Video: Vita ya Maneno kati AY na Mona Gangs...
Msani wa bongo fleva AY amewataka watayarishaji wa muziki kuwa karibu na wasanii wao kila wanapoenda kwenye ‘tour’ mbalimbali ili kuweza kujifunza mambo mengi zaidi na kuongeza ubunifu. Akiongea kupitia eNewz AY amesema alipotoa hiyo kauli aliitoa kama wazo lakini producer Mona Gangstar amesema yeye anawaza pesa na siyo kuzurura na msanii ili kuongeza ufahamu wake kwa kuwa wasanii hawapendi […]
Read More..






