-->

Daily Archives: December 2, 2016

Idris Aingilia Bifu la Diamond, Dimpoz, Kib...

Post Image

WAKATI gumzo la mvu­tano na kutupi­ana vijembe kwa wasanii watatu, Diamond Plat­numz, Ommy Dimpoz na Ali Kiba likiendelea, mshindi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, Idris Sultan naye ametoa neno kuhusiana na hicho kina­choendelea. Wasanii hao wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba‘King Kiba’ na Omari Nyembo ‘Ommy Dimpoz ’ wamekuwa  wakionekana kuwa karibu siku […]

Read More..

Jokate Afunguka Sababu za Ukimya Wake

Post Image

Msanii wa bongo fleva na mdau wa urembo nchini Tanzania Jokate Mwegelo ameelezea sababu ya kukaa muda mrefu bila kutoa nyimbo ikiwa tayari ana nyimbo zaidi ya tatu japo aliahidi  kurudi tena mwishoni mwa mwezi huu. Akiongea ndani ya eNewz Jokate amesema kuna mipango ambayo wanaiweka sawa hivyo mashabiki zake wasubiri kwani tayari ana nyimbo nyingi ambazo ameshazirekodi na […]

Read More..

Gigy Money Adai Alikiba Alikuwa Anamhonga V...

Post Image

Video queen Gigy Money amedai kati ya wanaume wake wote hawezi kumsahau Alikiba, kwani muimbaji huyo wa Aje ndiye mwanaume wake ambaye alikuwa anamhonda vizuri kuliko wanaume wake wengine. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy amedai aliweza kusoma kutokana na pesa ambazo alikuwa akihongwa na muimbaji huyo. “Mimi kuwa naye nilikuwa napata kitu sikuwa pale […]

Read More..