Lulu:Nimekataa Dili Kadhaa Kutoka Nigeria
Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth ‘Lulu ‘ Michael amefunguka kwa kudai kuwa tangu alipopata tuzo ya AMVCA 2016 amekataa dili kadhaa kutoka kwa wasanii wa muziki wa Nigeria. Muigizaji huyo ameitaja sababu ya kukataa dili hizo imetokana na yeye si mwanamuziki wala video vixen. “Nimepata dili kama mbili tatu kutoka Nigeria za kuigiza filamu […]
Read More..