-->

Daily Archives: December 10, 2016

Sikutoa ‘Muziki’ Kumfunika Mtu – Darassa

Post Image

Nyota wa hip hop katika anga la bongo Fleva, Darassa amesema hakutoa ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ‘Muziki’ kwa lengo la kufunika ngoma ya mtu mwingine bali ni kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa jamii na kuwaburudisha mashabiki wake. Darassa amefunguka hilo katika kipindi cha FNL cha EATV alipotakiwa kufafanua iwapo ni kweli kwamba alitoa […]

Read More..

Mungu Mwenyewe Atakuja Kuinusuru Tasnia ya ...

Post Image

Msanii wa filamu Salim Ahmed aka Gabo Zigamba amedai hakuna msanii wa filamu ambaye ataweza kuinusuru tasnia ya filamu kutokana na wasanii wa filamu kukosa umoja. Alisema hayo wiki hii wakati alipowatembelea wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Kampasi ya Mlimani) na kuzungumza nao mambo mbalimbali pamoja na kuwaeleza changamozo zinazoikabili tasnia ya […]

Read More..