Kwa Nini Wolper Hakumfariji Zari Alipofiwa ...
KUFUATIA wadau mbalimbali kumtuhumu kwamba, hana utu kwa kushindwa kwenda kumfariji rafiki yake, Zarinah Hassan ‘Zari The Bosslady’ hivi karibuni alipofiwa na mzazi mwenzake, Ivan Ssemwanga ‘Don Ivan’ huko Uganda, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameibuka na kufungukia sababu za kutofanya hivyo. Akizungumza na Wikienda, Wolper alisema kuwa, ulipotokea msiba wa Ivan, […]
Read More..





