-->

Bushoke: Ushauri wa Mashabiki Hunijenga San...

Post Image

Bushoke amedai kuwa ushauri kutoka kwa mashabiki hasa ule anaoupata kwenye mitandao ya kijamii humjenga. Hivi karibuni ameachia wimbo wake mpya uitwao ‘Mpita Njia’ ambao anadai kuwa mashabiki wengi wamempongeza. Akiongea na Bongo5 Bushoke amesema huwa anapenda kusoma sana koment za mashabiki wake na kuwajibu “Unajua mimi huwa anapenda sana kusoma comment nione mashabiki wangu […]

Read More..

Lulu: Sasa Nahitaji Kupata Mtoto

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movie amefunguka kuwa kwasasa anahitaji kuwa na mtoto. Muigizaji huyo ameandika ujumbe kwenye mtandao wake wa Instagram akimuomba Mungu huku akidai kuwa yupo tayari kwa sasa na anahitaji mtoto. “Okay…I’m ready noooow????and I want a Baby Boy???In Jesus Name?,” ameandika Lulu kwenye mtandao huo. Kwa sasa muigizaji huyo yupo kwenye mahusiano […]

Read More..

Lungi Maulanga, Achezea Kichapo ‘Hevi’ ...

Post Image

Muigizaji wa kitambo Bongo, Lungi Maulanga, anadaiwa kuchezea kichapo ‘hevi’ kutoka kwa mpenzi wake wa zamani (jina linahifadhiwa), kisa kikiwa ni kumnyima unyumba baada ya kukutana baa na kumtaka waondoke pamoja. Chanzo makini ambacho kilishuhudia mtiti huo kilidai kwamba, Lungi, akiwa anapata kinywaji kwenye baa moja maeneo ya Kinondoni, jamaa huyo aliibuka ‘from no where’ […]

Read More..

Eshe Buhet: Katu Sitamuonesha Mume Wangu

Post Image

Mengi yamekuwa yakiongelewa kuhusu nyota huyu wa filamu za Kibongo, Eshe Buhet, huku ikiwepo minong’ono kuwa ndoa yake imevunjika. Akizungumzia hilo anasema bado yupo kwenye ndoa na anaishi kwa amani na mume wake ingawa watu wanasambaza maneno kuwa wametengana. “Niliolewa tangu mwaka 2008, nimefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kike na ninaishi kwa amani na upendo […]

Read More..

Vanessa Mdee Afunguka Kuhusu Ndoto Zake za ...

Post Image

Vanessa Mdee ana ndoto kubwa. Ndoto yake siku moja, kuwa msanii kutoka Tanzania atakayeshinda tuzo za heshima, Grammy. Na sasa anaamini kuwa, mwanzo wa kukaribia kuiishi ndoto hiyo umewadia. Vee Money, ni mmoja wa wasanii wa Afrika, waliochaguliwa kurekodi wimbo na mshindi wa Grammy na nyota wa RnB nchini Marekani, Trey Songz. Shukrani kwa kipindi […]

Read More..

JB Kuja na Surprise ya Kalambati Lobo Septe...

Post Image

MWIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood Jacob Stephen ‘JB’ anatarajia kuja na Surprise kubwa pale atakapoachia filamu kubwa na y a kipekee ya Kalambati Lobo, akiongea na FC mwigizaji na mtayarishaji wa filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa awali alikuwa akiamini kuwa atatumia muda mwingi kuigiza tu bila kutayarisha sinema lakini kwa sasa amekua. […]

Read More..

Wasanii Wanamkimbia Marco Chali – Mas...

Post Image

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mmiliki wa studio ya ‘Mj Records’ Master J amefunguka na kusema kuwa ukimya wa ‘Producer’ Marco Chali kwenye muziki unatokana na wasanii wengi kuogopa gharama zake. Master Jay alisema haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa wasanii wamekuwa wakiwakimbia watayarishaji wa muziki ambao wameweka […]

Read More..

Diamond:Najisikia Niachie Mpya Nyimbo Leo

Post Image

Huwenda Diamond Platnumz anataka kutimiza ahadi yake ya kuachia wimbo mpya baada ya wimbo wake ‘Kidogo’ aliowashirikisha wasanii wa kundi la P Square kufikisha views 4,764,307 katika mtandao wa YouTube. Uongozi wa Diamond Platnumz uliahidi kuwa endapo video ya wimbo ‘Kidogo’ ikifikisha views milioni 5 katika mtandao wa Youtube basi watatoa zawadi kwa mashabiki wao […]

Read More..

Diamond Kama Vipi Malizia Bongo Muvi

Post Image

NIMEKUWA nikikagua kwa umakini sana video za wasanii mbalimbali hususan wa Bongo Fleva katika ubora wake ili kujiridhisha kama bajeti za kushutia wanazozitaja zinalingana na ukweli halisi kwa kuzingatia mambo mbalimbali ya kiweledi. Kwenye kwaliti sio inshu lakini kwenye uhalisia ndiyo inshu na kichupa kikibamba na kuwa poa kwa levo inakuwa njema, kinapagawisha na kila […]

Read More..

AISHA BUI Kimya Changu Kina Mshindo

Post Image

BAADA ya kimya cha takribani miaka mitatu, msanii wa filamu za Kibongo, Aisha Bui ameibuka na kudai kuwa, mashabiki wake wajiandae kumpokea kwa kazi nzuri, zenye kusisimua. Akipiga stori na Gumzo la Town, Aisha Bui ambaye aliibuliwa na Filamu ya My Book iliyotayarishwa na mwigizaji nguli Deogratius Shija, ameeleza sababu za kukaa pembeni kwa muda […]

Read More..

Eshe Buheti Miaka 13 ya Ndoa, Siyo Mchezo

Post Image

MIONGONI mwa wasanii nyota wa filamu za Kibongo ni pamoja na Eshe Buhet. Uwezo wake wa kuigiza ndiyo uliomfikisha alipo leo hii, msanii huyu ambaye mchango wa mkongwe, Issa Mussa ‘Cloud 112’ ni mkubwa maana ndiye prodyuza wa kwanza kumchezesha na kumtambulisha. Eshe ambaye ni mzaliwa wa Tanga na kulelewa jijini humo alikuja jijini Dar […]

Read More..

Baraka Afunguka Kuhusu Ndoa ya Mr. Blue

Post Image

Msanii Baraka The Prince amezungumzia sakata la mpenzi wake Najma na Mr. Blue ambaye alikuwa mpenzi wake, na kusema tukio hilo halikuwa na ukweli wowote na hata kama lingekuwepo, hawezi kuzuia wawili hao kuwasiliana. Akizungumza kwenye kipindi cha Bongo Fleva Top 20 cha East Africa Radio, Baraka amesema yeye hawezi kuzuia wawili hao kuwasiliana kwani […]

Read More..

Shilole Atoboa Kilichomsukuma Kupatana na N...

Post Image

Baada ya hivi karibuni Sholole na Nuh Mziwanda kupatana, Shilole amefunguka na kuzungumzia nini kimemsukuma mpaka akapatana na mkali huyo wa wimbo ‘Jike Shupa’. Wawili hao ambao walikuwa wapenzi waliachana kwa kutupiana maneno huku Nuh Mziwanda akionekana kumlaumu Shilole kwa kumpotezea muda. Akiongea na Uhead ya Clouds FM Ijumaa hii, Shilole amedai ameamua kumaliza tofauti […]

Read More..

Filamu ya ‘Nani Zaidi’ Kuingia ...

Post Image

Filamu ya ” Nani Zaidi ” Inatoka Jumatatu Ya Tarehe 19 September 2016. Kuwa Wa Kwanza Kupata Nakala yako Original. Wahusika ni – Hemedy Suleiman – Tino Muya Na Wasanii Wengine wakali. Kamwe Usikubali Kununua Filamu ya ” Nani Zaidi ” kama Hanina Nembo ya Steps Entertainment LTD. Pia Kampuni Ya Steps Entertainment LTD Inatafuta […]

Read More..

Nipo Bongo Kumfuata Jack Wolper- Burundiano

Post Image

THAMANI ya Lugha yetu ya Kiswahili katika filamu kwa nje ni kubwa sana hadi wasanii wakubwa wameingia darasani kwa ajili ya kuigiza kama watanzania msanii mkubwa nchini Burundi Sururu Jafari ‘Burundiano’ nafunguka na kujivunia kuijua lugha hiyo na yupo nchini Tanzania akirekodi filamu na wasanii wa Bongo. Burundiano akikagua vifaa vya Production kabla ya kuanza […]

Read More..

MO Music Atoboa Siri ya Kutengana na Baraka

Post Image

Nyota wa Bongo Fleva kutoka jijini Mwanza MO Music amefichua sababu ya kundi la Wazawa, na kueleza kuwa ugomvi binafsi wa T Nocks na Baraka The Price ndiyo uliopelekea kundi hilo kuvunjika. Mo Music alikuwa ni memba wa kundi hilo lililokuwa likiundwa na wasanii kutoka lililojulikana kwa jina la WAZAWA, lililokuwa likiundwa na yeye (MO […]

Read More..

Shilole na Nuh Mziwanda Wamaliza Nifu Lao

Post Image

Ilikuwa ni ‘break up’ iliyofuatiwa na uadui mkubwa. Ilipelekea hadi Nuh Mziwanda kuandika wimbo ‘Jike Shupa’ uliomlenga ex wake Shilole. Haikuishia hapo, wawili hao waliendelea kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii na kwenye mahojiano na kulaumiana kwa mengi. Hata hivyo mlalamikaji mkubwa alikuwa Nuh aliyemwelezea Shishi kama mwanamke aliyempotezea muda wake na kumkwamisha kwenye muziki. […]

Read More..

Uhuru Wangu Umepungua Tangu Niolewe –...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amesema kuwa maisha yake kwa sasa yamepungua uhuru baada ya kuingia katika ndoa Kupitia camera za eNewz Shamsa amesema “Kwa sasa uhuru umepungua, hata zile ‘outs’ sasa zimepungua” Alipoulizwa kama je ndoa yake itabadilisha mtindo wake wa uigizaji, Shamsa alisema “Mimi bado ni m’bongo movie na mume wangu ananielewa, […]

Read More..