Chege Awapa Makavu Hawa, Wanaoiamishia Rama...
Msanii wa Bongo fleva Chege Chigunda amefunguka dhidi ya watu wanaouhamishia mwezi wa Ramadhan katika mitandao ya kijamii. Akizungumza na Enewz Chege alisema kuwa kwa Bongo watu wanakuwa wanapoteza maadili ya dini kwasababu siku hizi miezi hii ya Ramadhani imehamia instgram kitu ambacho wengi wanakosea. “Funga siyo kujikwida sijui manini sijui kufunga ni imani na […]
Read More..





