-->

Daily Archives: June 14, 2017

Snura Afungukia Ajali Yake!

Post Image

SIKU chache baada ya kupata ajali mbaya, staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi amefunguka jinsi alivyonusurika kifo huku akimshukuru Mungu kwa kumtoa salama kwani mauti yalikuwa nje nje. Awali, chanzo kilichokuwa eneo la tukio, kilieleza kuwa Snura alikuwa kwenye mwendo wa kasi na kushi-ndwa kukata kona iliyopo maeneo ya Cocacola Mikocheni na kusaba-bisha […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Yapigwa Kalenda

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeharisha kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya Bangi inayomkabili Msanii wa filamu, Wema Sepetu na wenzake hadi Julai 10, mwaka huu. Wakili wa Serikali, Elizabeth Mkunde Jumatano hii alimueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey Mwambapa kuwa shauri hilo lilipaswa kuanza kusikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Thomas Simba lakini […]

Read More..

VIDEO : Young Dee Amkana Mama wa Mtoto Wake

Post Image

Msanii Young Dee a.k.a Pakarasta amemkana mzazi mwenzake Mamisa na kusema hakuwahi kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi japo kuwa wamepata mtoto kama baraka tu kwake. Young Dee amesema hayo kupitia kipindi cha 5 Selekt cha EATV na kudai kitendo kilichotokea hakikuwa katika mipango yake hivyo sasa hivi kila mmoja ana maisha yake. “Am single […]

Read More..

JPM Asema Barrick ni Wanaume, Wametubu na W...

Post Image

Rais John Pombe Magufuli (JPM) amekutana na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni mama ya uchimbaji wa madini ya Barrick Canada, Profesa John Thornton na kufanya naye mazungumzo Ikulu leo. Amesema Barrick imepitia mapendekezo yote ya kamati ya pili ya mchanga wa madini na kuwa imekubali kulipa chochote ambacho kitaonekana wanatakiwa kulipa. “Baada ya kuwaona nilifurahi na […]

Read More..

Filamu ya Kisogo ya Gabo na Wema Sepetu Kur...

Post Image

FILAMU ya Kisogo ya mwuigizaji nyota Bongo imekamilika na inatarajia kuonekana Dunia kote kwa njia ya kisasa kabisa akiongea na FC Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ anasema kuwa sinema ya Kisogo imetengenezwa katika teknolojia ya kimataifa na hivyo itaweza kubadilisha soko la filamu Bongo na kuweza kufika katika anga za kimataifa kwani ni kazi yenye mvuto […]

Read More..