-->

Daily Archives: December 23, 2016

Meneja wa Diamond Afungukia collabo za Diam...

Post Image

Hivi karibuni wakati anahojiwa kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, Diamond alitease ujio wa ngoma ambazo amewashikirisha wanamuziki heavyweight wa Marekani, Rick Ross na Rihanna. Jumatano hii kupitia kipindi cha Campus Vibes cha Times FM, meneja wake, Sallam alifafanua zaidi kuhusu hatua iliyofikiwa ya collabo hizo. Sallam alidai kuwa collabo na Rick Ross imeshakalimika, […]

Read More..

Mwanaume Ukiwa na Sifa Hizi, Utampata Mwasi...

Post Image

Mwanamuziki Mwasiti ambaye anafanya vizuri na wimbo wake ‘Kaa nao’ amefunguka na kuweka hadharani sifa za mwanaume ambaye anahitaji kuwa naye katika maisha yake na kusema haiwezekani hata siku moja mtu na mpenzi wake wakawasiliana mara moja kwa siku. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Mwasiti amesema kuwa angependa mume wake kwanza […]

Read More..

Matukio Yaliyobamba 2016 Kwenye Burudani

Post Image

MWAKA huu umeonekana kuwa funzo kubwa kwa wasanii nchini baada ya waliokuwa wakitumia dawa za kulevya kuachana na utumwa huo na kurudi katika kazi zao za sanaa.   Waliojitangaza kuwa walikuwa watumwa wa dawa hizo na wameamua kupata matibabu ya kuachana nazo ni pamoja na Rehema Chalamila ‘Ray C’ ama kiuno bila mfupa kama wengi […]

Read More..

Ray C Kutikisa Tena Anga la Bongo

Post Image

Msanii wa kike aliyewahi kutikisa kupitia muziki wake kwa ufundi wa kukata viuno akiwa stejini mwanadada Ray C yuko mbioni kurudi tena kwenye game na tayari ameshafanya ngoma tano na zinatarajiwa kuachiwa hivi karibuni. eNewz imezungumza na msemaji wa Wanene Entertainment Gentriez ambapo kwa sasa ndiyo sehemu ambayo Ray C anatengenezea ngoma zake na amefunguka kuhusu […]

Read More..