-->

Monthly Archives: August 2016

Bonge la Nyau Afunguka Kuhusu Ngoma Yake n...

Post Image

Msanii Bonge la Nyau ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Aza’ amefunguka na kusema katika ngoma zake zote alizofanya mpaka sasa ameiheshimu sana kazi aliyoifanya na msanii Alikiba. Akiwa kwenye kipindi cha 5Selekt, Bonge la Nyau amedai kuwa anaiheshimu sana kazi yake ‘Uaminifu’ ambayo alishirikiana na msanii Alikiba na kusema wimbo ule […]

Read More..

Busu Alilopewa Diamond na Dada Huyu Akiwa n...

Post Image

Kupitia ukurasa wake instagram, Diamond Platnumz  alikweka video akiwa na msanii starboy, Wizkid wa Nigeria huku  mrembo ambaye ni Miss Universe 2011, Nelly Kamwelu ambae alitokea na kumpa busu Diamond Shavuni.   Video clip hiyo iliwatoa mapovu mashabiki huku kila mmoja akiweka mtazamo wake kwa kile alichokiona kwa kuaandika comment zao. Hawa ni baadhi, officialmafitah […]

Read More..

Kassim Mganga Awafungukia Wasanii Ku’...

Post Image

Msanii Kassim Mganga amefunguka juu ya tabia za baadhi ya wasanii kuwadanganya mashabiki pale wanapoonesha vitu vya thamani, ambavyo havina ukweli kuwa wanavimiliki. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East AFrica Radio, Kassim Mganga amesema wasanii wengi wa bongo wanaigiza maisha ili kuwadanganya watu, na kujilinganisha na wasanii wa Marekani ambao hizo mali zinakuwa ni zao […]

Read More..

Juma Nature Amtamani Yemi Alade

Post Image

Msanii mkongwe wa bongo fleva ambaye bado anang’ang’ania kwenye game ya muziki, Juma Kassim au Juma Nature, ameendelea kukiri hisia zake kwa msanii wa kike Yemi Alade kutoka Nigeria, na kusema anampenda sana msanii huyo. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Juma Nature amesema anampenda sana mlimbwende huyo ambaye anatikisa game la muziki […]

Read More..

WCB Wamzawadia Raymond Gari Jipya Kwenye Bi...

Post Image

Uongozi wa WCB umeendelea kumwaga zawadi ya magari kwa wasanii wake na sasa bahati imemuangukia Raymond. Jana ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa msanii Raymond, uongozi wa WCB ukaamua kumfanyia sherehe msanii wao huyo kwenye ikulu ya Diamond iliyopo huko Madale lakini kubwa zaidi ni zawadi ya gari aliyopewa kwenye sherehe hiyo. Bosi wake, Diamond, […]

Read More..

Utajiri wa Nay, Umaskini wa Mr. T-Touch

Post Image

Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ IKIWA humfahamu kwa sura mkali wa midundo Bongo, Thabith Mango ‘Mr. T-Touch’ ni lazima utakuwa unafahamu kazi zake hata kwa kuzisikia tu zikichezwa kwenye vituo mbalimbali vya redio au mitaani. Baadhi ya kazi hizo ni Muziki Gani, Salamu, Akadumba zote alizofanya na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Too Much ya […]

Read More..

Faida za Urasimishaji Tasnia ya Filamu 2015...

Post Image

Na Ignas Mkindi Kabla mnaonishutumu inbox hamjanihukumu niwaeleze nnachoelewa mimi…. Kwa makadirio ya filamu 1329 zilizokaguliwa na kupewa madaraja: 1.Kwa wastani wa filamu moja kuwa na masaa mawili yaani part 1&2, Bodi ya Filamu imeingiza shilingi 159,480,000 kwa ukaguzi na kama walahu robo zilipewa vibali vya kushuti, bodi ilipata tena 165,000,000. Jumla ya shilingi 324,480,000 […]

Read More..

Witness Atoa Sababu ya Kuchora Tatoo Kiunon...

Post Image

Mwanamuziki wa muziki wa kufoka foka nchini Tanzania, Witness, a.k.a Witness kibonge Mwepesi, ameelezea sababu ya kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake wa sasa Ochu Sheggy katika kiuno chake. Akizungumza ndani ya eNewz amesema “Ukiweka tattoo sehemu niliyoweka mimi inazuia hata unapotaka kumsaliti mwenza wako yule unayekuwa naye ina kunyima hamu kabisa na anashindwa […]

Read More..

Darasa Atoboa Sababu za Yeye Kufanya Vizuri

Post Image

Rapa Darasa ambaye kwa sasa anatesa na wimbo wake ‘Too much’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa anafanya vizuri kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia kwenye maisha yake ambazo zimempelekea kufanya kazi kwa kujituma ili asirudi nyuma tena. Darasa anasema moja ya vitu ambavyo vilimpa changamoto ya kupambana ni pamoja na yeye kukosa chakula, sehemu ya […]

Read More..

Mr Blue Afunguka Kuanzisha Ubishoo Kwenye B...

Post Image

Mkali wa wimbo ‘Mboga Saba’ Mr Blue amesema yeye ana mchango mkubwa katika mabadiliko ya muziki wa bongofleva nchini. Akiongea katika kipindi cha Ndoto Kubwa cha Clouds TV Jumapili hii, Mr Blue amesema yeye ndiye msanii wa kwanza kufanya muziki akiwa na swagga. “Mimi baada ya kuingia kwenye muziki kuna vitu ambavyo nilivifanya mimi kama […]

Read More..

Wema na Idris Kama Chris Brown na Karrueche

Post Image

Hii sasa kali, uhusiano wa mlimbwende kwenye tsnia ya Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ na Mchekeshaji, Idris Sultan umekuwa kama ule wa rapa, Chris Brown na aliyekuwa mpenzi wake Karrueche Tran, wazungu wanauiita ‘off and on.’ Baada ya hivi karibuni kuzinguana tena hadi kumfanya Idris ajiondoe Instagram hadi sasa, wawili hao wanaonesha kuanza kutafuta suluhu. […]

Read More..

Vita Hivi ni Vya Kwangu Pekee Yangu- Rado

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu wa kiume  Simon Mwapagata ‘Rado’ ametamba kwa kusema kuwa yeye ndio mpiganaji pekee ambaye anaamini kuwa ataiokoa tasnia ya filamu na kuwa huru kutoka kwa wezi wa kazi zao bila kutegemea msaada kutoka kwa wasanii wenzake wala Serikali kwani vita hiyo ni ngumu na inahitaji uzalendo siyo njaa. “Filamu ni maisha yetu […]

Read More..

Masanja Asimulia Alivyochezea Kifinyo

Post Image

NYOTA wa  vichekesho nchini Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ambaye wiki iliyopita alitawala kwenye vyombo mbalimbali vya habari baada ya kuvuta jiko, mtoto mrembo Monica, amesema kati ya vitu ambavyo hawezi kuvisahau maishani mwake ni pamoja na adhabu ya kufinywa aliyokuwa akipewa na mama yake. Akizungumza na Mtanzania, Masanja alisema kuwa nidhamu aliyonayo hivi sasa imetokana […]

Read More..

Man Fongo Awachimba Mkwara wa Bongo Fleva

Post Image

Kwa kasi iliyopo kwenye muziki wa Singeli, ni wazi kwamba unaelekea kuupoteza muziki wa Bongo Fleva kutokana na kasi ya kuenea kwake hapa nchini, jambo linalosisitizwa na mkali anayetesa katika muziki huo, Amani Hamisi ‘Man Fongo’. Man Fongo ambaye amepachikwa jina la Mfalme wa Singeli, anayesumbua na kibao chake cha Hainaga Ushemeji amesema wasanii wa […]

Read More..

Kajala: Nataka Kuzaa Mtoto wa Kiume

Post Image

“Nahitaji kuzaa mtoto wa kiume ili Pamela naye ajivunie kuwa na kaka, siku zote nilitamani nipate watoto wenye jinsia tofauti, tayari ninaye wa kike sasa ni zamu ya kumpata mwingine wa kiume.” Ni kauli ya Kajala Masanja mwanadada anayefanya vyema kwenye soko la filamu nchini. Kauli hiyo ya Kajala imekuja siku chache baada ya kuulizwa […]

Read More..

Lady Jaydee Atokelezea Kwenye Jarida la Tru...

Post Image

Muimbaji nguli wa muziki Tanzania, Lady Jaydee amekava jarida maarufu la wanawake, mahusiano, maisha na mitindo, True Love la Kenya. Jarida hilo hupatikana Kenya, Uganda, Tanzania na Rwanda. Kwenye jarida hilo la mwezi huu, Jaydee amefunguka kuhusu sababu za kuachana na mume wake, Gardiner G Habash, kutamani kwake kufanya kazi na Usher na kwanini hawezi […]

Read More..

Jux Afungukia Muonekano Wake na Muziki

Post Image

Msanii Jux ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Wivu’ amefunguka na kusema muonekano wake pamoja na mavazi yake yamemsaidia kumuweka mahali fulani katika kazi yake ya muziki.  Jux alisema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa alitambua kuwa muonekano unaweza kumsaidia katika muziki ndiyo maana kabla […]

Read More..

Mtunzi wa Fiamu,Ally Yakuti Adai WalikoseaK...

Post Image

Ameandika filamu zaidi ya 100 zikiwamo maarufu kama Swahiba, Agano la urithi, Yellow Banana, Oprah, Hot Sunday, Family Tears, Fake Smile, Peace Of Mind, More Than Pain, Devil Kingdom na Foolish Age. Huyu ni mtunzi mahiri Afrika Mashariki, Ally Yakuti. Akifanya mahojiano na Starehe Yakuti anayataja mambo manne ambayo kwa njia moja ama nyingine yamerudisha […]

Read More..