-->

Monthly Archives: August 2017

SHILOLE: Kufanya bonge la harusi!

Post Image

SHILOLE msimchukulie poa kabisa. Alichopanga kufanya kama kikikaa sawa, itakuwa gumzo kwelikweli hapa jijini. Msanii huyo wa muziki wa Bongo Flava na mwigizaji wa Bongo Muvi amewaambia mashabiki na marafiki zake kwamba, wasiwe na haraka watulie kwanza kwani anaamini ndoa yake ambayo amedai iko njiani, itaacha historia. Amesema kuwa harusi yake itakuwa ya maana na […]

Read More..

Vanessa Penzini Tena?

Post Image

Msanii wa kike bongo kwenye game ya bongo fleva anayekimbiza kimataifa Vanessa Mdee, ameonekana kupata mbadala wa aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu Juma Jux, kwa kuanza kumposti mwanaume mwingine huku kukiwa na ‘caption’ zenye ujumbe wa mahaba. Kwenye ukurasa wake wa Instagram siku chache zilizopita Vanessa Mdee alimposti msanii wa Nigeria Run Town na […]

Read More..

Nuh Mziwanda Awalilia Mashabiki Wake

Post Image

‘STRESS’ za kumwagana na aliyekuwa mke wake ambaye pia ni mzazi mwenziye, zinaendelea kuutesa ubongo wa mwanamuziki wa Bongo fleva, Nuh Mziwanda, ambapo hivi karibuni ameamua kuomba ushauri kwa mashabiki wake, juu ya mwanamke gani atamfaa katika maisha yake. Nuh ambaye ni baba wa mtoto mmoja aliyezaa na aliyekuwa mkewe, Nawal, akiwa kwa sasa ni […]

Read More..

Hali ya Bulaya bado tete

Post Image

Dar es Salaam. Hali ya Mbunge wa Bunda Ester Bulaya aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH ) imeelezwa kuwa bado ni tete. Hali hiyo ni kufuatia tatizo la kupumua alilolipata baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya Kituo cha Kati cha Polisi mjini Tarime. Mwananchi lilifika katika wodi namba 18 Sewahaji alipolazwa mbunge huyo, lakini […]

Read More..

Alikiba Ajibu Mashairi ya Diamond?

Post Image

Baada ya verse ya Diamomd Platnumz kusikika katika remix ya ngoma ya Fid Q ‘Fresh’, kumekuwa na tweets kutoka kwa Alikiba ambazo bado hazijaeleweka iwapo zinajibu kile alichoimba Diamond katika ngoma hiyo. Katika ngoma hiyo ya rapper huyo mkongwe kuna mIstari Diamond anasema, “Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe Kalle, siwalitaka kiti nimewapa hadi kitanda wakalale”. […]

Read More..

Mh. Ester Bulaya Kuletwa Muhimbili na Ndege

Post Image

Hali ya Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Mh. Ester Amos Bulaya imezidi kuwa mbaya, kwa mujibu wa Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mara Mh. Joyce Sokombi, ambaye yuko naye hospitali akimuuguza. Mh. Sokombi amesema pamoja na kwamba amepelekwa katika hospitali ya mkoa Mara Mbunge huyo hajapata nafuu, hivyo amepewa rufaa ya kuja hospitali […]

Read More..

Shilole: Skendo Kwangu Sasa Basi

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesema sasa ameamua kutulia kuepukana na skendo, kwa kuwa tayari yupo kwenye hatua za mwisho kuingia kwenye maisha ya ndoa. Kauli ya Shilole kudai anatarajia kuolewa hivi karibuni ilizua gumzo, huku baadhi ya watu wakidai si kweli, lakini mwenyewe amekiri kwa kusema mashabiki wake watarajie kumuona akivalishwa shela […]

Read More..

Roma Aikana CHADEMA

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki ambaye anaimba muziki wa Hip hop kwenye game ya bongo, amekikana chama cha CHADEMA na kusema kuwa hajawahi kuwa mwanachama wa chama hicho kama ambavyo wengi wanaamini, na hajawahi kuwa mwanachama wa chama chochote. Roma ambaye hivi karibuni alikutwa na sakata la kutekwa na kuibua sintofahamu nyingi, amesema kwamba hajawahi kuwa mwanasiana […]

Read More..

Uwoya: Filamu za Bei Rahisi ni Tatizo!

Post Image

MASHABIKI wengi wa sinema za Kibongo wanaamini kuwa fani hiyo imekosa ubunifu na mwelekeo, hasa baada ya kifo cha nyota wake, Steven Kanumba ‘The Great’ ambaye alionekana kama mtu mwenye hamu ya kufanya mambo makubwa.   Lakini ifahamike kwamba, hata wakati Kanumba akiwemo, tasnia hiyo ilikuwa na changamoto nyingi, zote zikisababisha kutetereka kwa soko lake na mashabiki […]

Read More..

Roma Atoboa Siri ya Zimbabwe

Post Image

Rapa Roma amedai sababu za kusema anakwenda Zimbabwe  ni kutokana na ukweli kwamba nchi hiyo  ni moja kati ya nchi ambazo ziliguswa na matatizo aliyopata ikiwepo kutekwa na kuteswa kwa siku tatu mfululizo. Akizungumza leo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Roma amesema ingawa tayari idea ya wimbo huo ilikuwepo lakini alitamani kuonyesha mama wa Afrika […]

Read More..

Msami Aufungukia ‘Step by Step’

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Msami Giovan ‘Msami’, amesema katika kazi zake zote alizowahi kufanya hadi sasa, wimbo unaomvutia na kumpa hisia kubwa ni ‘Step by Step’. Akizungumza hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Msami alisema wimbo huo umekuwa ukimvutia kila anapousikia, hasa upande wa sauti za vinanda zilizotumiwa. Alisema kazi hiyo imekuwa ikimburudisha […]

Read More..

Mahakama yaamuru mke amuache mumewe kwa kut...

Post Image

Mahakama moja katika jimbo la Rajasthan nchini India imemuru mwanamke mmoja kuachana na mumewe wa ndoa, kwa sababu nyumba yao kukosa choo kwa muda mrefu. Jaji wa Mahakama ya Bhilwara, Rajendra Kumar Sharma, amesema kuwa kwa vile mume hakumjengea choo ndani ya nyumba, katika miaka mitano ya ndoa, basi huo ni ukatili wa kijinsia na […]

Read More..

Siwezi Kumuacha Ray – Johari

Post Image

Msanii nguli wa filamu ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu Bi. Blandina Chagula, ameweka wazi mahusiano yake na muigizaji mwenzake Vicent Kigosi, ambaye wanamiliki kampuni moja ya filamu. Akizungumza na mwandishi wetu Johari amesema hawezi kuvunja mahusiano yake na Ray ambaye kwa sasa yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji mwengine Chuchu Hansa, kwani wana […]

Read More..

Bulaya Sasa hamishiwa Bugando

Post Image

Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini, Esther Bulaya aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime alikokimbizwa Jana Jumapili baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya polisi mjini Tarime, amehamishiwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando jjijini Mwanza kwa matibabu zaidi.   Katibu wa Chadema Mkoa wa Mara, Chacha Heche amesema kuhamishiwa Bugando kwa mbunge huyo kumewezekana […]

Read More..

Casso Afunguka Tattoo ya Rose Ndauka

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Casso ambaye yupo chini ya lebo ya Ndauka Music inayomilikiwa na mwigizaji, Rose Ndauka amesema sababu zilizofanya achore tattoo yenye jina la mrembo huyo kwenye mkono wake wa kulia ni mapenzi aliyonayo kwa bosi. Casso ameliambia Show Biz kuwa Rose Ndauka ana roho ya kipekee na ni rafiki ambaye Mungu amemleta […]

Read More..

Steve Nyerere: Siku Nikifa, Wataomba Msamah...

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania Steve Nyerere ambaye pia ni mwanachama maarufu wa Chama cha Mapinduzi, amefunguka ya moyoni juu ya watu wake wa karibu, huku akisema siku akifa hawataamini na huenda ikawa wameshachelewa kuyafanya ya muhimu ju yake. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Steve Nyerere ameweka post huku akiweka picha za watu mbali mbali maarufu […]

Read More..

Ray C Mpya Afunguka Yote Hapa

Post Image

MSANII ambaye miaka kadhaa iliyopita alipotea kwenye anga la muziki baada ya kujitumbukiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, hivi karibuni alifanya mahojiano na MWANASPOTI baada ya kurudi kwenye ‘game’ la muziki na kusema haya yafuatayo: BADO WAMO Ray C ambaye kutokana na na kukatika, alipewa jina la ‘Kiuno Bila Mfupa’ […]

Read More..

JB Ajiweka Pembeni, Aanzisha Barazani Enter...

Post Image

MSANII mkongwe wa filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’ ametangaza kujiengua katika uigizaji na sasa ameanzisha Taasisi ya Barazani Entertainment ili kulinda heshima yake. Katika mahojiano maalum katikati ya wiki hii, JB ambaye anachukuliwa kama mmoja wa waigizaji mahiri kuwahi kutokea, hajaondoka moja kwa moja katika filamu bali amebadili nafasi na sasa atakuwa msambazaji. “Nimeshakuwa muigizaji […]

Read More..