Msaga Sumu: Mimi ndiye mwanzilishi wa Singe...
Muimbaji nguli wa muziki wa Singeli, Msaga Sumu amedai kuwa yeye ndiye mwanzilishi wa muziki huo hapa nchini. “Mimi ndiye mwanzilishi wa singeli, nimeipigania sana toka enzi za vigodoro kabla havijapigwa marufuku. Nilikuwa naloop beat za taarabu hadi akina Mzee Yusuph walitaka kunishtaki, nimepigana hadi leo hii imefikia hapa,” amekiambia kipindi cha Friday Night Live […]
Read More..