-->

Monthly Archives: September 2017

Petit Man Alia na Waliovujisha Picha Zake z...

Post Image

SIKU chache baada ya baba mzazi wa mtoto wa mwanamitindo, Hamisa Mobeto, kujitokeza hadharani na kukiri mtoto ni wake, ghafla, katika hali ya kushangaza zikasambaa picha mitandaoni zikimuonyesha mwanamitindo huyo akiwa katika pozi za mahaba na mdau wa muziki, Petitman Wakuache. Baada ya kuziona picha hizo Petit ameibuka na kutoa kauli nzito. PETITMAN ANENA! Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Petit alipost picha akiwa na mke wake Esma ambaye ni wifi […]

Read More..

Mwakyembe:Bifu la Diamond na Ali Kiba wacha...

Post Image

Waziri wa habari utamaduni na michezo DKT. Harrison Mwakyembe amesema bifu la Diamond na Ali Kiba linafaa kuendelea sababu linaleta tija kwenye muziki. “Kama kuna ushindani kati ya Alikiba na Diamond ambao ni kiuweledi, kitaaluma basi mimi nafikirii tungeuendeleza zaidi, hamna sababu ya kuwasuluhisha, waendelee kushindani vizuri tupate muziki bora.” “Kwa hiyo mimi naomba Watanzania […]

Read More..

Ningekuwa Kibaka au Sheikh-Dogo Janja

Post Image

Rapa Dogo Janja mwenye hit ya Ngarenaro amefunguka kama asingekuwa mwanamuziki na kupata mafanikio basi angekuwa mwizi au sheikh kutokana na maisha aliyoishi huko awali. Akizungumza kwenye Top 20 ya East Africa Radio, ndani ya Back stage, Dogo Janja amesema kuwa  kama asingefanikiwa kwenye muziki basi kwenye maisha yake angeendelea na kuiba au angebadilika na […]

Read More..

Msikie Rais wa Manzese Akifunguka

Post Image

MASHABIKI wa muziki wa kizazi kipya nchini wamekuwa na mitazamo tofauti juu ya ukimya wa Tip Top Connection na kuamini limekufa baada ya bosi wao, Babu Tale kukimbilia WCB kupiga hela. Rais wa Manzese, Madee amemkingia kifua bosi wake huyo na kufunguka kuhusu kundi hilo lililowaibua nyota mbalimbali wanaotamba nchini kwa sasa. Madee anasema watu […]

Read More..

Zari The Boss Lady Alitambua Kitambo Usalit...

Post Image

UHUSIANO imara wa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ umeanza kulega lega baada ya kutikiswa vibaya na mwanamitindo, Hamisa Mobetto. Kapo hiyo yenye wafuasi wengi Afrika Mashariki imefanya mambo lukuki ya maendeleo, siyo kwenye mapenzi tu bali uhusiano wao umeingia mpaka katika kazi na […]

Read More..

Ben Pol Afungukia Ishu ya Ebitoke

Post Image

Msanii Ben Pol ambaye inasemekana alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mchekeshaji Ebitoke, sasa hivi anaonekana kumuepuka msanii huyo kwa sababu ambazo hazijajulikana kwa haraka, kitendo kinachoonesha kumuumiza kihisia Ebitoke. Ben Pol ambaye alitafutwa kwa kipindi kirefu na mwandishi wetu na kufanikiwa kumpata kwa shida kutokana na ubize aliosema  anao kwa kipindi hiki, alipomueleza kwamba anataka kuzungumzia […]

Read More..

Lulu Diva Amkataa Nay wa Mitego Hadharani

Post Image

WAKATI mtaani kukiwa na hapa na pale kuhusu uwepo wa uhusiano Nay Wa Mitego na Lulu Diva, katika moja ya mahojiano na kituo cha habari, Lulu ametoa povu zito kwenda kwa Nay. “Nay hawezi kuwa type yangu hata siku moja na haijawahi na hawezi kuja kuwahi hata siku moja eti niwe na Nay,” “Kwanza hajawahi […]

Read More..

Diamond, Giggy Money na Wema Sepetu…

Post Image

Maisha yetu yapo kuligana na mawazo yetu. Furaha yako maishani inategemea na ubora wa mawazo yako. Huwezi kumuweka kwenye kundi la vijana mabishoo. Ni mtoto wa kihuni. Hajali. Na kutokujali kwake ndiko kulikomfikisha pale alipo. Kifupi hasikilizi wala hana hofu na watu watasema nini. Ogopa sana mtu wa hivyo. Ndiyo Diamond Platinumz. Kuna wakati unajiuliza […]

Read More..

Wasanii wa Singeli Wananiponda- Msaga Sumu

Post Image

Mfalme wa singeli nchini Tanzania, Msaga Sumu amefunguka na kudai wasanii wengi wa singeli wanatapotea katika muziki kwa sababu ya kutokuwa na heshima kwa watu wanaowazunguka kwenye kazi zao. Msaga Sumu amebainisha hayo kupitia kipindi cha FRIDAY NIGHT LIVE (FNL) kutoka EATV baada ya kupondwa kwa maneno makali kwa kipindi kirefu na wasanii wenzake huku wengine […]

Read More..

Alikiba Afurahia Kuwepo Coke Studio

Post Image

MKALI wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ali Kiba, amesema moja ya mafanikio ambayo anajivunia kwa mwaka huu ni kushiriki tena onyesho la Coke Studio. Kiba, ambaye amefanya kolabo na mwimbaji wa Nigeria, Patoranking, amesema kushiriki msimu huu wa tano wa Coke Studio kutamfanya aongeze idadi kubwa ya mashabiki. “Kushiriki katika onyesho hili linaloandaliwa na […]

Read More..

Mimi ni Demu wa Bei Kali Tukutane Mlimani C...

Post Image

IRENE Uwoya muigizaji wa filamu wa kike Bongo ametamba kuwa kipaji chake ni cha kipekee kwani yeye ndio msanii wa kwanza kuanza kuigiza na kutwa tuzo kama muigizaji bora wa kike mwaka 2008, tuzo zilizojulikana kwa jina la Vinara na hadi leo bado amekuwa bora katika tasnia ya filamu Bongo. “Ubora wangu umedumu toka kuingia […]

Read More..

Zari ampiga stop mtoto wa Hamisa urafiki wa...

Post Image

JUZI imetokea vita kali katika mtandao wa Snapchat huku Hamisa na Zari wakitupiana vijembe vya hapa na pale huku mwenza huyo wa Diamond akimshutumu mtoto wa Hamisa kwa kumfollow mwanaye Instagram. Hamisa aliandika “Am praying for twins now. Inshallah (a girl & a boy) would be perfect ” Tena akaandika, “Waambie walopanga…mwenye nyumba kaja ndani… […]

Read More..

New Music Video:Kikomando by Babbi

Post Image

Baada ya kusubiri kwa hamu msanii kutoka bongo @Babbi_music ameachia rasmi video yake mpya Kikomando iliyofanyika nchini Marekani link https://youtu.be/SXjYEYC1weg kwa bio yake @babbi_music itakupeleka direct kutazama video yake. Ni fireeeee.

Read More..

Diamond, Mobetto Waibua Mabifu ya Mastaa

Post Image

IMESHAFAHAMIKA kuwa Dylan au Abdulatif ni mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mwanamitindo Hamisa Mobetto, siri hiyo iliyofichwa kwa muda mrefu ilifichuliwa na Chibu Dangote mwenyewe katika mahojiano na moja ya redio kubwa nchini. Baada ya Diamond kuweka bayana ukweli wote mashabiki na watu maarufu mbalimbali nchini wamekuwa na maoni yao huku kila mtu akiwa […]

Read More..

Kajala Masanja Ashangazwa na Kiki za Kutemb...

Post Image

STAA kiwango kunako filamu Bongo, Kajala Masanja kwa mara ya kwanza ameweka wazi kuwa hakuna kitu ambacho anakichukia katika maisha yake kama mtu kumbambikia kiki ambazo zinahusiana na kutembea na mume wa mtu au bwana wa mtu kwa sababu haimjengei chochote kwenye jamii zaidi ya kumuharibia. Akizungumza na mwandishi, Kajala, alisema kuna watu wengi wako […]

Read More..

Dogo Janja Amjibu Haya Young Dee (VIDEO)

Post Image

Baada ya Rappa Young Dee kuomba asifananishwe na wasanii kama Dogo Janja kutoka Arusha na Young Killer wa Mwanza, Dogo Janja amesema hawezi kumjibu msanii huyo kwani hajui kama atakuwa anamjibu mtu mwenye akili timamu au tayari amekula unga. Kupitia kipindi cha eNewz ya EATV, Dogo Janja amesema kuwa Young Dee kuomba asifananishwe na msanii […]

Read More..

Maneno Matamu 72 ya Diamond kwa Zari

Post Image

Ikiwa leo ni Birthday ya Zari The Boss Lady, Diamond amechukua muda wake na kuandika ujumbe kwa Baby Mama huyo ikiwa ni sehemu ya pongezi zake kwake. Ujumbe huo ambao ameundika katika mtandao wa Instagram amemtaja Zari kama mwanamke ambaye amekuwa naye bega kwa bega katika mafanikio yake. Uzuri na Urembo pengine ningetembea nikakuta baadhi […]

Read More..

Ua la Idris Lamtoa Machozi Wema

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu ameibuka na kusema kuwa Ua alilodaiwa kumpelekea Idris ambalo si lake limemsababishia kugombana na mpenzi wake kitendo kilichomkera sana kwani hajawahi kufanya hivyo na kwa sababu hiyo alikesha akilia. Akizungumza na Risasi Jumamosi Wema, alisema kuwa pamoja ya kuwa alimuomba msamaha Idriss kwa kutokwenda kwenye shughuli yake ya uzinduzi wa […]

Read More..