-->

Nahitaji Maombi Yenu Wadau – Ben Selengo

Post Image

Msanii wa filamu Ben Selengo baada ya kupata ajali ambaya siku ya sikukuu ya Christmas na kulazwa katika Muhimbili, ameruhusiwa na sasa hivi yupo nyumbani. Muingizaji huyo amedai licha ya kuwa ameruhusiwa kutoka hospital lakini bado afya yake haijakaa sawa na anahitaji maombi. “Bado nahitaji maombi yenu wadau,” aliandika Ben Instagram “nimetoka Muhimbili nipo home […]

Read More..

Kilichomuua Mke wa Director Lister Hiki Hap...

Post Image

Mke wa muongozaji wa Filam  Tanzania Gift John Lister aliyefariki wiki iliyopita akiwa anasumbuliwa na homa ya mapafu amezikwa Jumamosi hii katika makaburi ya Kinindoni. Akiongea kupitia eNewz  mume wa marehemu Director John Lister amesema marehemu ameacha watoto wawili na siku tatu zilizopita waligundua kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na homa ya mapafu na wakati anapatiwa matibabu ndipo umauti […]

Read More..

Inasikitisha Sana, Tazama Nando wa Big Brot...

Post Image

HALI ya kiafya ya mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Big Brother Afrika, 2013 nchini Afrika Kusini,  Ammy Nando inasikitisha ambapo inadaiwa kuwa amedhoofika sana kwa sababu ya matumizi ya madawa ya kulevya. Picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni (picha ya juu kulia), zinamuonesha kijana huyo akiwa amedhoofika sana mwili wake, tofauti kabisa na jinsi afya yake […]

Read More..

Tanzia: Bongo Movie Wampoteza Mwingine

Post Image

TASNIA ya filamu hapa Tanzania, Bongo Movie wamempoteza muigizaji mwenzao Kijakazi Pazi Shabani maarufu kwa jina la Zamzam aliyefariki dunia jana Jumapili, Januari 1, 2017 mkoani Kigoma. Chanzo cha habari hii kimeeleza kuwa mwili wa Zamzam unatarajiwa kusafirishwa leo kutoka Kigoma kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazishi ambapo msiba huo utakuwa maeneo […]

Read More..

Wema Sepetu Awashangaza Mashabiki Wake Inst...

Post Image

Nini tena kimemkuta malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu? Ama labda ameamua kutoingia mwaka 2017 kwa kumbukumbu za mwaka 2016?. Ni kwa sababu mrembo huyo ameamua kufuta picha zote kwenye akaunti yake ya mtandao wa Instagram yenye followers milioni 2.5.

Read More..

Kawele: Wanawake Kubweteka ni Kununua Umasi...

Post Image

MKONGWE wa filamu Tanzania, Grace Mapunda ‘Mama Kawele’, amesema wanawake wanaobweteka ni sawa na kuununua umasikini. Akizungumza na MTANZANIA jana, alisema miaka kadhaa iliyopita na sasa hivi ni tofauti, mwanamke wa sasa anatakiwa asiangalie upande mmoja bali asimame kama nguzo katika familia na kuhakikisha anautokomeza umasikini wa kujitakia. “Wanawake wanaobweteka bila kujishughulisha na kuukubali umasikini […]

Read More..

Kinachokwamisha ‘Collabo’ ya Ji...

Post Image

Msanii mkongwe katika anga la bongo fleva, mwanadada Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee amesema yuko tayari kufanya kazi na staa wa muziki huo Diamond Platnumz, endapo atahitaji lakini kinachoweza kukwamisha ni ratiba yake ya kazi. Jay Dee amelazimika kutoa kauli hiyo kutokana na kuongezeka kwa minong’ono kuwa wawili hao wanakwepana, na hawataki kufanya kazi […]

Read More..

Raymond Afunguka Kuhusu Yeye na Alikiba Wak...

Post Image

Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Rayvanny amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na Alikiba ambaye ni mpinzani mkubwa wa boss wake Diamond Platnumz. Muimbaji huyo ambaye bado anafanya vizuri na wimbo Salome alioshirikishwa na Diamond, amedai yeye hana tatizo na Alikiba na hata ikitokea nafasi ya kolabo atafanya naye. “Alikiba huwa nikikutana naye huwa […]

Read More..

Man Fongo: Bila Mimi Hakuna Kisingeli

Post Image

Msanii wa Singeli Man Fongo ambaye aliibuka mshindi katika tuzo za EATV Awards kama msanii bora anayechipukia amefunguka na kusema kuwa hakuna muziki wa kisingeli bila yeye. Man Fongo alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ na kusema kutokana na mapenzi aliyopata kutoka kwa mashabiki na kumuwezesha kupata tuzo ya #EATVAwards ameamua kuwashukuru mashabiki kwa kufanya […]

Read More..

Kadinda Akanusha Kugombana na Wema

Post Image

MBUNIFU wa mavazi nchini, Martin Kadinda, amesema hana ugomvi wowote na nyota wa filamu, Wema Sepetu, kama watu wanavyodai. Akizungumza na MTANZANIA jana, Kadinda alisema watu wamezoea kukaa na kutengeneza mambo ambayo hayapo, yeye ni meneja wa Wema na ataendelea kufanya naye kazi kama kawaida. “Watu wamezoea kuzusha kila kukicha, kwa upande wangu sijawahi kugombana […]

Read More..

Kiba na Diamond Kupatana Sasa Haiwezekani-D...

Post Image

Msanii mkongwe katika muziki wa Bongo fleva Dully Skyes ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Inde’ amefunguka na kusema anauwezo wa kuwapatanisha wasanii Alikiba na Diamond na kumaliza tofauti zao Japo anakiri wazi kuwa ugomvi wa wasanii hao kwa sasa ni mkubwa kwani umeshatoka mpka kwa watu wa nje. Dully Skyes akiongea kwenye […]

Read More..

Mashabiki Wananigombanisha na Gabo – Duma

Post Image

Hivi karibuni kumekuwepo na maneno ya chini kwa chini kuwa washindani wawili waliokuwa kwenye kipengele kimoja katika tuzo kubwa zilizoteka Afrika Mashariki za EATV Gabo na Duma kuingia kwenye bifu zito baada ya Gabo kuchukua tuzo zote mbili. Imekuwa kama desturi kila baada ya tuzo fulani kutolewa kuibuka maneno mbalimbali kutoka kwa washindani au mashabiki, […]

Read More..

Hawa Ndiyo Wanawake Waliong’ara 2016

Post Image

Tunaendelea na wanawake waliong’ara mwaka 2016 kwa kutoa maelezo kigo kuhusu walichofanya. Khadija Mwanamboka Wengi wanamfahamu Khadija Mwanamboka kutokana na tasnia ya mitindo. Alikuwa miongoni mwa wabunifu waliohamasisha Watanzania kuvaa mavazi yanayotengenezwa na wabunifu wa hapa nchini. Mwaka 2016, aligeukia upande mwingine na kujihusisha zaidi na biashara ya chakula. Kupitia chapa yake ya Vitu vya […]

Read More..

Jennifer Mgendi Kuja na albamu Mpya Pamoja ...

Post Image

Msanii mkongwe wa nyimbo za Injili nchini, Jennifer Mgendi baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu anajipanga kuachia albamu yake mpya iitwayo,’Nyuma ya Mlima’. Muimbaji huyo ambaye amewahi kutamba na wimbo Mchimba Mashimo, Nalia na nyingine nyingi, amesema kuwa ameamua kuachia albamu hiyo kama zawadi ya kuwatia moyo mashabiki wake wanaopita katika magumu mbalimbali. “Nina […]

Read More..

Wivu wa Harmonize Wamfanya Wolper Kupokea S...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jackline Wolper amekutana na kamera ya eNewz lakini katikati ya mahojiano alipokea simu ya mpenzi wake Harmonize kitendo ambacho kiliwaziba watu wengi midomo kutokana na wawili hao kudhaniwa kuwa hawakuwa wapenzi kweli. Pia amemzungumzia mpenzi wake huyo na kusema kuwa ana wivu sana ndiyo maana hajaona shida kupokea simu yake katikati ya interview ili […]

Read More..

Saida Karoli Anavyoibadili Bongo Fleva

Post Image

KWA miaka kadhaa sasa, maoni ya mashabiki wengi wa Muziki wa Kizazi Kipya ilikuwa ni kuingiza aina ya staili ya nyimbo za Afrika Magharibi, hususan Nigeria. Baadhi yao, wakatabiri mwanzo wa mwisho wa Bongo Fleva. Wengi waliona Bongo Fleva ya zamani ni nzuri kuliko ya sasa. Ya sasa ikionekana nyimbo zao hazidumu, yaani nyepesi, pili […]

Read More..

Msimu Mpya wa Siri za Familia Umerejea Kwa ...

Post Image

ILE Tamthilia maarufu inayotamba kwa sasa ya Siri za Familia ambayo urushwa na kituo cha Televisheni cha East Africa Television (EATV) imekuja sehemu ya pili kwa msimu mpya huku ikitabiriwa kuteka zaidi wapenzi wa tamthilia Swahilihood baada ya kufanya vizuri katika msimu uliopita. Akiongea na FC mtunzi wa Siri za Familia Said Mkukila ameiambia FC […]

Read More..

Nuh Mziwanda Kuja na Khadja Kopa

Post Image

Msani Nuh Mziwanda amefunguka na kuweka wazi mipango yake ya mwakani 2017 na kusema kuwa tayari mpaka sasa amejipanga na ngoma kibao kali. Nuh Mziwanda akiongea kwenye kipindi cha Planet bongo alisema kuwa anatambua kuwa mashabiki zake wanasubiri ngoma mpya lakini kwa mwaka huu hataweza kuachia kazi mpka mwezi wa kwanza ambapo ataachia kazi yake […]

Read More..