-->

Monthly Archives: January 2017

Waziri Nape Akutana na Wasanii wa Bongo Mov...

Post Image

DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amekutana na wasanii na wadau wa tasnia ya filamu nchini kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali kuhusu tasnia hiyo. Katika mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar, wasanii na wadau wa filamu wamelalamikia suala la wizi wa kazi zao ikiwemo […]

Read More..

New Video: Billnass Ft Mwana FA – Mazoea

Post Image

Msanii Billnass ameachia video yake mpya ya wimbo ‘Mazoea’ akiwa amemshirikisha Mwana FA. Video imeandaliwa na Kwetu Studio chini ya director Masafiri.

Read More..

Ray Kigosi: Chuchu Amenifanya Niitwe Baba, ...

Post Image

Hatimaye Staa wa Bongo Movies, Vicenti Kigosi ‘Ray’ amejitokeza na kumwagia pongezi mpenzi wake wa muda mrefu chuchu Hans kwa kumzalia mtoto. Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram, Ray amefunguka haya; Asante Mungu kwa kuniletea pacha wangu asante my lovely mzungu kwa kunipa heshima kubwa kunifanya niitwe baba, Mungu wangu wa haki asiyeshindwa na […]

Read More..

Harmorapa Afungukia Uhusiano Wake na ‘Wol...

Post Image

Msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha wa Harmonize’, Harmorapa, leo ametinga kwenye Ofisi za Global Publishers, Bamaga- Mwenge jijini Dar ambapo mbali na mambo mengine, amefungukia uhusiano wake wa kimapenzi na ‘Wolper’. Harmorapa amesema kuwa kutokana na kufanana sana na Harmonize, […]

Read More..

Nay wa Mitego Aijibu ‘Diss’ ya Madee

Post Image

Wafalme wa Manzese, Madee na Nay wa Mitego, wameirejesha tena bifu yao. Imerudi upya baada ya Madee kuandika mstari kwenye wimbo wake mpya, Hela ambao umetafsiriwa kumwendea hasimu wake, Nay. “Yule kijana wa home sio staa, anatukana hata waliomzaa, wivu tamaa na njaa ukiendekeza ujue kidole utakaa,” Madee amerap kwenye wimbo huo. Baada ya muda […]

Read More..

Riyama Aanza Mwaka kwa Kumpoteza Baba

Post Image

MWIGIZAJI wa kike mwenye jina kubwa na nyota Swahilihood Riyama Ali amefunguka kwa kusema kuwa mwaka huu umeingia kwake akiwa na majonzi baada ya kumpoteza baba yake mzazi Mzee Ali aliyefariki wiki mbili zilizopita jijini Dar es Salaam na kuzikwa huku Mjimwema Kigamboni. “Siku zote mandhila hayazoeleki hata huwe jasiri vipi unapompoteza mzazi lazima unaishiwa […]

Read More..

Jaydee Afungukia Maisha ya Ndoa kwa Wanawak...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Lady Jaydee amefunguka na kusema wanawake wengi wanaogopa kuanza maisha mapya ya mahusiano kwani wengi wao wanashindwa kuondoka kwenye ndoa zao ambazo hazina afya. Lady Jaydee alisema hayo kupitia kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa na EATV na kusema wanawake wengi wanashindwa kufanya maamuzi kwa sababu hawajiamini na wanaogopa kwenda […]

Read More..

Video: Joti Akiimba Wimbo wa Darassa- Muzik...

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Joti amerudia wimbo wa mwanamuziki Darassa unaokwenda kwa jina la Muziki. Huu ni wimbo uliofanya vizuri tangu ulipotoka mwezi Disemba mwaka jana hadi sasa. Wimbo huu ni wa Darassa ambapo amemshirikisha Ben Pol ikiwa ni wimbo wao wa pili kuimba pamoja baada ya ule wa Sikati Tamaa. Burudika na video hapa […]

Read More..

Hawa Ndiyo ‘Marapa’ Watano Anao...

Post Image

Rapa Roma Mkatoliki leo kwenye kipindi cha Planet Bongo amefunguka na kutaja orodha ya wasanii wake wa tano wa hip hop Bongo ambao anawasikiliza na kuwakubali zaidi kutokana na kazi zao. Roma Mkatoliki kwa kuanza alimtaja Rapa Roho Saba na kusema anamsikiliza sana na kumkubali sana na watu watashangaa kwanini amemtaja Roho Saba ili hali ana […]

Read More..

Diamond, Zari Walipamba Jarida Maarufu la S...

Post Image

MWANAMUZIKI mwenye taito kubwa kwa sasa nchini na Afrika, mtoto wa Tandale na Mkurugenzi wa Kampuni ya Wasafi Classic Baby (WCB), Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mzazi mwenzake, Zarina Hassani ‘Zari’ wamelamba shavu kubwa baada ya kuvuta mkataba wa kupiga picha za kupendezesha jarida maarufu la Afrika Kusini liitwalo ‘Papas and Mamas’. Kitendo hicho kimewafanyanyote […]

Read More..

Video: ‘Pacha’ wa Harmonize, Ha...

Post Image

Msanii wa muziki, Hamorapa anayedai ni pacha wa Harmonize ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Usigawe Pasi’ aliomshirikisha Em One. Video imeongozwa na Khero One.

Read More..

Mpoto Atoa Dili Tano kwa Vijana Wasio na Mt...

Post Image

Msanii wa mashairi na kughani Mrisho Mpoto ametoa somo kwa vijana wa watanzania kwa kuwapa njia mbalimbali ambazo zinaweza kuwafanya kujikwamua kiuchumi endapo watazitumia kuanzisha biashara ya kutumia mtaji mdogo au bila ya kuwa na mtaji kabisa. Mrisho Mpoto ametumia ukurasa wake wa facebook kutoa fursa tano ambazo anaona kama vijana watazitumia zinaweza kuwa na tija […]

Read More..

Said Fella Aota Urais Mwaka 2040 au 2060

Post Image

Said Fella ana ndoto kubwa katika career yake ya siasa. Si tu kwamba anataka aje kuwa mbunge siku za usoni, Fella ana ndoto ya kuwa mkuu wa nchi kabisa. Meneja huyo mkongwe katika tasnia ya muziki wa Bongo Fleva na aliyejitengenezea umaarufu mkubwa kupitia kundi la TMK Wanaume Family kwa sasa ni Diwani wa kata […]

Read More..

Dume Suruali Yavunja Historia ya Mwana FA

Post Image

Video ya wimbo Dume Suruali wa Mwana FA aliyomshirikisha Vanessa Mdee imevunja historia ya rapa huyo kwa kuwa video yake ya kwanza katika historia yake ya muziki kufikisha watazamaji wengi zaidi katika mtandao wake wa ‘You tube’ Video ya ‘Dume suruali’ ilitoka rasmi tarehe 25 Novemba mwaka jana na mpaka sasa imefikisha jumla ya watazamaji […]

Read More..

Lulu Anaweza Kuwa Mkulima – Mama Lulu

Post Image

MAMA wa mwigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila amefunguka kuwa kama si filamu, mwanaye angeweza kuwa mkulima kama yeye au mwandishi wa habari. Mama Lulu alifunguka hayo hivi karibuni baada ya mwanahabari wetu kumuuliza kuhusu kutoonekana kwa binti yake katika anga la filamu ndipo aliposema kuwa hakumzaa Lulu kuwa muigizaji na anaweza kufanya shughuli nyingine […]

Read More..

Kwa Sasa Hivi Naugulia Moyoni-Jacqueline Wo...

Post Image

Malkia wa filamu Jacqueline Wolper amedai kwa sasa anauguza majareha ya moyo aliyoyapata kutoka kwa aliyekuwa mpenzi wake wa zamani, Harmonize. Wiki moja iliyopita muigizaji huyo aliweka wazi kuwa hayupo tena kwenye mahusiano na muimbaji huyo wa wimbo ‘Matatizo’ kauli ambayo ilileta ukakakasi cha mashabiki wakidhani huwenda ikawa ni kiki. Jumamosii hii malkia huyo wa […]

Read More..

Mzee Majuto Amepanga Kufanya Mambo Haya Mat...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini mzee Majuto amefunguka na kusema kuwa mwaka 2017 amepanga kufanya mambo matatu ambayo yote anataka yaende pamoja. Jambo la kwanza ni kuhusiana na sanaa yake ambapo amepanga kwa mwaka huu wa 2017 kuhakikisha kazi zake za sanaa anazisambaza mwenyewe na kuachana na wasambazaji wengine. Mzee Majuto amesema jambo la pili katika […]

Read More..

Afande Sele Awaomba Msamaha Mashabiki Wake

Post Image

BAADA ya kutangaza kuachana na siasa, mwanamuziki wa Hip Hop, Selemani Msindi ‘Afande Sele’ ameibuka na kuwaomba msamaha mashabiki zake aliowakwaza kipindi yuko kwenye siasa na sasa alivyojiondoa. Akizungumza na Gazeti la Risasi Jumamosi, Afande Sele alisema anawaomba msamaha wote kutokana na kuingia na kutoka kwenye siasa hivyo wamuunge mkono kwenye muziki kwani amerudi rasmi. […]

Read More..