Bonge la Nyau Afunguka Kuhusu Ngoma Yake n...
Msanii Bonge la Nyau ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Aza’ amefunguka na kusema katika ngoma zake zote alizofanya mpaka sasa ameiheshimu sana kazi aliyoifanya na msanii Alikiba. Akiwa kwenye kipindi cha 5Selekt, Bonge la Nyau amedai kuwa anaiheshimu sana kazi yake ‘Uaminifu’ ambayo alishirikiana na msanii Alikiba na kusema wimbo ule […]
Read More..





