Shilole Ndiye Aliyenitongoza – Hamadai
Msanii wa bongo fleva Hamadai ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa msanii mwenzake Shilole amezungumza na eNewz na kutokwa na povu kuwa, Shilole ndiye aliyeanza kujipendekeza kwake na kumsumbua kwa muda mrefu akitaka wawe wapenzi. Hamadai ni msanii mchanga wa bongo fleva ambaye watu wengi walimfahamu mara baada ya kuwa katika mahusioano na Shilole. Amesema kuwa kwa […]
Read More..