Kanumba Hajaondoka na Tasnia Japo Imeshuka ...
Muigizaji na muongozaji wa filamu nchini Tanzania, Jacob Stephen maarufu kama JB amesema kushuka kwa filamu za nchini (Bongo Movie) hakuhusishwi na kifo cha aliyekuwa muigizaji nguli marehemu Steven Kanumba. Alipofanyiwa mahojiano na eNewz, JB amekiri kuwa tasnia ya filamu nchini imeshuka kiwango lakini akakazia kuwa kushuka huko ni kwa msimu pekee. “Ni kweli tasnia […]
Read More..





