-->

Monthly Archives: August 2017

Msami Afuta Kauli Yake, ‘Irene Uwoya Alin...

Post Image

Baada ya msanii wa Bongo Flava, Msami kutoa kauli kuwa aliyekuwa mpenzi wake, Irene Uwoya ndiye aliyemtongoza, muimbaji huyo ameamua kuomba radhi kwa kutoa kauli hiyo. Msamii amesema asingependa kuona mjadala huo unaendelea kwa sasa na anatamani mashabiki wa Irene waendelee kushabikia kazi zake na mashabiki wake pia waendelee kushabiki kazi za Irene, kwani ndio njia ya […]

Read More..

Majambazi Yapora Mamilioni Kiwandani, Matat...

Post Image

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, linawashikilia watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha na kupora Sh464 milioni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi alisema jana Alhamisi, Agosti 3 kuwa watu hao walikamatwa Julai 19 mwaka huu mkoani Singida walipokimbilia baada ya kufanya uhalifu. Kamanda Msangi amesema […]

Read More..

Wanaomuua Jini Kabula Wajulikana!

Post Image

WAKATI hali ya staa wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ikiwa bado si shwari, watu ambao wanatajwa kuzidi kumuweka kwenye wakati mgumu na kumsukumizia kwenye kifo wamejulikana, Ijumaa linakupa habari hii ya kusikitisha. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jini Kabula anayedaiwa kuwa na tatizo la kuchanganyikiwa, alisema anashangaa wakati yuko kwenye matatizo hayo mazito ndipo […]

Read More..

Mpoto Afungukia Kutembea Peku Peku

Post Image

Msanii wa muziki wa kughani nchini Tanzania, Mrisho Mpoto amefunguka kwa kudai hapendi kuwa ‘mpumbavu’ na ndiyo maana anatembea peku peku (bila ya kuvaa viatu) popote pale aendapo na hakuna mtu wa kumzuia kutofanya hivyo.   Mpoto amebainisha hayo baada ya kuwepo na tetesi kuwa alizuiwa kuingia kwenye nje za ughaibuni wakati anakaguliwa kwenye lango […]

Read More..

Shilole Awafunda Wasanii wa Kike

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva nchini, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amewataka wasanii wa kike wanaoibuka katika soko hilo kutobweteka na kutegemea mteremko ili wasonge mbele. Shilole anayeendelea kutamba na wimbo mpya wa ‘Sitoi Kiki’, alisema muda mfupi aliokaa kimya bila kusikika, hakufulia kama inavyosemekana, badala yake aliwapa nafasi wasanii chipukizi wa kike ili nao wajitangaze sokoni. “Kuna […]

Read More..

Magufuli Ataka Kufuta Hati ya Shamba la Cha...

Post Image

Rais John Magufuli amesema anasubiri taarifa kutoka kwa kamishna wa ardhi ili aweze kuifuta hati ya shamba la Chavda na kulirejesha kwa wananchi. Amesema notisi ya ombi la kufuta shamba hilo tayari siku 90 zimemalizika hivyo inasubiri mchakato wa kamishna wa ardhi amuandikie barua. Ametoa taarifa hiyo leo Alhamisi, Agosti 3 baada ya Mbunge wa […]

Read More..

Halima aitaka Serikali ijibu hoja za kuporo...

Post Image

Waziri Kivuli wa Mipango, Fedha na Uchumi, Halima Mdee ameitaka Serikali kujibu hoja kuhusu kuporomoka kwa uchumi katika utawala wa Rais John Magufuli badala ya kuwadanganya wananchi. Mdee ambaye pia ni mbunge wa Kawe (Chadema) amesema hoja zilizotolewa na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hazijajibiwa na Msemaji wa Serikali, Dk Hussein Abbas badala yake anatoa […]

Read More..

Irene Uwoya Anafaa – Dogo Janja

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva, Dogo Janja kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu mahusiano yake, na kutoa sintofahamu kuhusu kutoka kimapenzi na muigizaji wa filamu za kibongo Irene Uwoya. Akizungumza na mtandao wa East Africa Television, Dogo Janja ambaye mara nyingi hapendi kuzungumzia maisha yake binafsi, ameamua kusema kuwa msanii huyo anafaa. “Irene ni […]

Read More..

Nuh Mziwanda Abadili Dini, Amkacha Mke

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Nuh Mziwanda amethibitisha kurudi katika dini yake ya awali ya Ukristo na kutengana na mkewe. Kupitia XXL ya Clouds FM, Nuh ameeleza kuwa ni kweli alikuwa kanisani siku ya Jumapili kama taarifa zilivyozagaa katika mitandao mbalimbali kuwa ameonekana kanisani. “Nimerudi kwa Mungu wangu ili mambo yangu yaende vizuri maana […]

Read More..

Wolper Awapa Ngumu Kumeza Instagram

Post Image

Kupitia ukurasa wake wa Instagram,muigizaji Jacqueline Wolper ameandika kupitia ukurasa wake Instagram. Hivi ni nani asiekuwa na furaha instagram, kila mtu hujitia mapenzi mazuri, maisha mazuri, hakuna magomvi ndani ya nyumba wakati in reality watu wanalia kimyakimya tunawachora, wengine wanapigika wee bila kusahau mikopo kibao mpaka usiku wanaota wanakimbizana na marejesho lakini wakija insta wanajitia […]

Read More..

Mau Fundi na Filamu ya Mwalimu Masemele

Post Image

FILAMU ya Mwalimu Masemele iliyotayarishwa na muigizaji nyota Maulid Ally aka Maufundi imeingia sokoni leo na inasambazwa nchi nzima kwa maduka yote ambayo yanauza filamu za kibongo sinema hiyo imeandaliwa mkoani Morogoro lengo la mtayarishaji ikiwa ni kuwaweka pamoja wasanii wote. Akiongea na FC Mau amesema kuwa filamu hiyo ni nzuri na ina mafunzo kwa […]

Read More..

Mwanaume Wangu wa Sasa sio Serengeti Boy-Sh...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya asiyeisha vituko Shilole amemtetea mwanaume wake mpya baada ya tuhuma za kutoka na serengeti boys. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Shilole amesema kwa sasa yeye hana mahusiano na wanaume ambao amewazidi umri, kwani mpenzi wake wa sasa ni mwanaume halisi (gentle man) na amemfanya […]

Read More..

Mkojo wa Wema Wakutwa na Vimelea Vya Bangi

Post Image

MKEMIA, Elias Mulima, amedai mahakamani kuwa mkojo wa mrembo wa zamani wa Tanzania (2006), Wema Sepetu ulibainika kuwa anavuta bangi, baada ya kufanyiwa uchunguzi. Mulima ambaye anatoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam alipokuwa akitoa ushahidi upande wa Jamhuri katika kesi ya kukutwa […]

Read More..

Mkojo wa Masogange Umebainika Kuwa na Heroi...

Post Image

Dar es Salaam. Mkemia kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Elias Mulima, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa sampuli ya mkojo wa msanii Agnes Gerald maarufu kama Deal ama Masogange (28) umebainika kuwa na dawa ya kulevya aina ya heroin. Akitoa ushahidi leo Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri, shahidi huyo […]

Read More..

Waziri Dkt. Mwakyembe Kukutana na Wadau wa ...

Post Image

WAZIRI mwenye dhamana ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (MB) anatarajia kukutana na wadau wa tasnia ya filamu (Shirikisho la filamu Tanzania na vyama vyake) tarehe 4 August, 2017 siku ya ijumaa kuanzia muda wa saa 2:30 asubuhi hadi 7:00 mchana katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalim Nyerere posta. Mhe. Waziri makundi […]

Read More..

Mdukuzi Amenirudisha Sana Nyuma- Ray C

Post Image

Mkongwe wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila ‘Ray C’ amedai kumfunga mwizi aliyedukua (hack) ukurasa wake wa Instagram uliokuwa na wafuasi zaidi ya laki tano na kusema kwamba hataweza kuvumilia wezi kuendelea kuwepo mitaani. Ray C amefunguka hayo siku chache zilizopita alipokuwepo kwenye Heshima ya Bongo fleva kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa kupitia […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Yaanza Kuunguruma Mahak...

Post Image

Kesi ya matumizi ya madawa ya kulevya inayomkabili malkia wa filamu nchini Wema Sepetu na wenzake wengine wawili imeendelea tena mchana wa leo katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kuahirishwa mapema leo asubuhi. Katika kesi hiyo imeonekana kuanza kuwavutia watu kutokana na ushindani wa vifungu vya sheria kutoka kwa […]

Read More..

Mzazi Mwenzake Linah Afungukia Picha Tata

Post Image

Baba mtoto wa msanii Linah Sanga, Mchomvu amedai picha alizopiga msanii huyo akiwa mjamzito ni za kawaida na kwamba alihusika kwa asilimia zote kuhakikisha zoezi linaenda sawa ikiwa ni pamoja na kuandaa mavazi, ingawa kwa jamii ilionekana tofauti. Aidha ameongeza kuwa picha kama zile kwa Linah ambaye ni mwanamuziki hazina shida hata kidogo ingawa kwa […]

Read More..