Nyuma ya Pazia Diamond Kumfunika Kiba kwa â...
MWISHONI mwa wiki iliyopita, gumzo kubwa kunako tasnia ya burudani Bongo ilikuwa juu ya hafla ya utoaji Tuzo za MTV Afrika (MAMA) ambapo wawakilishi kutoka Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’, Navy Kenzo, Yamoto Band, Diamond, Raymond na Ali Kiba ‘King Kiba’ walitoka kapa. Mengi yameongelewa kuhusiana na tuzo hizo kuonekana kama zilitolewa kwa upendeleo (Sauz […]
Read More..