-->

Daily Archives: October 6, 2016

Mboto Afungukia Kuhusu Kutoka na Aunt Ezeki...

Post Image

KAMA kawa Mtu Kati ipo ‘live’ leo tena, ambapo baada wiki iliyopita kukuletea mwanadada mkongwe anayefanya vizuri kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ wiki hii inakusogezea mvunja mbavu mwenye jina kubwa katika ardhi ya JPM, Haji Salum ‘Mboto.’ Huyu ni mchekeshaji mkongwe kidogo aliyeanzia sanaa yake katika Kundi la Kaole Sanaa Group mwishoni […]

Read More..

Diamond Afungukia Msadai ya Bifu kati ya Ma...

Post Image

Habari za kuwepo kwa bifu kati ya Mama mzazi wa Nassib Abduli aka Diamond Platnumz na Zari ambayeni mpenzi wa msanii huyo na Mama wa mtoto wake wa kwanza zilichukua sura mpya. Mwezi uliopita baada ya Mama mzazi huyo kutopost picha ya Zari kwenye BirthDay yake na kuja kupost picha ya Wema Sepetu akimtakia Birth […]

Read More..

AY:Kurudi kwa ‘East Coast Team’...

Post Image

Msanii AY ambaye ni miongoni mwa wanaounda kundi la East Coast Team, amemtupia msanii mwenzake GK zigo la kurudisha kundi hilo. Akizungumza kwenye eNewz ya East Africa Televisio, AY amesema uwezekano wa kundi hilo kurudi upo lakini mwenye uamuzi wa mwisho ni King Crazy GK ambaye amemtaja kama Amiri Jeshi mkuu wa kundi hilo. “Kwanza […]

Read More..

Siri ya Moyo Itawazima Wakongwe-Man Fizo

Post Image

SALUM Saleh ‘Man Fizo’ mwigizaji na mtayarishaji wa filamu anatamba kwa kujinasifu kuwa toka aingie na kupenya katika soko la tasnia ya filamu Swahilihood kila siku anapanda alianza na filamu kubwa ya Nimekosea wapi? iliyosumbua wakongwe anasema sinema yake ya Siri ya Moyo atawazima wakongwe. “Siri ya Moyo ni kazi ambayo nimerekodi kwa zaidi ya miezi […]

Read More..

‘Siri ya Mtungi’ Imenifungulia Milango ...

Post Image

Msanii wa filamu Daudi Michael Tairo, anayefahamika zaidi kwa jina la Duma ndani ya tamthilia ya Siri ya Mtungi, amefunguka na kueleza jinsi tamthilia hiyo ilivyompatia mashavu ndani na nje ya nchi. Mwigizaji huyo ambaye hapo awali aliwahi kushiriki katika filamu ya ‘Money Desire’, ‘Its Too Lets’ na filamu nyingine nyingi, ameiambia Bongo5 kuwa tamthilia […]

Read More..