-->

Monthly Archives: January 2017

Video: Vita ya Maneno kati AY na Mona Gangs...

Post Image

Msani wa bongo fleva AY amewataka watayarishaji wa muziki kuwa karibu na wasanii wao kila wanapoenda kwenye ‘tour’ mbalimbali ili kuweza kujifunza mambo mengi zaidi na kuongeza ubunifu. Akiongea kupitia eNewz AY amesema alipotoa hiyo kauli aliitoa kama wazo lakini producer  Mona Gangstar amesema yeye anawaza pesa na siyo kuzurura na msanii ili kuongeza ufahamu wake kwa kuwa wasanii hawapendi […]

Read More..

Video: Harmonize Amlilia Wolper Kupitia ‘...

Post Image

Mapenzi ni kidonda ukiwaza utakonda. Harmonize ameonyesha bado anamhitaji Jacquline Wolper kwenye himaya ya moyo wake baada ya kupigwa kibuti. Baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa wawili hao wamemwagana tena huku Wolper akipigilia msumari kuwa jambo hilo ni ukweli mtupu japo Harmo alikuwa akilificha, sasa muimbaji huyo ameanza kuonyesha kuwa jambo hilo ni kweli. Harmonize […]

Read More..

Tunda Man Afungukia Wimbo Wake wa ‘Mw...

Post Image

Msanii wa muziki Tunda Man amedai alisitisha kuachia wimbo wake mpya ‘Mwanaume Suruali’ kama alivyowaahidi mashabiki wake baada ya rapper Mwana FA kumfuata na kumweleza kuwa ana wimbo ambao unaitwa ‘Dume Suruali’ na tayari ameshashoot na video yake. Muimbaji huyo kabla ya kuachia wimbo wake mpya ‘DebeTupu’ toka mwaka 2016 alikuwa anatangaza kuhusu ujio wa […]

Read More..

Queen Darleen Afungukia Mahusiano Yake na A...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Queen Darleen amefunguka na kusema kuwa hajawahi kutoka kimapenzi na msanii Alikiba kama ambavyo watu wanazungumza na kusema ameshaambiwa anatoka kimapenzi na watu kibao akiwepo hata Diamond Platnumz ambaye ni ndugu yake. Akiongea kwenye kipindi cha eNewz cha EATV, Queen Darleen amesema mara nyingi watu wakiona anakuwa karibu na mtu fulani huwa […]

Read More..

Mastaa 20 wa Kike Bongo Wenye Followers Wen...

Post Image

Mtandao wa Instagram kwa sasa unaonekana kutumiwa zaidi na watu wengi sio Tanzania pekee bali ni dunia nzima kwa ujumla. Ila kwa Afrika mastaa wa Bongo wanaonekana kupata followers wengi zaidi kwenye mtandao huo wakifuatiwa na mastaa wa Nigeria. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Bongo5, tumekuletea awamu ya kwanza ya orodha ya mastaa 20 […]

Read More..

Shilole, Nuh Wadakwa Gesti Wapelekewa Kituo...

Post Image

Wasanii wa Bongo Fleva waliowahi kuwa wapenzi kisha kumwagana, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Naftar Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ wamekutwa katika nyumba ya kulala wageni kisha kukamatwa na kufikishwa kituo cha polisi kwa madai ya utapeli. Zilipendwa hao walikamatwa na Jeshi la Polisi wilayani Kahama katika Mkoa wa Shinyanga katika gesti iitwayo Mongo baada ya Nuh kudaiwa […]

Read More..

JB Afungukia Soko la Kazi Zake

Post Image

Msanii maarufu wa filamu hapa nchini, Jacob Steven ‘JB’ amefunguka na kuweka wazi kuwa tangu ameanza uigizaji hajawahi kupata changamoto ya soko ya kazi zake kama ambavyo baadhi ya wasanii wa filamu bongo wamekuwa wakilalamika. JB ambaye mpaka sasa ametengeneza filamu zaidi ya 40 ikiwa ni pamoja ya zile kazi alizoziandaa na kuigizwa na watu wengine […]

Read More..

Muigizaji Mtanzania Ateuliwa Kuwa Rais wa K...

Post Image

Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon (pichani hapo chini), ameteuliwa kusimamia kampuni ya Kimataifa ya utengenezaji na usambazaji filamu, D Street Media Group, kama Rais. Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake katika nchi anayoiongoza Rais Donald Trump, Marekani kwenye jiji la New York na […]

Read More..

AY Afunguka ya Moyoni Kuhusu Joh Makini

Post Image

Msanii mkongwe katika ‘game’ la mziki wa kizaji kipya , Amwene Yesaya ‘AY’ amefunguka na kusema kuwa toka mwaka 2006 mpaka sasa hakuna rapa ambaye ameibuka na kuwa mkubwa zaidi ya Joh Makini. AY amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kudai kuanzia mwaka 2006 baada ya Joh Makini kuingia […]

Read More..

Video Mpya ya Joh Makini – WAYA

Post Image

Mwanamuziki Joh Makini kutoka River Camp Soldiers na Weusi Kampuni ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Waya. Burudika.  

Read More..

Mrithi wa Kanumba Afunguka Haya Juu ya Kanu...

Post Image

Kupitia Ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, muigizaji  Fredy Swai aliyetajwa na mama mzazi wa marehemu Kanumba kuwa ndiye mrithi atakae vaa viatu vya mtoto wake , Kanumba katika tasnia ya uigizaji , amefunga haya mara baada ya kuweka picha ya Kanumba;   Haimaanishi kwamba uliimaliza sanaa yote iliyoandikwa kwenye vitabu.. Ila kwa hapa Tanzania […]

Read More..

Dino Arudi Kuikoa ‘Bongo Movie’

Post Image

Msanii wa Bongo Movie Dino amesema kwa sasa yupo tayari kurudi kwenye tasnia hiyo baada ya kukaa miaka minne bila kucheza movie yeyote hali iliyofanya ajifunze mengi nje ya movie. Akipiga story kupitia eNewz, Dino amesema hawezi kupotea kwenye movie kwa kuwa alikuwa anafanya vizuri na ana kipaji ambacho yeye mwenyewe anakitambua hali inayopelekea mashabiki zake kuendelea […]

Read More..

Snura: Natamani Kufanya Shoo, Wimbo au Fila...

Post Image

MWANADADA anayetamba na ngoma ya ‘Shindu’ Mwaga Maji Tucheze Kama Kambare, Snura Mushi (pichani) ameeleza kiu yake ya kutaka kufanya kazi na mwanadada mwenzake Zuwena Mohammed ‘Shilole’ endapo atakuwa tayari. Snura amebainisha hayo usiku wa Jumanne, Januari 24, 2017 wakati akijibu swali kwenye interview ya kipindi cha Redio EFM. Snura amesema kuwa  kwa sasa hana […]

Read More..

Asha Boko: Nipo Tayari Kuolewa

Post Image

Msanii wa maigizo ya vichekesho Asha Boko amesema ameishi katika maisha ya upweke kwa miaka 8 baada ya mume wake kufariki. Akiongea kupitia eNewz Asha amesema aliamua kukaa peke yake baada ya mume wake kufariki na aliamua kulea watoto wake peke yake bila kuwa na baba wa kufikia kwa kuwa aliogopa usumbufu wa wanaume kwani huenda wangewanyanyasa […]

Read More..

Sitatumia Tena Sumu Kuharibu Muonekano Wang...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Ray C amedai ameupenda muonekano wake mpya huku akijipa mtihani wa kujizua kurudi katika mambo ambayo yalimpelekea kuupoteza muonekano wake mzuri wa mwili. Muimbaji huyo hivi karibuni amekuwa akipost picha zake mpya ambazo zinamuonyesha akiwa na muonekano mzuri hali ambayo imewafanya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii kuona kweli mrembo huyo […]

Read More..

Lulu Aanika Kilichofanya Amwage Nay wa Mite...

Post Image

Muuza sura kwenye video za Kibongo na msanii mpya wa bongo Fleva, Lulu Abbas maarufu ‘Lulu Diva’ amefunguka na kuweka wazi kuwa aliamua kumuacha rapa Nay wa Mitego kutokana na tabia zake za hapa na pale. Lulu Diva aliyasema hayo kwenye kipindi cha Planet Bongo ya EATV na kudai kuwa alimua kufikia maamuzi hayo kutokana na […]

Read More..

Haji Manara wa Simba Kumposa Wema Sepetu? A...

Post Image

Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba Haji Manara ameendelea na kueleza hisia zake za kutofurahishwa na shirikisho la soka Tanzania TFF kwa kile anachokiita kutokuwa makini na upangaji wa ratiba za Ligi bila kubadilibadili ambapo ameandika yafuatayo. RATIBA TU NI MUHALI,,HAYO MENGINE KWETU SI BAHARI ??* Haji S Manara. Kuna kurogwa na […]

Read More..

Huu Ndiyo Ujio Mpya wa Wastara, Hapendeki

Post Image

The return of bongo movie queen Wastara Juma kwenye filamu ya Hapendeki inayotoka 13.02.2017 sio ya kukosa hii unaambiwa moto ukishazimika jivu halina thamani tena…….

Read More..