Mr Blue, Barakah Da’ Prince Wapatana
BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Da’ Prince wameamua kuwa kitu kimoja. Wawili hao walipatana saa chache kabla ya kufanyika Tamasha la Fiesta Shinyanga ambapo walikuwa wameenda kutembelea maporomoko ya Maji Moto pande za Shinyanga. Tovuti hii ilipata nafasi ya kuchonga na Barakah akiwa pamoja na Mr […]
Read More..