-->

Daily Archives: December 11, 2016

Ndoa 14 za Mastaa Bongo Mwaka Huu

Post Image

2016 mwaka wa ndoa. Ndivyo ninavyoweza kusema kutokana kuwa mwaka huu wa baraka tele miongoni mwa wasanii wengi nchini kufunga ndoa tufauti na miaka mingine iliyopita. Naweza kusema kuwa wasanii wengi walikuwa wanawoga wa kuingina kwenye ndoa na hata wengi kutunga nyingi kwamba suala hilo bado kama ‘Bado nipo kwanza’ wa Mwana Fa na ‘Nakula […]

Read More..

Afande Sele: Darassa Kawafunga Mdomo Walios...

Post Image

Afande Sele katupa jiwe gizani ama kalitupa kwa hasimu wake Madee? Vyovyote vile, Mfalme huyo wa Rhymes amempongeza rapper Darassa kwa kumuelezea kama mtu aliyekuja kuwafunga mdomo watu waliowahi kudai kuwa hip hop imekuja – au kama ambavyo Madee aliwahi kusema ‘hip hop haiuzi.’ Kauli yake inakaribisha mjadala mwingine mrefu na ambao ni ngumu kupata […]

Read More..

Q Chilla:Starehe, Madawa ya Kulevya Yamenip...

Post Image

KIRAKA wa muziki wa Bongo Fleva  Abubakary Katwila ‘Q chief’ ambaye aliwika sana  mwanzoni mwa miaka ya 2000 akiwa na kibao chake cha ‘Ulinizaa wewe’ ambacho kilivuta sana hisia za wababa wengi ambao wanatabia ya kukataa watoto wao. Wimbo huo ulikuwa kama wimbo wa Taifa awe mkubwa mtoto lazima auimbe ulifanikiwa kumbamba vituo mbalimbali vya […]

Read More..

Tunahitaji Ukombozi Kisanaa- Mwenyekiti wa...

Post Image

WENYEKITI wa Chama cha Wanawake wa Tasnia ya Filamu Tanzania (CWTF) Vanitha Omary amesema kuwa baada ya kuwa kwenye tasnia kwa muda mrefu wamekaa na kutafakari na kuamua kuanzisha chama kinachoshirikisha wasanii wa kike katika kuleta maendeleo na ukombozi kisanaa. “Sisi kama wasanii wa wanawake jamii inatutegemea katika mambo mengi hivyo lazima tuwe na umoja […]

Read More..

Orodha ya Washindi wa EATV AWARDS 2016

Post Image

Historia imeandikwa kwenye tasnia ya sanaa nchini ambapo kwa mara ya kwanza tukio la utoaji wa tuzo za #EATVAwards kwa wasanii wa muziki na filamu Afrika Mashariki, limefanyika usiku wa jana katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. Tuzo hizo zilizoandaliwa na East Africa Television Ltd, zimekuwa za kwanza Afrika Mashariki, ambapo wasanii […]

Read More..