-->

Matukio Yaliyobamba 2016 Kwenye Burudani

Post Image

MWAKA huu umeonekana kuwa funzo kubwa kwa wasanii nchini baada ya waliokuwa wakitumia dawa za kulevya kuachana na utumwa huo na kurudi katika kazi zao za sanaa.   Waliojitangaza kuwa walikuwa watumwa wa dawa hizo na wameamua kupata matibabu ya kuachana nazo ni pamoja na Rehema Chalamila ‘Ray C’ ama kiuno bila mfupa kama wengi […]

Read More..

Ray C Kutikisa Tena Anga la Bongo

Post Image

Msanii wa kike aliyewahi kutikisa kupitia muziki wake kwa ufundi wa kukata viuno akiwa stejini mwanadada Ray C yuko mbioni kurudi tena kwenye game na tayari ameshafanya ngoma tano na zinatarajiwa kuachiwa hivi karibuni. eNewz imezungumza na msemaji wa Wanene Entertainment Gentriez ambapo kwa sasa ndiyo sehemu ambayo Ray C anatengenezea ngoma zake na amefunguka kuhusu […]

Read More..

Nay wa Mitego: Nitamsaidia Chid Benz Nikish...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva,Nay wa Mitego amefunguka kuwa yupo kwenye mipango ya kumsaidia rapper Chid Benz kutoka kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Nay amekiambia kipindi cha Dj Shows cha Radio One kuwa anajaribu kumsaidia Chid lakini akishindwa basi haitokuwa bahati yake. “Nadhani tuwaombee watu mabaya tuwaombee kwa mazuri arudi kwenye amani kama ilivyo kwa […]

Read More..

Shamsa Ford Kuzaa ‘Kijiji’

Post Image

WAKATI watu wa kada mbali-mbali wakielezea uwepo wa hali ngumu ya kiuchumi nchini, Muigizaji Shamsa Ford ambaye miezi michache iliyopita aliolewa, amesema anataka kuzaa watoto wengi (kijiji) wapatao saba, tena kwa haraka haraka. Akizoza na mwanahabari wetu, Shamsa alisema hivi sasa yupo katika harakati za kuusaka ujauzito kwa hali na mali, kwani licha ya mambo […]

Read More..

Q Chief Atoa Siri ya Wasanii Kutoacha ̵...

Post Image

Msanii Q Chief amefunguka na kusema kuwa baadhi ya wasanii kushindwa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya ni kutokana na wao wenyewe kutokubaliana na hali hiyo kutokana moyoni mwao. Q Chief pia ametoa lawama kwa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijifanya kuwasaidia wasanii hao kuachana na madawa wakiwa na lengo la kutaka kunufaika nao […]

Read More..

Nisifieni Kabla Sijafa – Said Fella

Post Image

Meneja wa wasanii na kiongozi wa ‘Mkubwa na Wanawe’, ambaye pia ni diwani wa kata ya Kilungule Said Fella au Mkubwa Fella, amewataka watu kutambua mchango wake kabla hajafa badala ya kuponda jitihada zake Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Said Fella amesema watu wamekuwa wanaongoza kumsema vibaya badala ya kumsifia na kumpongeza, kwani kazi […]

Read More..

Msambwanda Wangu wa Kinyakyusa Nimezaliwa N...

Post Image

Staa wa bongo fleva Witness aka Kibonge mwepesi  amewajia juu mashabiki wanaomsema vibaya kutokana na umbile lake, na kusema wanachukia kuona wanapendana na mpenzi wake Ochu Shegy licha ya ubonge alionao.   Kwenye ukurasa wake wa Instagram Witness ameandika waraka akiwaambia watu hao kuwa hajali wasemayo, kwani umbile lake hilo amezaliwa nalo na sio la […]

Read More..

Calisah: Wema Sepetu Ana Mapenzi ya Kweli

Post Image

Mwanamitindo aliyejipatia jina mwaka huu kutokana na kuwa na uhusiano wa muda mfupi na Wema Sepetu, Calisah, amemwelezea muigizaji na Miss Tanzania huyo wa zamani kuwa ni msichana mzuri na mwenye mapenzi ya kweli. Calisah ameiambia Bongo5 kuwa Wema ni msichana wa pekee. “Wema ni msichana mzuri, ana upendo, ni mwelewa, ana mapenzi ya kweli, […]

Read More..

Sijawahi Kulala kwa Shilole – Nedy Music

Post Image

Msanii wa bongo fleva kutoka PKP chini ya Ommy Dimpoz amefunguka kuhusu tuhuma za yeye kuwa na mahusiano na msanii mwenzake Shilole, na kusema kuwa hajawahi kuwa mahusiano na mwana dada huyo zaidi ya urafiki wa kawaida. Nedy akiwa katika kipindi cha FNL cha EATV alisema taarifa za kuwa yeye ni miongoni mwa vijana waliotongozwa na […]

Read More..

Gabo: Mtindo wa Maisha Yangu ni Tofauti na ...

Post Image

Msanii Gabo Zigamba ameweka wazi kuwa hana tofauti na wasanii wenzake kama ambavyo imekuwa ikilalamikiwa na wengi kuwa msanii huyo haelewani na wenzake. Akizungumza na East Africa Television, Gabo amesema kinachomfanya aonekane ana tofauti na wasanii wenzake ni utoafuti wa mtindo wa maisha alionao, lakini hana tatizo nao na anawapenda kwa dhati. “Hakuna msanii ambaye […]

Read More..

Filamu ya Naomba Niseme Yachaguliwa Tuzo Ku...

Post Image

FILAMU bora kabisa ya Naomba Niseme iliyotayarishwa na Staford Kihore imeendelea kufanya vizuri katika tuzo mbalimbali na matamasha baada ya kuchaguliwa kwa mara nyingine katika tuzo kubwa Afrika za African Magic Viewers Choice Awards 2017, sinema hii fupi inapambana na filamu za watayarishaji wengine wakubwa. Historia inaonyesha kuwa filamu nyingi ambazo zimekuwa zikipenyeza katika matamasha […]

Read More..

Shilole Ndiye Aliyenitongoza – Hamadai

Post Image

Msanii wa bongo fleva Hamadai ambaye  aliwahi kuwa mpenzi wa msanii mwenzake Shilole amezungumza na eNewz na kutokwa na povu kuwa, Shilole ndiye aliyeanza kujipendekeza kwake na kumsumbua kwa muda mrefu akitaka wawe wapenzi. Hamadai ni msanii mchanga wa bongo fleva ambaye watu wengi walimfahamu mara baada ya kuwa katika mahusioano na Shilole. Amesema kuwa kwa […]

Read More..

Mwana FA Akiri ‘Kutia Chumvi’ K...

Post Image

Mkongwe wa Rap ndani ya Bongo, Mwana FA, amesema siyo kila kitu alichoimba kwenye ngoma yake inayotikisa hivi sasa ya ‘Dume Suruali kina uhalisia, huku akikiri ‘kutia chumvi’ nyingi kwenye wimbo huo. FA amefunguka hayo alipokuwa kwenye show kubwa ya kila Ijumaa saa 3;00 ya FNL inayoruka kupitia EATV, na kuwatoa hofu mashabiki wake hususani […]

Read More..

Picha: Alikiba Ashiriki Kwenye Mechi ya Sok...

Post Image

Kama isingekuwa muziki, huenda Alikiba angekuwa mmoja wa vinara wa timu kubwa za soka nchini, zikiwemo Simba au Yanga. Baada ya mechi, Alikiba alitunikiwa tuzo ya mchezaji bora staa Pamoja na kufanya muziki, Alikiba hutumia muda wake mwingine kujikumbushia kipaji chake cha soka, na ndio maana Jumamosi hii alishiriki mechi ya hisani ya mchezo huo […]

Read More..

Tunda Man Atoa ya Moyoni Kuhusu Babu Tale

Post Image

Msanii Tunda Man ametoa ya moyoni kuhusu meneja wake Babu Tale ambaye pia anaisimamia Tip Top, kutokuwa karibu nao kama siku za nyuma. Akizungumza na East Africa Television, Tunda Man amesema ni ukweli usiopingika kuwa Babu Tale haithamini Tip Top kama siku za nyuma, na ni kitendo ambacho kinamuumiza sana msanii huyo. Pia Tunda Man […]

Read More..

Mwaka Huu Nilitingwa na Masomo-Lulu

Post Image

Msanii  wa bongo movie Lulu ambaye alipata nafasi ya kutoa tuzo ya  muigizaji bora wa kike kwenye tuzo za EATV ya mwaka huu amesema hakuweza kushiriki katika tuzo hizo kwa kuwa 2016 haukuwa mwaka wake wa kazi na kwamba alikuwa ametingwa na masomo. Hata hivyo Lulu amesema kwa mwakani 2017 atakuwa nje ya masomo  hivyo mashabiki zake […]

Read More..

Bahati Bukuku Afunguka Baada ya Kuzushiwa K...

Post Image

Mwanamuziki wa nyimbo za Injili Bahati Bukuku ambaye hivi karibuni amezushiwa kufariki dunia kwa ajali, amekanusha taarifa hizo na kusema zimeandaliwa na watu wanaotaka kumpunguzia mashabiki. Akizungumza na East Africa Television Bahati Bukuku amesema taarifa za kifo chake ni mbingu tu ndiyo zitajua, kwa kuwa shetani hana nafasi ya kujua taarifa za kifo chake. “Ni […]

Read More..

Burundian In Dar Kutikisa Afrika Mashariki

Post Image

USHIRIKIANO wa wasanii wa Tanzania na Burundi inatabiriwa kufanya vinzuri sokoni kufuatia umahiri wa wasanii waliocheza katika filamu ya Burundian in Dar, akiongea na FC mtayarishaji wa sinema hiyo Sururu Jafar ‘Burundiano’ amesema kuwa kazi hiyo imekutanisha wasanii nyota Burundi na Tanzania. “Tunatarajia kutikisa Afrika Mashariki na filamu yetu kwani ni kazi ambayo inatukutanisha wasanii […]

Read More..