-->

Monthly Archives: September 2017

Seduce Me ya Kiba Kuitetemesha Arusha

Post Image

WASANII nyota wa muziki hapa nchini, Ali Kiba, Joh Makini, Dogo Janja, Madee na Lulu Diva, ni miongoni mwa wasanii waliosajiliwa ili kutoa burudani katika tamasha la Tigo Fiesta 2017-Tumekusoma. Wasanii hao pamoja na wengine lukuki, walisajiliwa katika matukio yaliyofanyika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, lakini lile la Mbagala Zakheem likionekana kutia fora kutokana […]

Read More..

Gwajima Kumuombea Lissu

Post Image

Mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima  wa kanisa la Ufufuo na Uzima amefunguka na kusema kuwa siku ya Jumapili atafanya maombezi maalum kwa afya ya Mbunge Tundu Lissu ambaye jana alipigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Dodoma nyumbani kwake. Mchungaji Gwajima amesema kuwa atatumia misa hiyo kulaani vikali kitendo cha kinyama alichofanyiwa Tundu Lissu na watu hao […]

Read More..

Mchawi wa Bongo Movie ni Sisi Wenyewe – S...

Post Image

NI uwezo wake wa kufanya kweli awapo mbele ya kamera, ndiyo umempa jina na umaarufu mkubwa kunako kiwanda cha kuzalisha filamu za Kibongo. Ni binti mdogo sana kwa uhalisia wa umri, ingawa mwili wake unatoa ishara za kuanza kuingia kwenye ngome ya wahenga. Wengi wanamtambua kwa jila na Chausiku, lakini wazazi wake walimpa jina la […]

Read More..

Sasa ni Ben Pol vs Ramadee

Post Image

Hatimaye msanii Ben Pol ameamua kumaliza utata uliopo kwa mashabiki kwamba kati yake na Rama Dee nani bingwa wa minyoosho kwenye R&B kwa kuamua kufanya naye collabo. Ben Pol ambaye ameachia album yake yenye kazi zake bora ‘The Best of Ben Pol’, amemvuta Rama Dee kwenye remix ya ‘Pete’, na kukuachia wewe msikilizaji uamue nani kaifanya […]

Read More..

Ney wa Mitego: Diamond, Kiba Hawanitishi

Post Image

MKALI wa muziki wa hip hop Tanzania, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amesema hazimwi na bifu la Dimoand na Ali Kiba, huku akiweka wazi kuwa yeye hana mpinzani hapa nchini katika aina ya muziki anaoufanya. Akizungumza jana alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Rai na Dimba, Ney […]

Read More..

Rais Magufuli atoa tamko tukio la Lissu

Post Image

Rais John Magufuli amesikitishwa na taarifa alizozipata tukio la kupigwa kwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akiwa nyumbani kwake Dodoma leo na kuviagiza vyombo vya dola viwasake waliyofanya uhalifu huo. Rais Magufuli amesema hayo kupitia ukurasa wake wa twitter jioni ya leo na kutaka vyombo vya usalama kuwatafuta watu waliofanya tukio hilo […]

Read More..

Faiza: Sugu Akihitaji Mtoto, Namzalia!

Post Image

MREMBO Faiza Ally ambaye aliwahi ‘kubanjuka’ penzini na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, ametoa kali ya aina yake kwa kusema, yupo tayari kumzalia mbunge huyo ambaye walishaachana miaka kibao iliyopita. Kabla ya kumwagana na Sugu, mrembo huyo alifanikiwa kuzaa na mbunge huyo mtoto mmoja kisha kila mmoja akashika maisha yake. Sugu kwa sasa […]

Read More..

Magufuli ataka waliotajwa sakata la tanzani...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amewataka wateule wake wote waliotajwa katika ripoti za kamati zilizotathmini mfumo wa uchimbaji, usimamizi, umiliki na udhibiti wa madini ya tanzanite na almasi kukaa pembeni kupisha vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi zake. Rais Magufuli amesema hayo leo Septemba 7, Ikulu jijini Dar es Salaam, baada ya kupokea […]

Read More..

Fid Q ataja sababu ya wana hip hop kufeli

Post Image

Mkali wa muziki wa hip hop Bongo, Fid Q ametaja sababu ya wana hip hop kufeli katika kufikisha ujumbe kwa jamii. Rapper huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Fresh’ ameiambia Planet Bongo ya EA Radio kuwa wana hip hop wengi wanafanya muziki kwa ajili ya wenzao na siyo jamii. “Wana hip hop wanafeli […]

Read More..

VIDEO: Wema Afungukia Ishu Yake na Mbowe

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Wema Sepetu amekanusha kuwa na mahusiano na Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe ambaye miezi michache iliyopita alihusishwa kutoka naye baada ya sauti zinazodhaniwa kuwa za kwao  kusambaa mitandaoni. Wema amesema kuwa katu hajawahi kuwa na mahusiano na kiongozi huyo wa upinzani kwani ni mtu ambaye anamuheshimu sana na kuongeza kwamba sauti hizo […]

Read More..

Mwigizaji wa TMT Aula Rwanda

Post Image

MWIGIZAJI chipukizi Shiraz Ngasa aliyeibuliwa na shindano la kusaka vipaji vya filamu kupitia Tanzania Movie Talent (TMT) amefanikiwa kuigiza filamu kubwa nchini Rwanda kama muigizaji kinara na kufanya vizuri kwa kumwagiwa sifa lukuki kulingana na kipaji alichoonyesha. “Rwanda wamejipanga katika ujio wao wa utengenezaji filamu haikuwa rahisi kupata nafasi ya kuigiza katika filamu ya Seeds […]

Read More..

Natamani Nimpate Mtoto Hata Sasa – We...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kusema ameanza muda mrefu kutafuta mtoto lakini hajabahatika kumpata na kudai kuwa anatamani sana kupata mtoto hata sasa na kudai hajakata tamaa.   Wema Sepetu alisema hayo kupitia kipindi cha NIRVANA ambapo alikuwa akupiga stori na mtangazaji Deogratius Kithama wakati wa uzinguzi wa filamu ya diva huyo […]

Read More..

Magazeti ya Leo September 6

Post Image

  Chanzo: millardayo.com

Read More..

Wakubwa sunna – Dogo Janja

Post Image

Msanii Dogo Janja ambaye hivi karibuni amekumbwa na tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na muigizaji wa filamu bongo aliyemzidi umri Irene uwoya, na kuweka wazi sababu za kuweza kufanya hivyo. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Dogo Janja amesema kuwa na mahusiano na wanawake waliomzidi umri kwanza ni sunna kwa imani […]

Read More..

Lady Jaydee Kumwaga Mipesa

Post Image

Mwanamuziki mkongwe Lady Jaydee ameamua kumwaga fedha kwa mashabiki kupitia mitandao ya kijamii kwa kuanzisha shindano ambapo washindi watatu watakao weza kujibu kwa ufasaha maswali matatu atayatoa kwenye mitandao hiyo watalamba jumla ya milioni 2. Lady Jaydee amesema katika mashindano hayo mshindi wa kwanza atajipatia milioni moja huku mshindi wa pili akipata laki saba na […]

Read More..

Hashim Rungwe Ashikiliwa Polisi

Post Image

Dar es Salaam. Aliyekuwa mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Hashim Rungwe anashikiliwa na polisi kwa siku nne sasa. Rungwe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Chaumma anashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi cha Kanda Maalumu ya Dar es Salaam. Mwanasiasa huyo anashikiliwa akituhumiwa kughushi nyaraka. Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Lazaro […]

Read More..

Masogange: Najuta Kuwa Staa

Post Image

VIDEO queen mwenye umbo tata Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa, hakuna jambo analolijutia kama kuwa staa. Masogange aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, alipokuwa hajulikani alikuwa akifanya vitu vyake kwa uhuru bila kutazamwa na mtu yeyote tofauti na sasa. “Unajua mtu anaweza kusema ukiwa na jina unakuwa furaha sana, lakini si kweli kabisa, kuna wakati najuta huwa nakosa uhuru wa […]

Read More..

Shilole Afungukia Watoto Wake Kuimba

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, amesema watoto wake hawana mpango wa kurithi kipaji chake cha uimbaji. Akizungumza na MTANZANIA, Shilole alisema amekuwa akiwalea watoto wake katika maadili mazuri na kuhakikisha wanapata elimu ambayo itawasaidia baadaye. “Hakuna mtoto ambaye ameonyesha mwelekeo wa kurithi kipaji changu, wote kila mmoja amejiwekea malengo yake, yupo […]

Read More..