Sijafuata Utaratibu wa Alikiba – Abdu Kib...
Msanii wa Bongo Fleva, Abdu Kiba amesema hajafuata utaratibu wa kaka yake ‘Alikiba’ wa kutomfollow mtu yeyote katika mtandao wa instagram. Muimbaji huo amesema kilichopelekea yeye kutomfollow mtu yeyote ni baada ya wadukuzi kuiba akauti yake na alipoirejesha ilimbidi kuwaondoa watu wote waliokuwepo. “Nikizungumzia akauti nakumbuka mwezi mmoja nyuma nikiwa Marekani akaunti yangu walihack kwa […]
Read More..