Ujumbe wa Francis Cheka Baada ya Taarifa za...
Wiki hii imeanza kwa huzuni kwa mashabiki wa mchezo wa ngumi nchini baada ya kifo cha bondia Thomas Mashali hasa baada ya kusikia taarifa za chanzo cha kifo hicho. Mmoja wa watu walioumizwa na taarifa hizo ni Francis Cheka. Kupitia mtandao wa Instagram, Cheka ameandika: Ilikuwa ni heshima kuingia ulingo mmoja na wewe ndugu yangu […]
Read More..