-->

AY kafunga ndoa ya siri Rwanda?

Post Image

February 11, 2018 nikusogezee stori ya Staa Mkongwe wa Bongofleva Ambwene Yesaya ambaye wengi tunamfahamu kama AY  hii stori inatokea nchini Rwanda February 10, 2018 zime-trend picha na habari katika mitandao ya kijamii kuwa staa huyo kafunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Remy. AY ameripotiwa kufunga ndoa nchini Rwanda ambapo ndio nyumbani kwa mchumba wake Remy, inaripotiwa kuwa harusi ya AY […]

Read More..

Taarifa kutoka Hospitali aliyopo Wastara ku...

Post Image

February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema Wastara ameshafanyiwa Vipimo (Operation ) na anaendelea kupatiwa Matibabu. Muigizaji Wastara ambaye yupo katika Hospitali ya Saifee (Mumbai ) Nchini India anaendelea vizuri na siku hiyo ya jana […]

Read More..

VideoMpya: Ina Dakika 4 “Delailah” ya Q...

Post Image

  Mkongwe wa Bongofleva ametuletea  Video Mpya inayokwenda kwa jina la ‘Delailah’, Director wa Video ni Kilonzo. Bonyeza PLAY hapa chini kuitazama. Baada ya kumaliza kuitazama usisahau kuweka Comment yako ili Q Chief akipitia aweze kuisoma umeipokeaje video hii.

Read More..

Good News!! Filamu ya Kiumeni kutazamwa nch...

Post Image

Taarifa ikufikie kuwa filamu ya Kiumeni kutokea nchini Tanzania inaweza kuwa ya kwanza kutazamwa katika Cinemas nchini Marekani ambapo filamu hiyo iliachiwa rasmi Mlimani City Century Cinemax Jijini Dar es salaam March 15,2017. Kupitia Instagram account ya Idris Sultan ambaye ni mmoja kati ya waigizaji katika filamu hiyo ya Kiumeni aliandika caption inayosema “Kwa mashabiki zangu mliopo Marekani na wanaonichukia pia Filamu ya kiumeni itaonyeshwa […]

Read More..

VideoMPYA: Hii ni nyingine kutoka kwa Msaga...

Post Image

muziki wa Kisingeli Msaga Sumu anakualika kuitazama video mpya ya wimbo wake wa “Kitu Gani” akiwa kasimama mwenyewe ili kuburudika na wimbo huo bonyeza PLAY.

Read More..

Dogo Janja anaitwa Baba Krish?

Post Image

miezi kadhaa imepita tokea muigizaji Staa Irene Uwoya afunge ndoa na msanii Dogo Janja na kwa upande wao wameonekana kuridhika na ndoa yao ingawa maneno yalikuwa mengi kutoka kwa mashabiki. Mapenzi kati yao yanaonekana kushamiri na kudumu hii ni baada ya Dogo Janja kukabidhiwa majukumu kama baba wa familia baada ya kuitwa Baba Krish katika comment kupitia instagram akaunti ya Irene Uwoya na jina hili kuonekana […]

Read More..

Video Mpya – Ngoma mpya ya Mbosso ina...

Post Image

Tarehe 9 febuari,2018 msaani MBOSSO ametoa nyimbo mpya inayoitwa” NIMEZOEA”. BOFYA “play” kutazama video yake

Read More..

Ray C anacho fikiria kuhusu Diamond Platnum...

Post Image

February 9, 2018 story ambayo imeshika headlines kwenye mitandao ya kijamii ni ya msanii mkongwe katika game ya Bongo Fleva Ray C baada ya kupost picha ya Diamond Platnumz na kuandika ujumbe kwa mashabiki wa muziki wanaomponda Diamond Platnumz  Kupitia ukurasa wa instagram wa Ray C ameandika caption inayosema “Mi naumiaga sana nikiona huyu mtoto anasemwa semwa kila siku! Amefanya mapinduzi makubwa sana huyu mtoto! kama una […]

Read More..

Diamond afunguka kuhusu mahusiano na baba y...

Post Image

Baada ya tetesi za muda mrefu kuzagaa kuwa Msanii wa Muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz kuwa hana mahusiano mazuri na baba yake mzazi, Hatimaye Diamond ameweka wazi ukweli wote kwa kukanusha taarifa hizo. Diamond amesema kuna watu wenye hira ndio wanaokuza mambo lakini yeye huwa anawasiliana naye na huwa anamsaidia pale anapokuwa na kitu. Ingawaje […]

Read More..

Mzee Majuto: Niombeeni Jamani, Tezi Dume Si...

Post Image

MKONGWE wa filamu za Kibongo aliye kipenzi cha wengi, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ ambaye kwa sasa ni mgonjwa ametoa ya moyoni kuwa bado anaumwa hivyo kuwaomba wasanii wenzake na Watanzania kumuombea. Akizungumza na Star Mix, Mzee Majuto alisema Februari 11, mwaka huu anatarajia kurudi tena katika Hospitali ya Tumaini, Dar alikokuwa amelazwa awali na kuruhusiwa […]

Read More..

Niva atambia kimombo

Post Image

MWIGIZAJI Mohammed Zubery ‘Niva’, amefichua kuwa kujifunza kwake lugha ya Kiingereza kumemfungulia njia kwani sasa safari za kutoka na kwenda nje ya nchi zinajitokeza na hana hofu tena katika suala la mawasiliano na watu mbalimbali. “Nawaambia kabisa, kila siku wasanii wenzangu wajifunze lugha tofauti, kwani nimesoma kozi ya Kiingereza na imeanza kujibu bwana safari zimeanza […]

Read More..

Wema Sepetu : Mahakamani Kisutu.

Post Image

Msanii Wema Sepetu leo amefika Mahakamani kufuatilia kesi yake ya kukutwa na msokoto wa Dawa za Kulevya aina ya Bangi Wema amefika Mahakamani hapo akiwa na Wakili Albert Msando aliyetangaza kumtetea baada ya Wakili Peter Kibatala kujitoa kumtetea msanii huyo mrembo Wema Sepetu ya kukutwa na msokoto wa bangi imesikilizwa leo February 8, 2018 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi […]

Read More..

Diamond Platnumz na Hamisa Mobetto alivyofi...

Post Image

February 8, 2018 Staa wa Bongofleva Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz na Mzazi mwenzie Hamisa Mobetto wamefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusikiliza shauri lao la matunzo ya mtoto. Nimekuwekea Video ya Diamond na Hamisa walivyofika Mahakamani Hatua ya Diamond na Mobetto kufika Mahakamani inatokana na Mobetto kufungua shauri kuhusu matunzo ya mtoto aliyezaa na Diamond. Awali Mahakama hiyo ilitupilia mbali shauri hilo baada ya Diamond kuwasilisha pingamizi dhidi ya […]

Read More..

SHILOLE : Macho ya Uchebe, Tabasamu Lake Mi...

Post Image

NAJUA unamjua ila Mpaka Home inakujuza zaidi. Siyo mwingine ni staa wa Bongofleva, Shilole maarufu kama Shishi Baby ambaye wazazi wake walimpa jina la Zuwena Mohammed. Shishi ametamba na nyimbo kadhaa katika Bongofleva ingawaje umaarufu wake ulianzia kwenye filamu. Hivi karibuni, alifunga pingu za maisha na Ashraff Uchebe, watu wengi hawajui staa huyu anaishi vipi […]

Read More..

Miss Tanzania Afunguka Haya Kuhusu Alikiba

Post Image

Miss Tanzania 2016, Diana Edward amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye anampenda sana Ally Saleh alimaarufu kama ‘Ali Kiba’ kutokana na ukweli kwamba msanii huyo amejiweka tofauti na wasanii wengine na ametulia. Miss Tanzania ameweka wazi hilo kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio wakati akipiga stori na Big Chawa na kusema yeye […]

Read More..

Idriss Afunguka Kumpa Mimba Wema Sepetu

Post Image

Muigizaji wa filamu na mchekeshaji mahiri katika masuala ya komedi Idris Sultan amefunguka na kuweka wazi kuwa ni kweli alifanikiwa kumpatia ujauzito Wema Sepetu tena wa watoto wawili lakini kwa bahati mbaya uliharibika. Idris Sultan amesema hayo kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kwenye ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane […]

Read More..

TUNDA- Napenda vitu vizuri na ninaweza kuji...

Post Image

Baada ya kusambaa video ya Tunda akila Bata na Kinje, Tunda alielezea kuwa yeye havujishagi video na kuhusu kulala hoteli za nzuri na kula bata anajilipia yeye mwenyewe au wakati mwingine mpenzi wake lakini yeye anaweza kujilipia mpaka hotel ya Dolla 400.. ..>>>“Mimi napenda vitu vizuri na penda kula sehemu nzuri na kulala sehemu nzuri […]

Read More..

ChindoMan Ft Rayvanny (wcbwasafi) – M...

Post Image

Bongo Flevani nakusogezea video ya wimbo mpya wa Chindo Man “Mama Lao” akiwa amemshirikisha Rayvanny kutokea WCB. Bonyeza PLAY ku-enjoy wimbo huo.

Read More..