Ali Chocky na Madai ya Kuihama Twanga
Msanii wa Muziki wa Dansi Bongo ambaye kwa sasa anapiga mzigo na Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Ali Chocky amezima madai yaliyokuwa yakienea chini kwa chini kuwa, ana mpango wa kuihama bendi hiyo. Akizungumza na safu hii hivi karibuni, Chocky alisema kuwa, wanaoeneza madai hayo wana sababu zao ila mashabiki wake wajue tu […]
Read More..