Idris Aingilia Bifu la Diamond, Dimpoz, Kib...
WAKATI gumzo la mvutano na kutupiana vijembe kwa wasanii watatu, Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz na Ali Kiba likiendelea, mshindi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, Idris Sultan naye ametoa neno kuhusiana na hicho kinachoendelea. Wasanii hao wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba‘King Kiba’ na Omari Nyembo ‘Ommy Dimpoz ’ wamekuwa wakionekana kuwa karibu siku […]
Read More..