Dude: Tasnia ya Filamu Bongo ni Kama Choo c...
Msanii wa filamu nchini, Kulwa Kikumba aka Dude, amesema tasnia ya filamu Tanzania imekuwa kama choo cha jiji ambapo kila mwenye hela na anayetaka kuwa maarufu, hukimbilia huko. Dude amesema hiyo ni sababu kubwa ya kuzorota kwa tasnia ya filamu nchini. “Ubovu wa kazi za movie unakuja kutokakana na kupenda hela zaidi kuliko kufikiri,” Dude […]
Read More..