-->

Monthly Archives: February 2017

Irene Uwoya Kujikita Kwenye Tamthilia, Fila...

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Irene Uwoya siku ya jana Februari 14, aliandaa party kubwa Club Next Door, Masaki kusherekea siku ya wapendanao duniani (Valentines Day) pamoja na mastaa wengine na mashabiki wake. Global TV Online ilipewa mualiko wa kuhudhuria party hiyo pamoja na kupata exclusive kutoka kwa Irene Uwoya mwenyewe ambaye alishare na sisi mipango […]

Read More..

Diva wa Clouds FM Afunguka Kumtamani Alikib...

Post Image

Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva The Bosslady amefunguka kwa kudai kuwa katika mastaa wa muziki Alikiba ndiye msanii ambaye anatamani kudate naye. Diva ambaye kwa sasa anatoka kimapenzi na muimbaji Heri Muziki, alikuwa host wa show ya Valentine’s Day iliyofanyika Jumatano hii katika ukumbi wa Next Door na kuhudhuriwa […]

Read More..

Sakata la Madawa ya Kulevya: Masogange Adai...

Post Image

Taarifa zinadai kuwa mrembo Agnes ‘Masogange’ Gerald amekamatwa na polisi usiku wa kumkia leo, ikiwa ni sehemu ya msako wa watu wanaohusishwa na biashara ya dawa za kulevya.   Kwa mujibu wa Jamii Forums, Masogange anashikiliwa kwenye kituo kikuu cha polisi jijini Dar es Salaam. Mrembo huyo anakuwa staa mpya kuingizwa kwenye orodha ya mastaa […]

Read More..

Wastara Amchimba Mkwara Mpenzi Wake, Bond

Post Image

Msanii wa bongo movie Wastara amemchana mpenzi wake wa sasa Bond kwamba asipojirekebisha baadhi ya tabia zake atamuacha na akimwacha hatarudi tena kwake. Hata hivyo Wastara amesema anaweza kuvumilia shida anazopata kwa Bond lakini anaweza kumuacha muda wowote kwani hahitaji ‘stress’ za kimapenzi huku akiweka wazi kuwa amejitahidi na amefanikiwa kumrekebisha kwa 80 % na endapo ataendelea na […]

Read More..

Aunt Ezekiel Atoboa Kitu Kinachomuumiza Kwe...

Post Image

Msanii wa filamu ambaye ni mama wa mtoto mmoja, Aunt Ezekiel katika usiku wa siku ya wapendanao alifunguka na kuzungumzia kitu ambacho kilimuuza katika mahusiano yake na Mose Iyobo. Akiongea na Bongo5 usiku wa jana katika show ya Valentine’s Day iliyoandaliwa na Irene Uwoya, Aunt amedai kitu ambacho kilikuwa kinamsumbua ni kuambiwa anatoka na mkata […]

Read More..

Video: Joti Afunga Ndoa au Tangazo?

Post Image

Picha na video za msanii mchekeshaji, Joti akionekana amefunga ndoa siku ya leo. Ukweli wa kama ni ndoa ya kweli au ni moja ya kazi yake za matangazo ndiyo mjadala unaoendelea hadi sasa. Tazama video hii

Read More..

Zari the Bosslady: Uraia wa Nillan ni ̵...

Post Image

Kwenye mahojiano yake na Dizzim Online, mchumba huyo wa Diamond amesema pindi tu mtoto wake amezaliwa huko nchini Afrika Kusini, alipewa uraia wa nchi hiyo. “Yaani hiyo iki complicated because amezaliwa kule akapata immediate citizenship lakini vile amerudi nyumbani sasa hivi tutarudisha ile citizenship ya South Africa halafu atachukua ya Tanzania,” alisema Zari.

Read More..

Menina La Diva Ajifungua Mtoto wa Kiume

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva aliyewahi kushiriki shindano la kusaka vipaji maarufu la Bongo Star Search (BSS), Menina, amejifungua mtoto wa kiume Februari 9 wiki iliyopita na jina la mtoto huyo bado halijafahamika. Aidha Menina aliyewahi kutamba na wimbo wake wa ‘Dream Tonight’ alitoa taarifa hiyo kupitia mtandao wake wa Instagram ambapo mastaa wenzake wakaendela kwa […]

Read More..

Watu Wanataka Kiki Kwa Jina Langu- Shilole

Post Image

ZUWENA Mohamed ‘Shilole’ analalamika akidai kuwa kwa sababu yeye ni msanii nyota wa filamu na muziki kuna watu wanataki kiki kupitia jina lake hata hivyo amelitambua hilo na atakuwa makini sana kila anaposikia jambo atafikiria alijibu au lah kwani akifanya hivyo anawatangaza wanaojinufaisha na jina lake. “Mimi ni super star kuna watu wanatumia jina langu […]

Read More..

Mwanaume wa Hivi Hafai Kabisa – Shamsa Ford

Post Image

Msanii wa filamu nchini na mfanyabiashara Shamsa Ford amefunguka na kutoa somo kwa baadhi ya wanawake kuwa wakiona wapo kwenye mahusiano na mwanaume ambaye hajivunii uwepo wa mwanamke basi wajue wazi mtu huyo si wake bali atakuwa wa mtu mwingine. Shamsa Ford anasema mara nyingi wanawake wanapenda kuwa na mwanaume ambaye ana heshima na mapenzi ya […]

Read More..

VIDEO: Manji Akitoka Hospitali Aje Aripoti ...

Post Image

Dar es Salaam.Ofisi ya uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam imemtaka mmiliki wa Quality Plaza, Yusufu Manji kuripoti uhamiaji mara baada ya kutoka hospitali alikolazwa. Ofisa uhamiaji wa mkoa huo, John Msumule ametoa taarifa hiyo leo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari. Amesema Manji anatakiwa kufanya hivyo kwa kudaiwa kuwa ameajiri watu wanaoishi nchini kinyume […]

Read More..

Pombe Ilivyoharibu Muziki wa Nuruel

Post Image

Msanii wa bongo fleva Nuruel amesema ajali ya mguu aliyoipata miaka kumi iliyopita akiwa amelewa imekuwa ikimpa maumivu makali sana hali ya kumfanya kushindwa kufanya muziki vizuri kwa sasa. Akiongea kupitia eNewz ya EATV, amesema “Mguu wangu wa kushoto ulivunjika hali iliyonipelekea kupata mawazo sana na nikaachana na maswala ya muziki hali iliyonifanya nipotee kimuziki hata hivyo […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka kwa Mara ya Kwanza Tan...

Post Image

Staa wa bongo movie, Wema Sepetu ametoa shukrani kwa watu wote waliokuwa naye bega kwa bega tangu ashikiliwe rumande kufuatia kutajwa kwenye orodha ya kwanza ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ya watu wanaohusishwa na biashara ya matumizi ya dawa za kulevya. Wema alitoka kwa dhamana ya shilingi milioni 5 wiki iliyopita baada […]

Read More..

Mume wa Shamsa Ford, Chid Mapenzi Atakiwa ...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameamuru kukamatwa kwa mume wa muigizaji wa Bongo Movie Shamsa Ford, Chidi Mapenzi na kupelekwa polisi. ‘Kuna mtu anaitwa  Chid Mapenzi, huyo nataka  akachukuliwe sasa hivi nimkute  central’-Makonda aliagiza leo hii ikiwa ni muendelezo ya vita dhidi ya madawa ya kulevya. Chid Mapenzi ni mfanya biashara […]

Read More..

Kajala Afunguka Kutomuona Wema Selo

Post Image

Baada ya Miss Tanzania 2006/07 ambaye ni Mwigizaji wa Bongo Muvi, Wema Isaac Sepetu kusota lupango kwa siku kadhaa kufuatia kutajwa kwenye tuhuma za madawa ya kulevya na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, kabla ya kupandishwa mahakamani na kuachiwa kwa dhamana, staa mwenzake, Kajala Masanja ameibuka na kufunguka sababu ya kutokwenda kumuona mahabusu. […]

Read More..

TID: Mimi ni Muathirika wa Dawa za Kulevya

Post Image

Mkali wa bongo Fleva, Khalid Mohamed maarufu kama TID, amekiri kuwa mmoja wa mastaa walioathirika na matumizi ya madawa ya kulevya. Akizungumza leo kwenye mkutano ulioandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, TID amesema yuko tayari kubadilika. “Nimekuwa muathirika wa madawa ya kulevya, nimekuja kama kijana […]

Read More..

JPM Atema Cheche Waliofungwa kwa Dawa za Ku...

Post Image

Serikali imesema kamwe haitawatetea Watanzania wanaotumikia vifungo katika magereza mbalimbali nje ya nchi kutokana na kujihusisha na dawa za kulevya. Pia imesema itakachokifanya ni kuzishauri serikali za nchi husika kutekeleza hukumu dhidi ya Watanzania hao kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi husika. Msimamo huo wa serikali umetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano […]

Read More..

Manji Atoka Polisi kwa Gari la Wangonjwa

Post Image

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Yusuf Manji ametolewa kwenye Kituo Kikuu cha Polisi muda mfupi uliopita na kupandishwa kwenye gari la wagonjwa ambalo lilipita Barabara ya Sokoine kuelekea Posta Mpya. Mwandishi wa Mwananchi alikuwa eneo hilo ameshuhudia Manji akipanda gari hilo la Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) lakini hawakufahamu mara moja alikoelekea. […]

Read More..