G Nako Afunguka Ishu ya Kulala Kwenye Jenez...
Rapa G Nako amefunguka na kusema kwamba ujumbe na lengo lake limefanikiwa baada ya watu kushtuka walipomuona ndani ya jeneza kwenye video ya wimbo wake mpya ‘Luck Me’ huku akikumbusha kwamba kila mtu lazima aingie kaburini na kusisitiza ibada. G Nako amefunguka hayo mbele ya kamera za eNewz ya EATV baada ya kuzua gumzo mtandaoni ikiwa […]
Read More..





