VIDEO: Jay Moe Amkana T-Touch
Msanii wa mkongwe wa ‘ hip hop’ mwenye hit ya ‘Nisaidie kushare’ Jay Moe amefunguka kwa kusema hawezi kusainiwa na mtu yoyote yule akidai yeye mwenyewe ana label yake ya So Famous na kuna wasanii wanamtegemea. Jay Moe amefafanua hayo baada ya kuenea tetesi zilizokuwa zikiwaaminisha watu kuwa huenda akasainiwa na Mr T-Touch ili aendelee […]
Read More..