-->

Monthly Archives: June 2016

Wema Sepetu ni ‘Brand’ Lakini Haitumiki!

Post Image

NI mrefu, mwenye ngozi yenye rangi ya dhahabu. Ana macho meupe, pua fupi, midomo minene iliyofunika meno yaliyopangika vyema kinywani na kutengeneza mwanya mdogo wa kichokozi katikati. Sauti yake nyembamba ni kivutio kingine, shingo ndefu kama ya twiga ni kati ya sifa zinazomuacha kwenye orodha ya warembo wa Tanzania wenye mvuto kwa mwaka wa kumi […]

Read More..

Kajala Amwanika Bwana Mpya!

Post Image

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzikati alimwanika bwana’ke mpya, kufuatia kupigana kibuti na Mbongo Fleva, Quick Raca, Risasi linakujuza. Katika Pool Party ya staa mwenzao, Shilole, iliyofanyika katika uwanja wa ofisi ya BKT iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam, Kajala alimtambulisha mwanaume huyo bila kumtaja jina, akisema […]

Read More..

Wolper Afungukia Alivyondanganyika Kwenda A...

Post Image

Msanii wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amesema alijikuta akidanganyika kwenda Afrika Kusini kwasababu alitaka akasomee Kiingereza, lugha anayoamini ni muhimu wake. Akiongea kwenye kipindi cha Take One, kinachoruka kupitia Clouds TV, Wolper amesema kuwa chuki zilizopo kwenye kiwanda cha filamu na tatizo la kutoijua lugha hiyo ndiyo sababu nyingine iliyomfanya akubali kumfuata mpenzi wake Mkongo […]

Read More..

Mboto Ataja Kirusi Hatari Bongo Muvi

Post Image

KAMA ni kipaji amejaliwa na anajua kikitumia vyema. Haji Salim maarufu kama Mboto ni mchekeshaji mkubwa hapa Bongo aliyefanikiwa kuiteka hadhira yake. Ubunifu wake ni kati ya silaha zinazomfanya akubalike zaidi. Nje ya kamera, Mboto hana maringo, ni msikivu na mpole wa kiasi lakini ukiwa naye karibu andaa mbavu zako, maana vituko vyake vinaweza kuchanachana […]

Read More..

Irene Uwoya Kuja na Hii Mpya

Post Image

Mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya baada ya ukimya wa muda mrefu bila kuachia kazi, anajipanga kuachia tamthilia yake mpya iitwayo ‘Drama Queen’. Akiongea na Bongo5 Alhamisi hii, Uwoya amesema tamthilia kwa sasa zinalipa vizuri kutokana na runinga nyingi kuhitaji tamthilia. “Nataka kufanya tamthilia ambayo inaitwa Drama Queen,” alisema Uwoya “Mimi ndio Drama Queen mwenyewe, na […]

Read More..

Diamond Platnumz Afunguka Kuhusu Wema Sepet...

Post Image

Akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Diamond Platnuzm amesema kitendo alichofanya Wema kupost kazi zake anadhani imefika wakati labda Wema Sepetu ameona hakuna sababu yeye kuendelea kumchukua Diamond Platnumz na ndiyo maana ameonyesha upendo kwa kusupport kazi zake na za wasanii kutoka kwenye Label yake. “Kuna wakati inafika watu mnakuwa mmekuwa labda, […]

Read More..

Wema Sepetu Adai Mwaka 2006 Ulikuwa Mwisho ...

Post Image

staa wa bongo movie,  Wema Sepetu ambaye pia aliwahi kuwa Miss Tanzania 2006 amesema hajui lolote kuhusu mashindano hayo zaidi ya kuwa mwaka alioshinda yeye ndiyo ulikuwa wa mwisho kwa mashindano hayo. Mwaka jana mashindano ya Miss Tanzania yalifungiwa na BASATA kutokana na tuhuma za upangaji wa matokeo uliosababisha kupoteza msisimko na mvuto wa mashindano […]

Read More..

Dudubaya Adai Kuwa Ray C Anakula Ngada Kama...

Post Image

Msanii Dudubaya ambaye siku za karibuni ameachia wimbo wake mpya unaofahamika kwa jina la ‘Kokoriko’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ray C ambaye alisaidiwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kuachana na matumizi ya dawa za kulevya amerudia tena. Kwa mujibu wa Dudubaya anasema msanii huyo hakuwa na dhamira ya dhati kutoka moyoni mwake kuachana na […]

Read More..

Vanessa Alazimishwa Kudendeka

Post Image

NJEMBA mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, juzikati aliwashangaza watu baada ya kulazimisha kudendeka jukwaani na msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V-Money’.   Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Bilicanas uliopo Posta jijini Dar ambapo msanii huyo alikuwa akitumbuiza huku akipita kwa mashabiki na kutaka […]

Read More..

Mawakala Wakusambaza Filamu Wanahitajika

Post Image

Kama wewe una Duka/Supermarket /Kibanda  au unataka kuanza biashara popote pale ulipo sasa unaweza ukaongeza biashara yako kwa kuuza filamu za bongo kwa faida kubwa zaidi. Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. Wahi sasa.  

Read More..

Shetta: Mimi sibebi Unga

Post Image

Star wa Bongo Fleva Shetta anayefanya vizuri na wimbo wake mpya wa ”Namjua” ameweka wazi juu ya mafanikio yake baada ya kuwa na tetesi nyingi kuwa siku hizi na yeye anabeba mabegi ya unga. Akizungumza na Enewz Shetta alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa yeye shughuli yake kubwa ni mziki na hata anaposafiri kwenda nchi […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Sitaki Marafiki Tena

Post Image

BAADA ya urafiki wa waigizaji mashuhuri na wanaozungumzwa sana nchini, Wema Sepetu na Aunty Ezekiel ‘Mama Cookie’ kuvunjika, waigizaji hao wameibuka na kudai kwamba hawahitaji marafiki. Ilishangaza Aunty Ezekiel kutomualika Wema Sepetu katika sherehe ya mtoto wake na mnenguaji wa Diamond Platinum, Moses Iyobo iliyofanyika mwishoni mwa wiki ukumbi wa Serena Hotel. Aunty Ezekiel alipoulizwa […]

Read More..

Baada ya Chura Kufungiwa, Snura Anakuja na ...

Post Image

Ikiwa zimepita wiki kadhaa tangu wimbo wa Snura mrembo kutoka kiwanda cha burudani bongo kufungiwa ameamua kuja na wimbo mwingine unaitwa Mende. Snura amesema wimbo wa mende anafikilia kuutoa baada ya mwezi mtukufu wa ramadhani unaotarajia kuanzi mwanzoni mwa mwezi huu “Wimbo wangu wa chura umefungiwa sasa hivi nakuja na wimbo unaitwa mende nimepanga kuutoa […]

Read More..

Picha: Mpenzi Mpya wa Nuh Mziwanda Ajichora...

Post Image

Msichana anaedaiwa kuwa ni mpenzi mpya wa msanii Nuh Mziwanda  amejichora tatoo kwenye mkono wake yenye jina la Nuh Mziwanda. Picha za Msichana huyo akiwa na tatoo hiyo ya ‘NUH MZIWANDA.’ zimekuwa zikisambaa mtandaoni huku ikiadiwa kuwa  Bado Nuh ana tattoo ya ex wake Shishi. Jionee picha

Read More..

Rich Movoko Atua Rasmi WCB

Post Image

Msanii Diamond Platnumz, ameitambulisha rasmi label yake ya ‘WCB’ pamoja na kumsaini Rich Mavoko mbele ya waandishi wa habari. Aidha, Diamond alimtambulisha dada yake, Queen Darleen kuwa mmoja kati ya wasanii wapya wa label hiyo. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa Taifa, Godfrey Mngereza ambaye alizungumza na kumpongeza Diamond huku akiwataka […]

Read More..

Sina Amani Imekuwa Kama Nimeua- Wema Sepetu

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali Wema Sepetu amefunguka ya moyoni kutokana na namna mashabiki wake wa Instgram wanavyomchukulia na kumpa maneno ambayo muda mwingine yanamuumiza na kumkosesha amani na kumfanya ajione ni kama mkosaji mkubwa. Wema Sepetu ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ha hayo yamekuja baada ya watu kuanza kusema maneno mbalimbali kwa […]

Read More..

Nuh Mziwanda atoboa Siri ya ‘Jike Shupa’

Post Image

Nuh Mziwanda amefunguka kile kilichojificha kwenye wimbo wake wa ‘Jike shupa’ ambao kwa sasa unafanya poa, aliomshirikisha Alikiba, na jinsi alivyoupokea kwa mara ya kwanza. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Nuh Mziwanda amesema Alikiba alimtaka Nuhu autoe wimbo huo bila yeye kutia sauti yake, kwani aliuona umekamilika na mzuri pia. […]

Read More..

Snura Amkabidhi Jipu Mama Samia

Post Image

STAA wa muziki Bongo, Snura Mushi ameibuka na kumkabidhi Makamu wa Rais, Samia Suluhu jipu la wanaume wanaowakataa watoto wao na kuwaachia wanawake mzigo wa kulea peke yao. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Snura alisema siku hizi wimbi la wanaume kuwakataa watoto wao ni kubwa sana hivyo tatizo hilo ni sawa na majipu mengine, anamuomba mama […]

Read More..