-->

Daily Archives: December 14, 2016

Matano (5) Muhimu Kuyajua Kutoka kwa Vaness...

Post Image

UKITAJA listi ya wasanii wakubwa wa kike wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, jina la Vanessa Mdee maarufu V Money, haliwezi kukosekana kutokana na juhudi zake za kuhakikisha muziki wake unapasua anga. Vanessa hivi sasa anatamba kimataifa, akifanya shoo za nje ya nchi lakini pia akishiriki kwenye tuzo mbalimbali za kimataifa. Diva huyu anayetamba […]

Read More..

Mwaka wa Tabu kwa Wasanii

Post Image

Wakati tunaingia mwaka 2016 wasanii walikuwa na matarajio makubwa ya kufanikiwa katika shughuli zao za sanaa kama ilivyokuwa kwa miaka iliyopita, lakini mpaka sasa wengi wanalia kutokana na hali halisi iliyopo kwa sasa katika soko la burudani nchini. Watanzania wamelazimika kupunguza starehe na mahitaji yasiyo ya lazima na kugeukia majukumu mengine ya kifamilia, ikiwamo chakula, […]

Read More..

Salome ya Diamond Ilivyobadili mipango ya D...

Post Image

Hit maker wa wimbo Muziki, Darassa amedai hapo awali alikuwa ana mpango wa kumshirikisha Saida Karoli kwenye wimbo wake ‘Muziki’ lakini baada kuona Diamond ametoa wimbo ‘Salome’ ambao ndani yake amemtumia Saida Karoli akaamua kuusitisha mpango huo. Rapa huyo amedai wazo la kumtaka kumshirikisha muimbaji huyo wa muziki wa asili wa zamani lilitokana na mdundo […]

Read More..

Wasanii Bongo Movie Wana Mgando wa Mawazo &...

Post Image

Meneja wa muigizaji bora wa kike Afrika Mashariki Chuchu Hansy amesema wasanii wengi wa Tanzania wana mgando wa mawazo na ndiyo maana wanashindwa kufikiria mbinu mpya za kufanya kazi zao, na kubaki na movie zenye part (sehemu) kibao. Meneja huyo alitoa kauli hiyo baada ya kupokea tuzo kwa niaba ya Chuchu Hansy kwenye Tuzo za […]

Read More..

Jide Akiri Kutoka Kimapenzi na Mnigeria Spi...

Post Image

HATIMAYE staa wa muda wote katika muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ a.k.a Jide leo amekiri bila kupepesa maneno kuwa yupo katika penzi zito na mwanamuziki mwenzake raia wa Nigeria aitwaye Chris maarufu kama Spicy a.k.a Rasta. Jide ameyafunguka hayo wakati akifanya Exclusive Interview na Global TV Online kwenye studio zake zilizopo ndani ya […]

Read More..