-->

Makonda Awashukuru Mastaa Wanaoiunga Mkono ...

Post Image

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa shukrani kwa muigizaji Jacqueline Wolper na wengine wanaoiunga mkono kampeni yake ijayo, Mti Wangu. Mkuu wa mkoa huyo ametoa shukrani zake katika ukurasa wake wa Instagram kwa kuweka picha ya muigizaji akiwa amevaa t-shirt yenye logo ya neno ‘mti wangu’ akionesha juhudi za kumuunga mkono. […]

Read More..

H Baba: Viongozi wa Simba Wananihitaji Nich...

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva H Baba amefunguka na kusema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa Simba wameonesha nia ya kumuhitaji kwenye kikosi chao. H baba ambaye alikuwa nahodha wa timu ya soka ya Bongo Fleva ambayo ilipambana na timu ya Bongo Movie katika mchezo wa hisani uliochezwa mwishoni mwa wiki hii katika uwanja […]

Read More..

Goodluck Gozbert: Mashindano ya Kuimba Yali...

Post Image

NYOTA wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert amesema aliwahi kupewa kichapo na mzazi wake mara baada ya kudanganya, badala ya kwenda shuleni yeye alikwenda kwenye tamasha la kampuni moja ya vinywaji baridi ili kuonyesha kipaji chake cha uimbaji. Akizungumza na Juma3tata, Goodluck Gozbert alisema, baada ya kunyoosha mkono juu na kuchaguliwa kupanda jukwaani kwenda […]

Read More..

Hivi Ndiyo Alikiba Alivyochukizwa na tetesi...

Post Image

Miezi michache iliyopita Abdul Kiba ambaye ni mdogo wake na AliKiba alinukuliwa vibaya na vyombo vya habari kwamba yupo tayari kujiunga na label ya ‘WCB’ ya Diamond kauli ambayo ilileta shida kwa mashabiki wa AliKiba pamoja na team yake. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na video yake ya wimbo ‘Bayoyo’ ameiambia Bongo5 kuwa kauli hiyo […]

Read More..

Mimi Siyo Chizi, Wao Ndiyo Wazinguaji ̵...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Ruby ambaye leo ameachia kazi yake mpya inayofahamika kwa jina la ‘Wale Wale’ ambayo imetayarishwa na mtayarishaji Man Water amefunguka na kusema kuwa yeye siyo chizi kusema ashindwe kutokea kwenye baadhi ya video ya wasanii. Ruby akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo amesema kuwa alikuwa hana haja ya kukataa kuonekana kwenye […]

Read More..

Ukibana Ndani Nje Tunatoboa- Barafu

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu Swahilihood Suleiman Barafu amesema kuwa wakati kuna wakati wa filamu nchini hawatoi nafasi kwa waigizaji wenye uwezo kama yeye watayarishaji wa filamu wa nje wanawaona na kuwaita kwa ajili ya kushiriki katika kazi zao, na anafanya kazi nchini Kenya. “Nashukru Mungu kazi yangu ya uigizaji imefika mbali kwani kama inafikia mtayarishaji kutoka […]

Read More..

Alikiba Aahidi Kufanya Kazi na ‘Madan...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Alikiba ameahidi kuchukua baadhi ya vijana walioshiriki hatua ya fainali ya shindano la Dance100% 2016. Akizungumza na EATV Alikiba amesema uwezo uliooneshwa na makundi yaliyoshiriki umemfanya aone kuna sababu ya msingi ya kukuza vipaji vyao kwa kuchukua baadhi ya waliofanya vizuri na kuwajumuisha kwenye kazi zake. “Nashukuru kwa kuwa Jaji mgeni […]

Read More..

Pastor Myamba: Waigizaji Ndio Wanaua Soko l...

Post Image

Muigizaji mahiri wa filamu Bongo, Emmanuel Myamba maarufu kwa jina la Pastor Myamba ameitaja sababu ya kushuka kwa soko la filamu nchini kuwa ni kutokana na wasanii wenyewe. Muigizaji huyo amekiambia kipindi cha Ulimwengu wa Filamu cha TBC 1 kuwa wasanii wamekuwa wakipunguza juhudi za kutengeneza sinema nzuri kwa ajili ya kupunguza gharama. “Kama watu […]

Read More..

Picha: Bata la Diamond na Zari Huko Zanziba...

Post Image

Baada ya kumfanyia sherehe ya kuzaliwa mpenzi wake Zari, staa wa bongo fleva, Diamond Platnumz  akiwa na mcheza danci wake Moses Iyobo ambae ameambatana Aunt Ezekiel wameendelea kula bata visiwani Zanzibar. Hizi ni baadhi ya picha zao

Read More..

Z-Anto Afungukia Ujio Wake Mpya, Ataka Kusa...

Post Image

Msanii Z Anto ambaye amekuwa kimya muda mrefu kwenye game na kutangaza kurudi hivi karibuni, amefunguka kuhusu kitendo cha msanii kumsaini msanii mwenzake kwenye lebo yake na kufanya naye kazi. Akizungumza kwenye FNL ya east Africa Television na East Africa Radio, Z Anto amesem akitendo hicho kwake ananona ni kitu kigumu kwake, kwani iwapo msanii […]

Read More..

Juma Nature aumizwa na tukio la KR Mullah

Post Image

Msanii Juma Nature ameelezea kusikitishwa kwake na tukio lilitokea kwa msanii mwenzake KR Mullah ambaye alikuwa naye kwenye kundi moja la Wanaume Halisi, na kisha kwenda Radar Entertainment. Akizungumza kwenye kipindi cha FNL cha East Africa Television na East Africa Radio, Juma Nature amesema alipotumiwa picha za KR Mullah akiwa amelewa chakali huku hajitambui, alihuzunika […]

Read More..

Hamisa Mobeto Afunguka Kuhusu Video ya Salo...

Post Image

ISHU iliyogonga vichwa vya habari wiki hii ni ngoma mpya ya Diamond Platnumz, inayoitwa Salome, ambayo kwa mara ya kwanza iliimbwa na mkongwe wa muziki wa asili nchini, Saida Karoli mwanzoni mwa miaka ya 2000. Mtindo wa msanii kurudia wimbo wa msanii wa kitambo upo ulimwenguni kote na hapa Bongo tunakutana na wasanii kama Mwana […]

Read More..

Picha: Zari Asherehekea Birthday Yake Visiw...

Post Image

Zari The Bosslady amesherehekea siku yake ya kuzaliwa Ijumaa hii akiwa visiwani Zanzibar akiwa na mpenzi wake Diamond na watu wao wa karibu. Sherehe hiyo ilihudhuriwa Mose Iyobo, Aunty Ezekiel, na watu wengine wa karibu wa familia hiyo.      

Read More..

Diamond na Mr Blue Wananibeba – Dully Sykes

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa bongo fleva Dully Skyes amefunguka na kusema kuwa katika wasanii wote ambao aliwasaidia katika muzuki mpaka wametoboa ni wasanii watatu tu ambao wamekuwa wakilipa fadhila kwake na ambao wamekuwa wakimpigania. Dully Skyes alisema hayo kwenye kipindi cha Planet bongo na kusema kuwa amewasaidia wasanii wengi lakini wengi wao wamekuwa wakiishia […]

Read More..

JB Kuzalisha Waigizaji Wapya

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jacob Steven (JB) amefunguka na kusema kuwa kuna wasanii wengi wachanga ni wazuri katika tasnia ya filamu nchini lakini hawapewi nafasi ya kuonesha uwezo wao wa kuigiza ndiyo maana tasnia hiyo imekuwa na wasanii walewale. Akiongea kwenye kipindi cha 5Selekt, Jacob Steven (JB) alisema kwa sasa kupitia kampuni yake ya Jerusalem […]

Read More..

Picha:Nyumba Mpya ya Diamond ya South Afric...

Post Image

Staa wa bongo fleva,Diamond Platnumz ambaye ni mmoja kati ya wasanii wachache wenye mafanikio makubwa hapa nchini, hakuweka wazi nyumba hiyo imegharimu kiasi gani kuinunua. “Wanakazana kujisifu matajiri Ilhali watoto zao wanaishi kwenye Nyumba zakupanga. Halafu leo yule yule wanaemtukana kutwa kwenye mitandao kuwa masikini, kajawa na shida, Kanunua nyumba kulekule kwao ili watoto wao […]

Read More..

Nay Wa Mitego Aitakia Mema Ndoa ya Shamsa F...

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego ameitabiria mema ndoa ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani, Shamsa Ford. Shamsa ambaye alikuwa mpenzi wa rapper huyo alifunga ndoa mwezi mmoja uliopita na mfanyabishara wa maduka ya nguo, Chidi Mapenzi. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, Nay Wa Mitego amesema Shamsa […]

Read More..

Senga Awaponda Wachekeshaji wa Bongo

Post Image

Msanii mkongwe wa vichekesho nchini maarufu kwa jina la Senga, amepiga stori na eNewz na kufunguka kuhusu sanaa ya vichekesho nchini na kusema kuwa Bongo kwa sasa wachekeshaji ni wachache sana, na kwamba wengi ni waigizaji. Senga alisema wengi wanaojita wachekeshaji kwa sasa ni watu ambao si comedians, bali ni waigizaji wa kawaida wanaolazimisha tu […]

Read More..