-->

Monthly Archives: August 2017

Madee amkataa Wolper kucheza video yake mpy...

Post Image

Msanii Madee Ali ‘Madee’ kutoka kundi la Tip Top Connection amefunguka kuwa anashangazwa na uvumi wa msanii mwenzake, Jackline Wolper kwa kudai kuwa ametumika katika video mpya ya msanii huyo ya ‘Sikila’ bila ruhusa yake. “Ile video haijamuonyesha mtu sura zaidi ya kuwa na katuni hivyo nashangaa kusikia hivyo, kikubwa ni kuwa hajatumika yeye bali […]

Read More..

Hiki Ndicho Kilichosababisha Jina Kabula Ku...

Post Image

Msanii wa muziki Issabela Mpanda ambaye ni rafiki wa Karibu wa Mariam Jorwa au jini Kabula ambaye hivi karibuni amepata matatizo ya kurukwa na akili, ameweka wazi kilichomsababishia shoga yake huyo kuchanganyikiwa. Akizungumza na mwandishi wa eatv, Issabela amesema daktari ambaye anamtibia Kabula amesema kuwa rafiki yao alikuwa na msongo wa mawazo, lakini kwa sasa […]

Read More..

Wema Kashaamua, Sasa ni Kazi tu!

Post Image

SUPASTAA wa Bongo Movie, Wema Sepetu ‘Madame’, ameamua bwana baada ya kuweka bayana kwamba sasa amezama kisawasawa kwenye filamu ili kukata kiu ya mashabiki wake. Mrembo huyo amesema kuwa kila uchao amekuwa akipokea maoni toka kwa mashabiki, wakihoji ukimya wake kwenye sanaa na amewajibu kuwa watulie wasiwe na kokoro kwani, mambo matamu yanakuja na watakata […]

Read More..

Dokii Atoa Onyo Hili kwa wa Bongo

Post Image

Msanii Dokii amewataka Watanzania waache kumfuatilia maisha yake, kwani maisha yake hayawahusu hata kidogo, hususani kwa kipindi hiki ambacho ameamua kuokoka. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Dokii amesema yeye hajali watu wanachokisema juu yake, kwani anachoangalia yeye ni yale anayoyafanya kwa Mungu wake, hivyo watu wasipoteze muda kabisa kumuongelea. “Wasiwe busy na […]

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, August ...

Post Image

Chanzo:millardayo.com

Read More..

Wanataka Kuniuwa – Said Karoli

Post Image

Ikiwa imepita miezi miwili toka msanii wa nyimbo za asili Tanzania Said Karoli arudi rasmi kwenye muziki na kuachia kazi zake mbili zilizopata mafanikio na kuwafikia watu wengi zaidi ameibuka na kudai watu wameanza kumpiga vita kishirikina na wanata. Said Karoli ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Orugambo’ amedai kuwa ushirikina upo na watu […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Ngoma Nzito, Ushahidi W...

Post Image

Ushahidi wa kesi ya Wema Sepetu na wenzake wawili ya matumizi ya madawa ya kulevya aina ya bangi, umezua mvutano mzito katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam Jumanne hii. Upande wa washtakiwa ambao unaongozwa na wakili Peter Kibatala na Tundu Lisu, umeupinga ushahidi wa vielelezo ambavyo vimefikishwa mahakamani hapo na ofisa […]

Read More..

Wahyda Mkwe wa Mr Blue Atoboa Haya Kuhusu K...

Post Image

Mke wa msanii wa Hip hop bongo Mr. Blue Bi. Wahida maarufu kwa jina la Wahida wa Mr. Blue, ametoa sababu ambayo iliwafanya yeye na mumewe kupigana mara kwa mara. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Wahda amesema wakati wanamlea mtoto wao wa kwanza wa kiume Heri Samir, walikuwa na changamoto […]

Read More..

Chid Benz Akamatwa kwa Madawa ya Kulevya

Post Image

Jeshi la polisi Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni amesema watuhumiwa hao walikamatwa Agosti 12 mwaka huu saa 11.50 jioni wakijihusisha na uuzaji […]

Read More..

Huddah: Natamani Kuwa Mke wa Rais

Post Image

MWANAMITINDO maarufu nchini Kenya, Huddah Monroe, amesema anatamani siku moja aje kuwa mke wa rais ili aweze kuishi kwa amani katika maisha yake. Mrembo huyo wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, alitumia mitandao yake ya kijamii kuonesha wazi kumpigia debe Rais Uhuru Kenyata. Hata hivyo, baada ya Uhuru kushinda urais, Huddah alisema anatamani […]

Read More..

Mke wa Mugabe akamatwa Afrika Kusini

Post Image

Johannesburg, Afrika Kusini. Grace Mugabe, ambaye ni mke wa Rais Robert Mugabe aweza awe amewafanyia ubabe watu kadhaa nchini kwake lakini kitendo cha kumshambulia, kwa waya wa umeme, mrembo mwenye umri wa miaka 20 kimemweka matatani. Mama Mugabe alikamatwa jana na alikuwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kwa kosa la kumshambulia mrembo huyo anayedaiwa kuwa ni […]

Read More..

Hakuna mwanamke anapenda mwanaume – G...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Giggy Money amefunguka na kusema kuwa hakuna mwanamke anapenda mwanaume bali wanawake wanapenda pesa tu hivyo amedai yeye sasa hajali kumfurahisha mwanaume kwa umbo lake ila anachoangalia yeye anapiga pesa. Mbali na hilo Giggy Money anadai kuwa ndoto zake za kuja kutoka kimapenzi na msanii Wizkid kutoka Nigeria bado […]

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya leo August 15, 2017

Post Image

Chanzo:millardayo.com

Read More..

Richie: Msichana Anaweza Kubadili Jamii

Post Image

MSANII mkongwe katika filamu Bongo, Single Mtambalike ‘Richie’ yupo mbioni kuachia kazi yake ya Queen of Maasai mwanzoni mwa Septemba ambayo anaonyesha jinsi gani msichana anaweza kubadili maisha ya jamii yake. Akizungumza na Over Ze Weekend, Rich alisema waigizaji wengi wanakimbilia kutengeneza filamu za kimapenzi, lakini yeye kama mkongwe, ameamua kuonyesha jinsi msichana mdogo anavyoweza kubadili maisha ya jamii […]

Read More..

Prezzo Akanusha Kutaka Kumuua Mke Wake

Post Image

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’, amekanusha taarifa kwamba anamtishia kifo aliyekuwa mke wake, Michelle Yola. Wiki iliyopita kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kulikuwa na taarifa kwamba Michelle anatishiwa kifo na mkali wa mavazi ‘King of Bling’ Prezzo, lakini msanii huyo amekanusha na kusema Michelle anatafuta kiki. “Niliweka wazi kuwa sina […]

Read More..

Fid Q Ajibu Hoja ya Mwakyembe

Post Image

Msanii Fareed Kubanda ambaye wengi humuita ‘concious rapper’ kutoka bongo, amejibu kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe aliyosema wasanii wasiimbe siasa, na kusema kuwa siyo rahisi kwa wasanii kuacha kitu kitu hicho. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Fid Q amesema Waziri hakuwa sahihi kusema hivyo, kwani siasa ipo kwenye […]

Read More..

TID Ameathirika Kisaikolojia – Q Chief

Post Image

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Q Chief ameamua kumchana swaiba wake TID kwa kumwambia aachane na tabia ya kuzungumza vitu visivyomuhusu huku akimshauri kwa umri wake ni bora angejitahidi kuangalia jinsi ya kurudi kwenye muziki. Chief amesema TID ameathirika kisaikolojia kwani kwa hali ya kawaida msanii anayejitambua hawezi kuwa muda mwingi anafuatilia maisha ya mtu […]

Read More..

Kashfa Zamrudisha Shigongo Darasani

Post Image

Mtunzi wa vitabu mashuhuri Tanzania Erick James Shigongo, anatarajia kurudi shule na kusoma elimu ya shahada, baada ya kuhangaika muda mrefu kutafuta nafasi hiyo, huku akisukumwa na masimango na matusi ya mitandaoni. Kwenye ukurasa wake wa facebook Erick Shigongo ameandika waraka mrefu akielezea safari yake kitaaluma na furaha aliyonayo, ya kuweza kufikia ndoto yake ya […]

Read More..