]

Read More..

Video: MarryYou by Diamond Platnumz ft Neyo

Post Image

Tazama video mpya kabisa kutoka kwa mkali wa bongo fleva ,Diamond Platnumz akiwa amemshirikisha Neyo msanii kutoka kwa Trump.

Read More..

Kamanda Sirro Amtaja Vee Money Ishu ya Mada...

Post Image

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro amemtaja msanii wa Bongo Fleva, Vanesa Mdee ‘Vee Money‘ kuwa ni miongoni mwa wanaotuhumiwa kuhusika na mtandao wa biashara haramu ya madawa ya kulevya baada ya jina lake kuongezwa kwenye orodha iliyotajwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. […]

Read More..

Wema Sepetu: Situmii Madawa ya Kulevya

Post Image

Wema Sepetu anataka kuweka jambo moja ‘very clear’ kuwa yeye si mtumiaji wa madawa ya kulevya. Staa huyo ametoa kauli hiyo baada ya kuwepo kwenye orodha ya mastaa wanaotuhumiwa kubwia unga na walioamriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kujisalimisha kituo cha polisi central jijini Dar, Ijumaa hii kwa mahojiano zaidi. […]

Read More..

Pichaz: Wema Sepetu na Wenzake Waitikia Wit...

Post Image

Kufuatia agizo la mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuwataka baadhi ya mastaa wanaoshukiwa kujihusisha na matumizi na biashara ya madawa ya kulevya kuwasili kituo cha polisi cha kati siku ya leo baadhi ya mastaa wametii agizo hilo na kuwasili. Malkia huyo wa filamu ambaye alikuwa mmoja kati ya wasanii waliotuhumiwa na […]

Read More..

Asha Boko Awalilia ‘Comedians’ wa Kike

Post Image

Msanii wa vichekesho Asha Boko amewasihi wachekeshaji wa kike kujitokeza kwa wingi ili kuweza kuchangamsha sekta ya uchekeshaji kwa wasanii wa kike nchini Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Asha amesema anashangazwa na uchache wa wasanii wa kike kwenye upande wa Comedian na kuwataka wasiogope kwakuwa hakuna wasanii wa vichekesho Bongo wengi kwa upande wa wanawake. […]

Read More..