-->

Daily Archives: June 11, 2017

Wema Sepetu na Gabo Zigamba Ndani ya KISOGO...

Post Image

Malkia wa filamu Bongo Wema Sepetu, ameweka bayana ujio wa filamu fupi mpya ya “Kisogo” aliyofanya pamoja na muigizaji mwenzake Gabo Zigamba, itakayo weza kupatikana kwa njia ya mtandao. Wema amebainisha hayo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram kwa kuweka kionjo cha filamu hiyo pamoja na ujumbe huu. “Asikwambie Mtu Kuigiza Raha bwaaana… Sema ndo […]

Read More..

Wivu Utaniua – Shamsa

Post Image

Muigizaji wa filamu bongo Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba hataweza kukubali Mume wake kuongeza mke wa pili kama hataweza kumpa sababu maalumu kwa kuwa anaamini anamtosheleza mume wake kwa kila kitu. Shamsa amefunguka hayo kwenye FNL na kusema kuwa wivu alionao juu ya mume wake hafikirii kama atakubali kirahisi kuongezewa mke mwenza huku akiwa […]

Read More..

Wema: Ustaa ni Mateso, Niacheni

Post Image

“NAHITAJI kupumzika sasa, nimechoka kuhusishwa na mambo yasiyo na mashiko. Kwakweli nimechoshwa na ninaumizwa sana na hii hali,” ndivyo anavyosema msanii wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu. Wema ambaye ni Miss Tanzania mwaka 2006, amezua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya clip inayosikika sauti inayodaiwa ni yake akizungumza kimahaba na mtu anayedaiwa kuwa […]

Read More..

AT Atoa Siri Kuhusu Kiba

Post Image

Muimbaji wa muziki wa mduara anayewakilisha pande za Zanzibar, Ally Tall  ‘AT’ amefunguka na kusema katika maisha yake hawezi kumsahau mwanamuziki Ali Kiba kwani pasipo kukutana naye leo hii angekuwa ni mvua samaki kwao. Akiwa kwenye heshima ya bongo fleva ya Planet Bongo ndani ya East Africa Radio, AT amesema kwamba baada ya kuahidiwa kupatiwa msaada […]

Read More..

Meneja Amtetea Aslay kwa WCB

Post Image

Meneja wa Aslay, Chambuso amemtetea msanii wake huyo kuwa hajawahi kuwa na ukaribu na Alikiba. Hilo limekuja baada ya kusambaa maneno kuwa hitmaker huyo wa ‘Muhudumu’ ameingia kwenye mgogoro na WCB kutokana na ukaribu wake na Alikiba. Akiongea Ijumaa hii katika kipindi cha FNL, Chambuso amesema, Aslay hajawahi kuwa karibu na Kiba na wala hakuwa […]

Read More..

Mlela Anavyozidi Kuingiza Mkwanja Nje ya Bo...

Post Image

BAADA ya mwaka jana kula shavu la ku­cheza tamthiliya nchini Kenya kwa mwaka mmoja ambalo limeisha mwezi huu, staa wa fil­amu Bongo, Yusuf Mlela amejikuta akichekelea baada ya kupata kazi ny­ingine tena. Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Mlela alisema ana furaha kubwa kupata kazi nyingine inayokwenda kwa jina la Nyota ambayo ni ya miezi saba […]

Read More..