Shilole: Sasa Natamani Kuvaa Shela
STAA wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, sasa anatamani kuvaa shela kama walivyovaa wanawake wengine kwani kuna wakati ukifika mwanamke lazima utamani hali hiyo. Akizungumza na Showbiz Xtra, Shilole alisema kuwa, watu wengi wanamtabiria mambo mazuri ya ndoa lakini anaamini kuwa siku yake itafika na ataolewa na kila mmoja atashangaa. “Natamani sana na […]
Read More..





