Mama Diamond Akimtambua Vizuri Mwanaye Atam...
MWAKA 2009 Diamond Plutnumz akiwa ndiyo kwanza ameingia katika ulimwengu wa umaarufu, alihojiwa na jarida fulani maarufu ambalo kwa sasa halitoki tena juu ya matarajio yake katika muziki na maisha. Japo kwa nyakati zile wengi huenda hawakumuelewa, ila Diamond alisema kuwa, dhamira yake ya kwanza anataka kuwa mwanamuziki maarufu sana Afrika halafu awe mwanamuziki tajiri. […]
Read More..