Mkubwa na Wanawe Wamekuja na Matobo Kutok...
KUNDI la muziki wa kizazi kipya la Madada Sita, ambalo lenye makazi yake Temeke jijini Dar es salaam, limeachia wimbo wa Matobo ambao wanaamini utakuja kulifanya kundi hilo kuwa miongoni mwa kundi bora la wanamuziki wa kike. Akizungumza kiongozi wa kundi hilo, Christina Peter (Favell), alisema wamejipanga kufanya kazi bora ambazo zitafanya wanamuziki wengi kuunda […]
Read More..