Dj Mark: Tamthilia za Nje Zinaipiku Mno Bon...
‘WANAKUJAAA hao!’ Msemo huu si mgeni masikioni mwa wafuatiliaji wa tamthilia za kikorea, kifilipino, kizungu, kichina na filamu mbalimbali ambazo zimewekwa vionjo vya lugha ya kiswahili. Maneno hayo hutumiwa zaidi na Ahmada Abdulrahman maarufu Dj Mark, G Mashine, Jogoo kutoka lebo ya Acheche Production. Licha ya biashara hiyo kupingwa na Serikali kwa kukiuka sheria za […]
Read More..





