Alichosema Jaydee kuhusu Tundu Lissu
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye leo ameachia kazi yake mpya ya ‘I miss you’, ametoa maoni yake juu ya hali ya sasa inayoendelea hapa nchini, ikiwemo matukio ya kupigwa na risasi kwa Tundu Lissu na Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Lady Jaydee […]
Read More..





