Shilole Akanusha Kumfahamu Msanii Huyu
Msanii wa bongo fleva Shilole amesema hajawahi kuwa na msanii zaidi ya Gaucho katika kampuni yake ya Shilole Entertainmet na hamfahamu wala kumjua Mona Star. Akiongea kupitia eNewz Shilole amesema Gaucho ni mdogo wake na hajawahi kuwa na mahusiano yeyote ya kimapenzi zaidi ya mahusiano ya kikazi na swala la mapenzi haliwezi kutokea baina yao kwa […]
Read More..