Wabunge wanawake UKAWA watoka nje ya Bunge,...
Wabunge wanawake wa Upinzani(UKAWA) wametoka nje ya Bunge asubuhi ya leo, baada ya kauli kuwa wanapewa nafasi za Ubunge sababu wana mahusiano ya kimapenzi na viongozi wao. Akizungumza nje ya ukumbi wa Bunge kwa niaba ya wenzake Mbunge wa Kawe Halima Mdee ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) amesema wamekasirishwa na […]
Read More..





