-->

Monthly Archives: August 2017

Ben Pol Hataki Kuulizwa Kuhusu Ebitoke

Post Image

Msanii wa RnB Bongo, Ben Pol ameweka wazi kuwa kwa sasa hapendi kuulizwa maswali kuhusu Ebitoke, mtoto na mahusiano. Muimbaji huyo amesema kutokana na kazi zake ambazo anataka kuzifanya kwa sasa inamlazimu kufanya hivyo. “Kwa series ya kazi zangu zinazokuja ningependa sana vitu binafsi nisiviongelee zaidi au hadi pale nitakapokuwa tayari kuzungumzia Ben Pol anafanya […]

Read More..

Baby Madaha Atoboa kisa cha ‘Jini Kabula’

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva, Baby Madaha amefunguka sababu zilizopelekea msanii Jini Kabula kupatwa na matatizo na kusema kuwa Jini Kabula aliamua kuachana na muziki wa dunia na kuanza kufanya muziki wa Mungu. Baby Madaha anasema msanii huyo alipojitoa kwenye kundi lao la Scorpion girl alipata rafiki mwingine ambaye walikuwa wakishirikiana katika mambo yao […]

Read More..

Uchaguzi kesho Kenya,milipuko yatokea

Post Image

Wakati Wakenya wanapiga kura kesho kuchagua kiongozi wa nchi yao, limetokea shambulio linalodaiwa la kigaidi kwa kulipuliwa nguzo ya umeme mkubwa wa kilovoti 220 na kusababia kuzima kwa umeme katika kisiwa cha Lamu na maeneo mengine ya Mpeketoni. Shambulio hilo lilitokea jana asubuhi lilisababisha kukosekana kwa umeme katika kisiwa hicho na maeneo ya jirani. Hata […]

Read More..

Kijiweni Production Kuonyesha Filamu ya ‘...

Post Image

Kijiweni Production Kuonyesha Filamu Agosti 11 mwaka huu, filamu iitwayo ‘T-Junction’ itaonyeshwa kwenye jumba la sinema lililoko Mlimani City jijini Dar. Habari hiyo imesemwa na kuthibitishwa na kampuni   ya Kijiweni Production. Habari kamili kuhusu Kijiweni Production Kuonyesha Filamu Akizungumza na wanahabari jijini Dar leo, Mwongozaji Mkuu wa Filamu hiyo, Amil Shivji, amesema kuwa filamu hiyo baada ya kuonyeshwa […]

Read More..

Video 5 Zilizowapa Mkwanja Wasanii Kwa Muda...

Post Image

VIDEO zimekuwa chanzo kipya cha mapato kwa wasanii wa Bongo Fleva na sasa hawategemei kuuza audio pekee kama ilivyokuwa hapo awali. Zamani msanii alitoa video ili kukamilisha utaratibu, lakini sasa imekuwa tofauti kwani msanii anapotoa wimbo analenga kuingiza fedha kwenye audio na video kwa pamoja. Mtandao wa Youtube ni soko kuu la wasanii kuuza video […]

Read More..

Msando Awafungukia Gigy Money na Amber Lulu

Post Image

Mwanasheria machachari na kipenzi cha wasanii wengi Albert Msando ambaye mara nyingi hujitokeza kuwatetea kwenye masuala ya kisheria, amefunguka kuhusu kuwa karibu na Gigy Money na Amber Lulu, ikiwa mmoja wao alishampa skendo chafu. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Afrika Radio, Albert Msando amesema anawakubali wasanii hao kwa sababu ni mabinti ambao […]

Read More..

Ruby Afungukia Picha ya ‘Ujauzito’

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ruby ambaye hivi karibuni aliibua hali ya sintofahamu mitandaoni baada ya kupost picha akionyesha tumbo lake na wengi kuhisi ni mjamzito, amesema aliamua kufanya upumbavu kuhusu tukio hilo. Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Television na East Africa Radio, Ruby amesema hana ujauzito kabisa […]

Read More..

Mwanariadha Alphonce Simbu ang’ara London...

Post Image

Mwanariadha Alphonce Simbu ameshinda medali ya shaba katika mbio ndefu za Marathon akimaliza nafasi ya tatu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha London, Uingereza. Simbu alikimbia kwa saa 2:09:51 na kumaliza kwenye nafasi ya tatu nyuma ya Mkenya, Geoffrey Kirui aliyemaliza kwenye nafasi ya kwanza akikimbia kwa saa 2:08:27 na Muethiopia, Tamirat Tola aliyemaliza wa […]

Read More..

Ujumbe wa Diamond na Zari kwa Tiffah

Post Image

Familia ya Diamond na mpenzi wake Zari The Bosslady Jumapili ya leo wamepata furaha kubwa zaidi ambayo inawafanya wakumbuke miaka miwili iliyopita. Furaha ambayo wapo nayo familia hiyo kwa sasa ni kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa mtoto wao wa kwanza Princess Tiffah ambaye anatimiza maiaka miwili ya kuzaliwa kwake. Kupitia mtandao wa instagram, wazazi hao […]

Read More..

Bongo Muvi Hatujielewi-Lulu

Post Image

Msanii wa maigizo aliyefanya vizuri na filamu ya ‘Mapenzi ya Mungu’, Elizabeth Michael ‘ Lulu’ amefunguka na kusema wasanii wa maigizo bongo wanafeli kutokana na kutojielewa ni kitu gani ambacho wanakitaka kwenye sanaa, badala yake wanafuata mikumbo. Lulu amefunguka hayo hivi karibuni akizungumza na wanahabari na kusema kuwa wasanii wengi wa Tanzania hawapendi kujishughulisha kutafuta […]

Read More..

Lulu Diva: ‘Milele’ Ilinipa Wakati Mgum...

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Lulu Abasi ‘Lulu Diva’, amesema wimbo wake unaoitwa ‘Milele’, ndio uliompa wakati mgumu tangu alipoanza kujihusisha na tasnia ya uimbaji. Akizungumza hivi karibuni na MTANZANIA, Lulu Diva, alisema ugumu ulianza wakati wa kuandaa wimbo huo, hadi kukamilisha. Alisema licha ya kuwa wimbo huo ulimtambulisha vema katika tasnia ya muziki […]

Read More..

King Majuto: Mastaa Wamenikaushia Bwana!

Post Image

TANGA. JANA Alhamisi tulianza makala yaliyotokana na mahojiano maalumu na mwigizaji na mchekeshaji mkongwe nchini, Amir Athuman ‘Mzee Majuto’ ambaye alivumishiwa kifo, siku chache baada ya kuanza kuugua. Mwanaspoti lilimwibukia mwigizaji huyo nyumbani kwake Donge, jijini Tanga na kumkuta katika hali inayotia tumaini na ndio maana aliweza kufanya mazungumzo yaliyozaa makala haya. Mzee Majuto aliweka […]

Read More..

Rais Magufuli Awapatanisha Ruge na Makonda

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewapatanisha Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda nakuwataka wafanye kazi kama pamoja. Tukio hilo la aina yake, limetokea leo AGOSTI 5, 2017 kwenye Kijiji cha Chongoleani, Tanga ambapo kulikuwa na tukio kubwa la uwekaji […]

Read More..

Hivi Ndivyo Ndoa ya Nuh Mziwanda na Nawal I...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambaye hivi karibuni kumeibuka minong’ono kuwa ndoa yake na Nawal imesambaratika, amefunguka kuhusu hilo na kukiri kuwa kweli ndoa hiyo imekufa bila talaka, huku mke wake akiwa mbioni kuolewa na mtu mwingine. Nuh Mziwanda amefunguka kuwa mke wake huyo hajampa talaka lakini ameolewa na mtu mwingine, huku vuguvugu kubwa […]

Read More..

Ndikumana Amfungukia Irene Uwoya

Post Image

Mcheza mpira kutoka Rwanda Hamad Ndikumana ambaye ni mume wa muigizaji wa filamu za bongo Irene Uwoya, amekubali kumpa talaka Irene ili andelee na maisha yake baada ya kutengana muda mrefu huku akieleza kuchoshwa na skendo chafu za mke wake huyo. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Ndikumana ameandika ujumbe akisema amekubali kumpa Irene talaka, hivyo […]

Read More..

Mzee Majuto Afungukia Ombi Lake Kugonga Mwa...

Post Image

Msanii mkongwe wa vichekesho nchini Tanzania, Amir Athuman maarufu kama Mzee Majuto amesema amegundua jambo lililopelekea kunyimwa kununuliwa trekta na Rais mstaafu Jakaya Kikwete ni kutokana na kuomba kama mtu binafsi na wala siyo kwa kikundi maalum. Mzee Majuto amebainisha hayo hivi karibuni baada ya kupita takribani miaka minne alipoomba kufanyiwa kupitia kipindi cha Mkasi […]

Read More..

Mahakama Yatupa Maombi ya Wabunge Waliofuku...

Post Image

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya waliokuwa wabunge wa viti maalum wa Chama cha Wananchi (CUF), waliokuwa wakipinga kuapishwa kwa wabunge wateule. Wabunge hao walifungua maombi hayo wakiiomba mahakama itoe amri ya zuio kwa Bunge, lisiwaapishe wabunge hao wateule, hadi pale kesi yao ya msingi kupinga kufutwa uanachama wa […]

Read More..

Nyumba ya Profesa J Yakumbwa na Bomoabomoa

Post Image

Dar es Salaam. Nyumba za kifahari zilizojengwa pembezoni mwa Barabara ya Morogoro kuanzia maeneo ya Kimara mpaka Kiluvya jijini Dar es Salaam zimekumbwa na bomoabomoa ya aina yake. Pengine hilo linafahamika na wengi, lakini bomoabomoa hiyo haikumuacha salama Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa J’. Wamiliki wengi wa nyumba hizo hawajaanza kubomoa wenyewe kama […]

Read More..