-->

Monthly Archives: January 2016

Zari ‘Mama Tiffah’: Nafuata Din...

Post Image

BAADA ya sintofahamu nyingi kuibuka katika mitandao ya kijamii kuhusiana na picha za mpenzi wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zari the boss Lady, kusambazwa katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha akibatizwa mtoni, mwenyewe ameibuka na kuweka sawa sintofahamu hizo. Akizungumza na mtangazaji, Millard Ayo kupitia kipindi cha Top Twenty, Zari […]

Read More..

Idris Athibitisha Kumpa Wema Ujauzito

Post Image

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2015 Idris Sulta, athibitisha kumpa ujauzito mlimbwende amabaye hakauki vinywani mwa watu kutokana na umaarufu wake na urembo wake Wema Sepetu, huku akijivunia kuwa na mwanamke huyo maishani mwake. Katika ukurasa wake wa Instagram Idris Sultan ameandika maneno ambayo yanaashiria wazi mlimbwende huyo ambaye pia anafanya vizuri runingani […]

Read More..

Nisha: Nikilala na Kuamka na Barakah Da Pri...

Post Image

Staa wa Bongo Muvi, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye kwa sasa yupo kwenye malavidavi na Mwanamuziki Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’, amefunguka kuwa hajali ni wangapi wanampenda jamaa huyo kikubwa analala naye na kuamka naye. Akizungumza na mwandishi wetu, Nisha alisema kuwa kwa kawaida tamaa kwa wanaume ni jambo la kawaida lakini kwa upande wake anaangalia […]

Read More..

Davina Amtolea Uvivu Mwandishi wa Stori Hi...

Post Image

Kufuatia gazeti moja la udaku kuandika stori ya uongo juu yake, Staa wa Bongo Movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amemtolea uvivu muandishi wa stori hiyo kupitia ukurasa wake mtandaoni. Hivi nyie waandishi wengne hv kwann hamnaga utu lini nimeongea na wewe lini? zuwenanyembo na ktk story umeandika nimekutaja mpk jina me nakujua ww? Wkt mwingne mnasemaga […]

Read More..

Rose Muhando Ang’atwa na Nyoka

Post Image

DAR ES SALAAM! MAJARIBU! Staa anayefanya vizuri kwenye Muziki wa Injili Bongo, Rose Muhando yupo hoi kitandani baada ya kung’atwa na nyoka. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba Rose akiwa anaingia getini usiku wa kuamkia Jumatano iliyopita, nyumbani kwake mkoani Dodoma aling’atwa na nyoka mguuni na kukimbizwa hospitali iliyopo Area C mkoani humo. “Maskini Rose […]

Read More..

Baada ya Kusugua Benchi Miaka Mitano, Nora...

Post Image

STAA aliyekuwa akitingisha kwa wasanii Bongo kutoka Kundi la Kaole, Nuru Nassoro ‘Nora’ amefunguka kuwa Mungu amemuona baada ya kukaa benchi kwa takriban miaka mitano bila kurekodi sinema. Akizungumza na Ubuyu wa Town, Nora alisema alikuwa ameshakata tamaa lakini anaishukuru Kampuni ya Didas Entertainment ambayo imemthamini na kumrudisha tena kwenye gemu. “Watu waliniona mimi sifai […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Tunajenga Kwanza Ndani Ndio T...

Post Image

Kutokana na kusuasua kwa hatua za tasnia ya filamu Bongo kuingia katika soko la kimataifa, nyota wa filamu Aunt Ezekiel amesema kuwa zipo jitihada zinafanyika sasa kuweka mambo sawa katika soko la ndani ambalo limeshuka, kama msingi wa safari hiyo. Aunt ambaye hakufafanua mikakati yenyewe, ameeleza kuwa itakuwa ni uongo pale kufanya jitihada za kwenda […]

Read More..

Ndege Wanaofanana Huruka Pamoja-Lulu

Post Image

Kupitia ukurasa wake mtandaoni,staa mrembo wa Bongo Movies ‘Lulu’ amefunguka haya; Kuna Msemo Unasema “NDEGE WANAOFANANA HURUKA PAMOJA” hii misemo huwa inamaana sana Kwa akili yangu ndogo nilijaribu kuuweka huu Msemo katika Maisha ya kawaida Na nikagundua Una asilimia kubwa ya ukweliKatika Maisha yetu ya mahusiano,urafiki,undugu,ujamaa Na hata ushabiki sio kwamba mambo yanatokeaga Kama miujiza […]

Read More..

‘Kiboko Kabisa’ ya Nisha Inahesabu Siku

Post Image

ILE Filamu ya Kiboko Kabisa kutoka kwa gwiji la Uchekeshaji Swahilihood Salma Jabu ‘Nishabebee’ ipo tayari na inehesabu siku kadhaa ili iruke mtaani na kufanya fujo za hatari huko kunako soko ni kazi safi si ya kuikosa kwani imejaa mastaa kibao. Akiongea na FC Production meneja wa Nisha’s Film Productions Othuman Ochu amesema kuwa kila […]

Read More..

Nunua Kifurushi cha “Get Started Uond...

Post Image

Ishi kwa kuchukulia magumu kama changamoto na sio matatizo. Badala ya kuwaza kuwa utatoa,nini? Waza kuwa utapata nini? Ulishawahi kuwaza kuwa kwa kuondoa uzito uliokuzidi utapata pesa kuliko ulivyowahi kuwaza maishani mwako? Na unajua kwamba huhitaji elimu ya chuo wala mkopo kutembea ukiwa umekaa? Sio wote huamini, lakini wewe kwa kusoma habari hii kupitia mimi […]

Read More..

Steve Nyerere Ahenyeshwa Polisi

Post Image

DAR ES SALAAM: Msala! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amedaiwa kuhenyeshwa polisi kutoka na msala wa rafiki yake kuaminiwa fedha za matengenezo ya gari na kuanza ‘kupiga karenda’ matengenezo hayo bila sababu za msingi. Chanzo makini kimeeleza kuwa, miezi kadhaa iliyopita, Steve alimpeleka rafiki yake aitwaye Mohamed maarufu kwa jina la […]

Read More..

Nay wa Mitego auelezea mkasa wa mwanae Curt...

Post Image

Rapa Nay wa Mitego amedai alimnyang’anya ex wake Siwema mtoto wao Curtis baada ya kile alichodai mwanadada huyo kuendekeza starehe za club pamoja na kusafiri nje ya mkoa kwa zaidi ya wiki mbili huku akiwa amemuacha mtoto nyumbani. Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM Ijumaa hii, Nay alisema aliamua kumhifadhi lakini huu […]

Read More..

Shilole Amtesa Nuh kwa Tatuu

Post Image

Kama huna taarifa basi kaa ukijua kuwa, lile penzi lililokuwa na sarakasi nyingi, mara wafumaniane, mara wapigane, mara waachane sasa limefikia mwisho kama siyo kikomo. Nawazungumzia mastaa wawili, Nuh Mziwanda na Shilole ambao wametangaza rasmi kwamba kila mmoja kuwa na hamsini zake. Shilole amesema kuwa, haoni sababu ya kuendelea na Nuh kwa kuwa anahisi anambana […]

Read More..

Punguza Uzito kwa Njia Iliyo Salama Zaidi

Post Image

Kupunguza uzito lazima  kuwe kwa afya kwa kuzingatia upunguaji salama kwa bidhaa zilizothibitishwa na zenye vibali. Wengi wamekuwa wakipumbazwa na urahisi wa bei matokeo yake wamejikuta wakiishia kupata madhara makubwa ya kudumu ikiwamo ugumba, kansa na hata kupoteza maisha. Mara nyingi bidhaa hizi za hatari huuzwa kwa kificho kificho na wauzaji wake hawajui hata mchanganyiko […]

Read More..

Davina: Nimezaa Sijazeeka na Bado Nalipa

Post Image

Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amedai kuwa kuzaa siyo kuzeeka kama wasanii wengine wanavyodhani bali ni kupata heshima na kupendeza kama alivyonawiri yeye. Akizungumza na Ijumaa, Davina alisema kuwa yeye ni mama wa watoto lakini kila kukicha anazidi kupendeza na kuonekana ‘kigori’ tofauti na watu wanavyodhani. “Unajua kuna baadhi ya watu wanadiriki […]

Read More..

Diamond: Hata Kama Tiffah Sio Mtoto Wangu, ...

Post Image

Diamond Platnumz amechukizwa na jinsi wasanii anaowaheshimu wanavyohaingaika kumchafua yeye na mwanae Tiffah mtandaoni na amesema tayari anawajua wasanii hao. Akizungumza kwa hasia na Ayo TV Alhamisi hii, Diamond alisema anawashangaa wasanii wanaotumia muda mwingi kumponda mtoto wake kuliko kutafuta pesa. “Watu wamekaa kwenye sanaa muda mrefu mimi nimewakuta, nawaona wameanza kuwa mastaa kabla ya […]

Read More..

Kumteka Mwanamke Mwenye Mapenzi ya Kweli ni...

Post Image

“Kumteka mwanamke mwenye mapenzi ya kweli ni rahisi sana kuliko wengi wanavyofikiri, ni vitu vidogo tu, muonyeshe mapenzi ya kweli, muweke wazi kwa kila kitu chako,jiamini hata km huna uwezo sana, mjali na umpende, ukifanya hayo umeishika roho yake, walimwengu wataongea yao, watapiga kelele hatoona wala kusikia, lkn ukimdnganya na ukamletea maisha feki, na ukadhani […]

Read More..

Wolper Akanusha Kuihama CHADEMA na Kukataa ...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Jacqueline Woper ambaye alikuwa msatari wa mbele kumpigia kampeni aliekuwa mgombe urasi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye uchaguzi wa mwaka jana, Mh. Edward Lowassa amekanusha habari iliyoripotiwa na moja ya magazeti ‘pendwa’ kuwa kwa sasa staa huyo ameshajitoa CHADEMA na hataki tena kuitwa mtoto wa Lowassa ‘Jacqueline […]

Read More..