Mr Nice Avamiwa na Majambazi Kenya, Aibiwa ...
Mwanamuziki, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ hivi karibuni amedai alivamiwa na majambazi akiwa nchini Kenya na kuibiwa simu 2, laptop, pamoja na pesa taslimu kiasi cha tsh milioni 30. Muimbaji huyo kwa sasa yupo nchini Kenya kwa zaidi ya miezi 6 akifanya shughuli za muziki pamoja na show. Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii akiwa nchini Kenya, […]
Read More..